Radio Tadio

Maji

15 July 2024, 9:10 pm

TVS 150 kupeleka kicheko kwa wateja wa maji mjini Maswa

“Katika kurahisisha wananchi wanapata maji safi na salama wakati wote mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mjini Maswa MAUWASA imepokea vifaa vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa kiutendaji”   Na, Daniel Manyanga  Mamlaka ya maji safi na usafi wa…

10 July 2024, 1:03 pm

Wananchi wilayani Meatu wachangia maji na ng’ombe

“Maji ni uhai kwa binadamu lakini wananchi wa wilaya ya Meatu wapo hatarini kupata magonjwa yatokanayo na kutumia maji  ya visima na mabwawa wao pamoja na mifugo ’’ Na,Daniel Manyanga Wakazi wa kata ya Mwandoya wilayani  Meatu, mkoani Simiyu wameiomba…

28 June 2024, 10:43 am

Warina asali wateketeza madarasa manne kwa moto Bariadi

“Elimu ya kujikinga na majanga kwa jamii inahitajika sana ili kusaidia kupunguza matukio ya moto hasa kwenye taasisi za umma na binafsi matukio ambayo yanatokea kwenye jamii zetu lakini inakosekana elimu ya kuzuia hayo majanga.” Na, Daniel Manyanga  Watu wasiojulikana…

24 June 2024, 7:34 am

CCM yaagiza viongozi wazembe washughulikiwe Geita

Viongozi wazembe wanaokwamisha miradi na wenye dharau wamekalia kuti kavu mkoani Geita baada ya katibu wa NEC kuagiza wasakwe na wachukuliwe hatua. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Organization na mlezi wa CCM Mkoa wa Geita Issa Haji Ussi GAVU…