Radio Tadio

Maji

20 March 2023, 4:56 pm

Wanawake wawe mstari wa mbele mtoto wa kike kupata elimu

KATAVI Wanawake Mkoani Katavi wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuwahamasisha watoto wa kike juu ya umuhimu wa elimu sambamba na kuwaeleza fursa zinazotolewa na serikali ili kuwasaidia kutimiza ndoto zao . Wito huo umetolewa hivi karibuni na Mkuu wa…

20 March 2023, 3:07 pm

Wananchi walalamika kutumia maji yasiyo salama

Wakazi walalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na salama baaada ya kuharibika kwa mashine ya kusukuma maji. Na Victor Chigwada. Wakazi wa kijiji cha Chinugulu wilayani chamwino wamelalamika kutumia maji ya mto kizigo ambayo sio safi na…

9 March 2023, 1:23 pm

Siku ya Wanawake Duniani Katavi watakiwa kuondoa vikwazo kwa wanawake

KATAVI Kutokuwa na uhuru wa kushiriki katika shughuli za kimaendeleo,rushwa,na kutokujua sheria zimetajwa kuwa ni changamoto zinazowakabiri wanawake. Akisoma Risala , Bi. Chiku Peter na kuwawakilisha wanawake katika kusherehekea siku ya wanawake  duniani iliyofanyika Machi 8 mwaka huu amesema kuwa …

1 March 2023, 5:14 pm

Nzelenze waiomba serikali huduma ya maji safi na salama

Hatua za kukabiliana na changamoto ya maji vijijini bado zinaendelea  ili kuondokana na matumizi ya maji yaliyo tuama na visima vifupi  ambayo ni hatari kwa afya za binadamu. Na Victor Chigwada                                                               Wananchi wa kitongoji cha Nzelenze Kata ya Itiso Wilaya…