Maji
10 September 2025, 4:17 am
Wajasiriamali, wakulima Geita watoa kero kwa Mhandisi Chacha
Wagombea wa nafasi mbalimbali za uongozi wameendelea kuzungumza na wananchi kunadi sera za ilani ya vyama vyao ikiwa ni maandalizi ya kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu. Na: Ester Mabula Baadhi ya Wananchi wa mtaa wa Mwatulole na…
September 9, 2025, 3:04 pm
DC Nkinda atatua mgogoro wa ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 5
Mkuu wa wilaya ya Kahama Frank Nkinda na mwekezaji Tenth Maruhe (Picha na Sebastian Mnakaya) ”kwa mujibu wa sheria za ardhi, kutokana na maelezo ya afisa ardhi na mwekezaji mzawa Tenth Maruhe ametoa maagizo barabara hiyo kuondolewa ilipo kwa sasa…
8 September 2025, 7:53 pm
Jamii inawajibikaje kwa mwanamke aliyekosa nafasi ya uongozi?
Baadhi ya wachangia mada wa kata ya Mpanda Hotel. Picha na Anna Mhina “Tutamtia moyo na kumheshimu kwani amethubutu” Na Anna Mhina na Roda Elias Baadhi ya wananchi wa kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameeleza wajibu…
September 5, 2025, 3:25 pm
Fabius aahidi kukamilika kwa miradi iliyokwama Igurwa
Kufuatia kukwama kwa baadhi ya miradi yamaendeleo kwa muda mrefu katika kata ya Igurwa wilayani Karagwe mgombea udiwani kupitia chama cha ACT Wazalendo ameahaidi kukamilika kwa miradi hiyo kwa muda mfupi endapo atachaguliwa. Na Anold Deogratias Mgombea udiwani kata ya…
5 September 2025, 2:44 pm
Magembe wa Sunzula atupwa jela miaka 30
“Hatuwezi kuendelea kuona wanafunzi wa kike wanashindwa kufikia malengo yao kisa tu kunamwanaume mmoja mwenye tamaaa zake na wanafunzi lazima sheria ifuate mkondo wake serikali yetu imeweka mazingira ya elimu ili kila mtanzania apate elimu”. Na,Anitha Balingilaki Mahakama ya wilaya…
3 September 2025, 3:42 pm
Wadau kuja na mkakati elimu jumuishi Ifakara
Kongamano la elimu jumuishi ambalo limewakutanisha wadau mbalimbali kwa pamoja, wameahidi kuendeleza juhudi za kuboresha mazingira ya kujifunzia kwa watoto wote, bila ubaguzi. Na Katalina Liombechi Katika kuhakikisha elimu inawafikia watoto wote bila ubaguzi, kongamano la elimu jumuishi limefanyika leo…
23 August 2025, 9:28 pm
Hawa hapa walioteuliwa kugombea ubunge Geita
Kikao cha Halmashuri Kuu ya CCM Taifa cha uteuzi wa wagombea kimeongozwa na mwenyekiti wa CCM Dkt Samia Suluhu Hassan. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Itikadi Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa Amos Makalla ametangaza majina…
23 August 2025, 3:37 pm
Fisi waua kondoo, mbuzi wa mwenyekiti wa kitongoji Itilima
“Matukio ya wanyama pori wakali kuvamia makazi ya watu na kuua mifugo kuna kila namna ya kufanya kwa mamlaka za wanyama pori ili kuleta usalama kwa wananchi na mali zao lengo ni kuondoa umasikini kwa jamii kutokana na nguvu kubwa…
August 20, 2025, 5:32 pm
Wananchi Kahama watakiwa kuchangamkia fursa za uwekezaji
”Wananchi wilayani Kahama changamkieni fursa za uwekezaji na kampuni ya Uwekezaji ya UTT Asset Management and Investor Services (UTT AMIS)” Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kutumia fursa ya kuwekeza fedha zao na kampuni ya…
August 19, 2025, 12:26 pm
Sheria na kanuni za matumizi ya barabara yazingatiwe
”watembea kwa miguu zingatieni upande wao sahihi wa kupita, kwa mjibu wa sheria za usalama barabarani ni mkono wa kulia wa mtumiaji ili kutoa nafasi ya kuona chombo cha moto kilichombele yake” Na John Juma Watumiaji wa barabara katika Halmashauri…