Radio Tadio

Maji

16 Septemba 2025, 11:10 mu

UDP yaahidi kusimamia rasilimali za nchi

Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ikiwa ni njia ya kunadi sera na mipango yao kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025. Na: Edga Rwenduru Chama cha United Democratic Party (UDP) kimewaahidi watanzania kusimamia rasilimali za nchi  kwa…

16 Septemba 2025, 7:39 mu

Dkt. Jafari Rajabu aahidi maendeleo kwa wananchi Busanda

Mgombea ubunge wa Jimbo la Busanda, wilaya ya Geita kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Jafari Rajabu Seif, amezindua rasmi kampeni zake Septemba 15, 2025 kwa kuahidi kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi. Na: Ester Mabula Akizungumza wakati wa uzinduzi…

15 Septemba 2025, 8:25 mu

Katoro waitika uzinduzi wa kampeni za CCM jimbo hilo

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi mikakati ya kuhakikisha maendeleo yanashuka hadi ngazi za chini. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimezindua rasmi kampeni katika Jimbo jipya la Katoro Mkoani Geita kwa msisitizo wa kushughulikia changamoto zinazowakabili wananchi hususan…

13 Septemba 2025, 2:22 um

Katibu wa vijana CHADEMA Nyarugusu ajiunga CCM

Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ya kunadi sera za ila i ya vyama vyao kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Mwandishi wetu Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kata ya Nyarugusu,…

12 Septemba 2025, 5:28 mu

Mwenyekiti Jumuiya ya wazazi CCM akemea makundi

“Kazi kubwa iliyopo kwa sasa ni kutafuta ushindi wa chama chetu na sio kuendelea kuvunja nguvu katika masuala yasiyo leta tija ndani ya chama” – Mwenyekiti Nyamaigoro Na: Ester Mabula Mwenyekiti wa Jumuiya ya wazazi ya CCM wilaya ya Geita…

5 Septemba 2025, 2:44 um

Magembe wa Sunzula atupwa jela miaka 30

“Hatuwezi kuendelea kuona wanafunzi wa kike wanashindwa kufikia malengo yao kisa tu kunamwanaume mmoja mwenye tamaaa zake na wanafunzi lazima sheria ifuate mkondo wake serikali yetu imeweka mazingira ya elimu ili kila mtanzania apate elimu”. Na,Anitha Balingilaki Mahakama ya wilaya…