Radio Tadio

Maji

5 September 2025, 2:44 pm

Magembe wa Sunzula atupwa jela miaka 30

“Hatuwezi kuendelea kuona wanafunzi wa kike wanashindwa kufikia malengo yao kisa tu kunamwanaume mmoja mwenye tamaaa zake na wanafunzi lazima sheria ifuate mkondo wake serikali yetu imeweka mazingira ya elimu ili kila mtanzania apate elimu”. Na,Anitha Balingilaki Mahakama ya wilaya…

3 September 2025, 3:42 pm

Wadau kuja na mkakati elimu jumuishi Ifakara

Kongamano la elimu jumuishi ambalo limewakutanisha wadau mbalimbali kwa pamoja, wameahidi kuendeleza juhudi za kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto wote, bila ubaguzi. Na Katalina Liombechi Katika kuhakikisha elimu inawafikia watoto wote bila ubaguzi, kongamano la elimu jumuishi limefanyika leo…

23 August 2025, 9:28 pm

Hawa hapa walioteuliwa kugombea ubunge Geita

Kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa cha uteuzi wa wagombea kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Amos Makalla ametangaza majina…

August 20, 2025, 5:32 pm

Wananchi Kahama watakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji

”Wananchi wilayani Kahama changamkieni fursa za uwekezaji na kampuni ya Uwekezaji ya UTT Asset Management and Investor Services (UTT AMIS)” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kutumia fursa ya kuwekeza fedha zao na kampuni ya…

August 19, 2025, 12:26 pm

Sheria na kanuni za matumizi ya barabara yazingatiwe

”watembea kwa miguu zingatieni upande wao sahihi wa kupita, kwa mjibu wa sheria za usalama barabarani ni mkono wa kulia wa mtumiaji ili kutoa nafasi ya kuona chombo cha moto kilichombele yake” Na John Juma Watumiaji wa barabara katika Halmashauri…