Radio Tadio

Mifugo

6 July 2023, 10:34 am

Fisi wajeruhi mifugo Mufindi- Wananchi kuchukua tahadhari

Na Mwandishi Wananchi wilayani Mufindi wametakiwa kutoa ushirikiano wa kumsaka fisi ambaye ameua mifugo aina ya Nguruwe wawili kondoo Wanne na kujeruhi kuku katika bonde la Mgololo. Akitoa ufafanuzi wa sintofahamu iliyozuka katika kata ya Makungu, Afisa Habari na Mawasiliano…

17 May 2023, 7:08 pm

Zaidi ya mbwa 621 wauwawa Katavi

MPANDA Zaidi ya mbwa 621 wameuawa kufuatia zoezi lililofanyika kwa awamu nne la kuangamiza mbwa wasio na makazi maalum ili kuondoa mrundikano wa mbwa wenye vichaa ndani ya manispaa ya Mpanda. Hayo yamesemwa na Afisa Mifugo wa manispaa ya Mpanda…

22 February 2023, 3:31 pm

Chanjo ya kichaa cha Mbwa

Isidory Matandula  Imeelezwa kuwa asilimia 99 ya watu wanaokufa kutokana na ugonjwa wa kichaa cha mbwa, wanakufa kwasababu waling’atwa na Mbwa mwenye kichaa na asilimia moja tu ndio wanakufa kwa kung’atwa wanyama wengine . Hayo yamebainishwa na Dkt Sambo Maganga…

30 January 2023, 9:32 am

Waziri Ndaki awataka wafugaji kubadilika.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mashimba Ndaki (Mb)amewataka wafugaji kubadilika kwa kuacha mfumo wa ufugaji wa mazoea kwa kutegemea ardhi ya Jumuiya na badala yake wawe na eneo la kufugia Mifugo Yao eneo ambalo atatumia liwe linatambulika kisheria. Waziri…

17 November 2022, 3:56 pm

DC Ruangwa atoa siku mbili wafugaji kuondoka maeneo yasiyo rasmi

Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…

2 September 2022, 5:44 pm

WAFUGAJI WILAYANI MASWA WAASWA KUFUGA MIFUGO KISASA ZAIDI ILI KULET…

Mwenyekiti  wa  Halmashauri  ya  Wilaya  ya   Maswa   Mh   Simoni   Maige   Amewataka   Wafugaji  kufuga   Mifugo   kwa  Tija  ili  ilete   Manufaa  na  kuwakwamua   Kiuchumi.. Mh  Maige   ameyasema  hayo   wakati  wa  Uzinduzi  wa  Josho  la  kuogeshea   Mifugo  lililojengwa  katika  Kijiji  cha  Dodoma  kilichopo …