Maji
25 January 2024, 16:04
Bilioni 30 kutumika mradi wa maji wa miji 28 Kasulu
Zaidi ya bilioni 30 zimetengwa na Serikali katika halmashauri ya mji kasulu kwa ajili ya ujenzi wa mradi wa maji wa miji 28 kasulu mjini ambao unajengwa kata ya kumnyika katika halmashauri hiyo. Michael Mpunije Kutoka Wilaya ya Kasulu ametuandalia…
24 January 2024, 16:02
Wananchi walia na ukosefu wa maji, watumia maji ya mito na visima
Baadhi ya Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma Mkoani Kigoma wanakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama kutokana na huduma hiyo kushindwa kuwafikia kwa zaidi ya miaka 60 na kuwalazimu kutumia maji machafu kutoka…
23 January 2024, 8:00 pm
Aweso aitaka Duwasa kumaliza tatizo la maji UDOM
Kwa mujibu wa makamu mkuu wa chuo kikuu cha Dodoma UDOM anasema chuo hicho kinakadiriwa kuwa na wanafunzi takribani elfu 36 hivyo kuchangia ongezeko la uhitaji wa huduma ya maji katika chuo hicho. Na Thadei Tesha.Waziri wa maji mh Juma…
23 January 2024, 5:55 pm
Vyanzo vya maji asili siyo salama zaidi kipindi hiki cha mvua Geita
Serikali wilayani Geita imeendelea kuboresha huduma ya upatikanaji wa maji safi ili kukabiliana na magonjwa ya mlipuko. Na Mrisho Shabani: Serikali wilayani Geita imewataka wakazi wa Kata za Katoro , Ludete na Nyamigota wilaya humo kuepuka kutumia maji ya kwenye…
20 January 2024, 9:48 am
Mradi wa Kata 5 kunufaisha watu zaidi ya laki moja Geita
Serikali imedhamiria kumaliza changamoto ya maji kwa kuendelea kutekeleza miradi mikubwa ya maji hususani vijijini. Mrisho Shabani: Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa Bilioni 10.8 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji wa…
16 January 2024, 12:43 pm
Upatikanaji wa maji Bunda kufikia 92% mwaka huu
Mamlaka ya maji Bunda BUWASSA imesema miradi yote ya maji inayotekelezwa mjini Bunda ikikamilika itafanya upatikanaji wa maji mjini Bunda kufikia asilimia 92. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji Bunda BUWASSA imesema miradi yote ya maji inayotekelezwa mjini Bunda ikikamilika…
4 January 2024, 7:45 pm
Wakazi Kisondela Rungwe wapeleka kilio cha maji kwa spika wa bunge
Suala la maji limekuwa changamoto kubwa kwa wananchi wa wilaya ya Rungwe licha ya kuwepo kwa vyanzo vingi vya maji ndani ya wilaya hiyo. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula wananchi wa Kijiji cha Kibatata Kata ya Kisondola Wilaya ya Rungwe Mkoani…
3 January 2024, 10:27 am
Zaidi ya vijiji 5 maji ni changamoto Geita
Vijiji vitano vya kata ya Bukondo mkoani Geita havina huduma za maji huku zahanati ya Bukondo inayohudumia vijiji vitano katika kata hiyo ikiwa na watumishi wawili tu. Na Zubeda Handrish- Geita Wananchi wa kata ya Bukondo mkoani Geita wamemweleza changamoto…
27 December 2023, 20:03
Kyela:Serikali kumtua ndoo mwanamke Kyela
Jumla ya shilingi bilioni nne zimetolewa na serikali ya Tanzania kwa wananchi wilayani Kyela ili kukamilisha mradi wa ujenzi wa mtandao wa maji safi na salama kutoka halmashauri ya Busokelo. Na Masoud Maulid Wananchi wilayani Kyela wameanza kuwa na matumaini…
16 December 2023, 12:01 pm
DC Maswa: Wananchi tunzeni vyanzo vya maji
Wadau wa maji na Wananchi watakiwa kutunza vyanzo vya maji ili kuweza kukabiliana na ukame unaosababishwa na shughuli za kijamii pamoja na mabadiliko ya tabia nchi Na Daniel Manyanga Mkuu wa Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Mhe.Aswege Kaminyoge amewataka Wananchi…