Radio Tadio

Miundombinu

26 Mei 2023, 10:47 mu

TAKUKURU yabaini mapungufu wilaya ya Tanganyika

KATAVI Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imebaini kuwepo kwa mapungufu yakiwemo usimamizi mbovu wa ujenzi wa miradi, ukiukwaji wa mikataba na ucheleweshaji wa kukamilisha miradi mitano katika halmashauri ya wilaya ya Tanganyika mkoani hapa.…

19 Mei 2023, 6:42 um

Chamwino watakiwa kukamilisha miradi kwa wakati

Katika ziara hiyo ya kikazi katibu Tawala amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Wilaya ya Chamwino, Zahanati ya Kijiji Cha Wilunze na Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya maabara ya kemia na baiolojia katika Shule ya…

17 Mei 2023, 10:18 mu

Madereva Mpanda walia na ubovu wa barabara

MPANDA Watumiaji wa vyombo vya moto Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi walalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara na kutaka marekebisho yafanyike na mamlaka husika. Wakizungumza na Mpanda Redio FM wamesema hali ya barabara siyo ya kuridhisha kwani barabara…

12 Mei 2023, 3:19 um

Wakazi wa Ilangali waiomba serikali kuboresha machimbo ya Madini

Wananchi hao wameiomba Serikali  kuyatazama machimbo hayo kwa jicho la tofauti ili yaweze kuwa msaada mkubwa wa kutatua changamoto mbalimbali za kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Ilangali Kata ya Manda wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kuboresha machimbo…

12 Mei 2023, 8:15 mu

Barabara ya Mpanda – Karema Mbioni Kuanza Ujenzi

TANGANYIKA Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anae shughulikia Sekta ya Ujenzi Ludovick Nduhye amefanya ziara ya kutembelea barabara ya kutoka Mpanda kwenda Bandari ya Karema ambayo inatarajiwa kuanza kujengwa hivi karibuni mwaka huu kwa kiwango cha…

8 Mei 2023, 1:51 um

Wananchi wajitokeza kuchimba Msingi ujenzi wa Madarasa Bahi

Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…