Miundombinu
26 Mei 2023, 10:47 mu
TAKUKURU yabaini mapungufu wilaya ya Tanganyika
KATAVI Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Katavi imebaini kuwepo kwa mapungufu yakiwemo usimamizi mbovu wa ujenzi wa miradi, ukiukwaji wa mikataba na ucheleweshaji wa kukamilisha miradi mitano katika halmashauri ya wilaya ya Tanganyika mkoani hapa.…
19 Mei 2023, 6:42 um
Chamwino watakiwa kukamilisha miradi kwa wakati
Katika ziara hiyo ya kikazi katibu Tawala amekagua maendeleo ya ujenzi wa jengo la Ofisi za Wilaya ya Chamwino, Zahanati ya Kijiji Cha Wilunze na Mradi wa ujenzi wa vyumba viwili vya maabara ya kemia na baiolojia katika Shule ya…
17 Mei 2023, 12:54 um
Wenyeviti wa vijiji Bahi watakiwa kuweka wazi mapato na matumizi kwa wananchi
Viongozi wa eneo hilo pia walilalamika wananchi wao kukosa huduma ya maji safi na salama kwa muda mrefu. Na Bernad Magawa. Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Bahi Stuwart Masima amewaagiza wenyeviti wa serikali vijiji wilayani humo kuhakikisha wanasoma mapato na…
17 Mei 2023, 10:18 mu
Madereva Mpanda walia na ubovu wa barabara
MPANDA Watumiaji wa vyombo vya moto Halmashuri ya Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi walalamikia ubovu wa miundombinu ya barabara na kutaka marekebisho yafanyike na mamlaka husika. Wakizungumza na Mpanda Redio FM wamesema hali ya barabara siyo ya kuridhisha kwani barabara…
16 Mei 2023, 10:35 mu
Mbunge Kabati ahoji mpango wa serikali kukarabati barabara ya Nyang’oro
Na Hafidh Ally Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa iringa Dkt. Ritta Kabati ameiomba serikali kutenga fedha za kukarabati barabara ya Dodoma-Iringa katika mlima Nyang’oro. Kabati ameyasema hayo bungeni jijini Dodoma katika kipindi cha maswali na majibu huku akihoji ni…
12 Mei 2023, 3:19 um
Wakazi wa Ilangali waiomba serikali kuboresha machimbo ya Madini
Wananchi hao wameiomba Serikali kuyatazama machimbo hayo kwa jicho la tofauti ili yaweze kuwa msaada mkubwa wa kutatua changamoto mbalimbali za kijiji hicho. Na Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Ilangali Kata ya Manda wameilalamikia Serikali kwa kushindwa kuboresha machimbo…
12 Mei 2023, 8:15 mu
Barabara ya Mpanda – Karema Mbioni Kuanza Ujenzi
TANGANYIKA Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi anae shughulikia Sekta ya Ujenzi Ludovick Nduhye amefanya ziara ya kutembelea barabara ya kutoka Mpanda kwenda Bandari ya Karema ambayo inatarajiwa kuanza kujengwa hivi karibuni mwaka huu kwa kiwango cha…
11 Mei 2023, 4:26 um
Mbunge wa jimbo la Bahi atoa millioni 16 ujenzi wa Zahanati ya Mapinduzi Kigwe
Amesema zahanati hiyo itawaondolea adha wananchi hao ya kufuata huduma za afya kituo cha afya kigwe. Na Bernad Magawa. Mbunge wa jimbo la Bahi Mheshimiwa Kenneth Nollo ametoa Millioni 16 kujenga zahanati ya kijiji cha Mapinduzi kata ya kigwe ikiwa…
8 Mei 2023, 3:53 um
Kamati ya kuduma ya bunge ya maji na mazingira yatembelea bwawa la mtera
Mradi wa Maji mtera unategemewa kuongeza maji na kufika jumla ya lita milioni 201 ambazo zitaweza kutumika kwa miaka 13 ijayo jijini Dodoma. Na Seleman Kodima. Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maji na Mazingira pamoja na wataalamu kutoka wizara…
8 Mei 2023, 1:51 um
Wananchi wajitokeza kuchimba Msingi ujenzi wa Madarasa Bahi
Wakazi wa kijiji cha Bahi sokoni wameeleza kupokea mradi huo kwa furaha na kuiomba serikali kuendelea kupeleka miradi ya maendeleo katika kijiji hicho. Na Bernad Magawa. Wananchi wa kijiji cha Bahi Sokoni wilayani Bahi wamejitokeza kwa wingi kuchimba msingi wa…