Maji
17 Juni 2024, 1:21 um
Maswa: Serikali yaombwa kuwekeza kwenye elimu jumuishi kwa watoto,vijana
“Elimu jumuishi kwa watoto na vijana itasaidia sana kupunguza wimbi la watoto mitaani na utegemezi wa ajira kutoka serikalini hivyo tusiogope kuwekeza kwenye elimu jumuishi.” Na Daniel Manyanga Wadau wa maendeleo kwa watoto na vijana wilayani Maswa mkoani Simiyu wameomba…
12 Juni 2024, 4:20 um
Mboje wa Singida atupwa jela miaka 30,faini ya laki tatu kwa kubaka Maswa
“Ukatili wa kijinsia umetajwa vyanzo vya matatizo ya kisakolojia kwa wahanga hivyo sheria ziwe na makali kwa mtuhumiwa hali ambayo itaweza kupunguza au kumaliza ukatili.” Na, Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu, Mboje Paul (28) mkazi…
10 Juni 2024, 5:47 um
Watembea umbali wa kilomita 35 kufuata huduma za TRA mjini Maswa
“Tunaomba sana elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara itolewe kwa upana wake na mara kwa mara ili tuweze kulipa kodi kwa hiari hali itakayoweza kujenga urafiki na TRA.” Na, Daniel Manyanga Wafanyabiarasha wa Mji mdogo Malampaka wilayani Maswa mkoani Simiyu…
7 Juni 2024, 11:15 mu
DC Simalenga awapa za uso wakulima makanjanja wa pamba
“Msimu ujao wa kilimo hatutaruhusu mkulima yeyote kuchukua mbegu na viatilifu bila kuonesha shamba lake alilolima ili kuondoa wakulima makanjanja katika zao hilo” Na, Daniel Manyanga Serikali wilayani Bariadi mkoani Simiyu imebaini uwepo wa ekari elfu arobaini hewa za zao…
26 Mei 2024, 4:42 um
Waziri Mkuu kutua Geita mwezi Juni
Ili kuongeza ufanisi na wigo katika ukusanyaji wa mapato serikali imeendelea kuanzisha vituo vya uwezeshaji wananchi kiuchumi ili kutengeneza walipa kodi wapya kupitia vituo hivyo. Na Mrisho Sadick: Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Kassim Majaliwa anatarajia…
21 Mei 2024, 22:40
NEMC kuwafikia wachimbaji madini zaidi ya 300 Mbeya, Songwe
Sekta ya madini ni sekta nyeti katika kuliingizia taifa pato,katokana na hali hiyo serikali imeendelea kuwatengenezea mazingira rafiki wachimbaji sambamba na kutoa elimu ya mara mara ili kujiepusha na madhara wanayoweza kuyapata kutokana na kazi ya uchimbaji. Na Kelvin Lameck…
17 Mei 2024, 17:12
Pangani DC yafikia 77% ya mapato 2023/24
Ukusanyaji wa mapato ndiyo msingi wa huduma bora kwa wananchi, watendaji wa halmashauri ongezeni nguvu katika makusanyo. Na Cosmas Clement Halmashauri ya wilaya ya Pangani imesema imefanikiwa kukusanya asilimia 77 ya bajeti ya mapato ya ndani, kupitia mapato lindwa na…
1 Mei 2024, 4:36 um
Nyumba 11 zabomoka kutokana na mvua kubwa,Kijiji cha Mwashimbai
Nyumba zilizoanguka hazikuzingatia ujenzi bora wenye kuvumilia hali ya hewa ya sasa Na Sebastian Mnakaya Zaidi ya nyumba 11 katika kijiji cha Mwashimbai kata ya Ngaya halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga zimeanguka kutokana na changamoto ya mvua zinazoendelea…
16 Aprili 2024, 4:00 um
Amuua mke kisa wivu wa kimapenzi
Matukio ya kujeruhi na kuua wenza wao yamezidi kushamili katika maeneo ya Kanda ya ziwa hasa katika wilaya ya Sengerema ambapo zaidi ya matukio matano yameripotiwa kutokea ndani ya miezi mitatu. Na:Said Mahera Mwanamme mmoja aliyejulikana kwa jina la Jackson…
6 Febuari 2024, 9:24 um
DC Makete aiagiza MAKEUWASA kuhakikisha mradi wa maji Isaplano unakamilika
Ikiwa ni muda mrefu umepita tangu kuanza kutekelezwa kwa Mradi wa Maji katika kata ya Isaplano Mkuu wa wilaya ya Makete Mh.Juma Samweli Sweda ameagiza Mamlaka ya Maji safi na Mazingira kuhakikisha mradi huo unakamailika kwa wakati Na Ombeni Mgongolwa…