Radio Tadio

Maji

18 Disemba 2024, 9:07 um

2900 wapata huduma ya utengamao mkoani Simiyu

“Kupatikana kwa huduma ya utengamao katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Simiyu kumepunguza gharama na muda kwa wananchi waliokuwa wanafuata huduma hiyo jijini Mwanza.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya wananchi  2900 mkoani  Simiyu wamenufaika na huduma za utengamao kwenye …

17 Disemba 2024, 9:30 um

X-ray yapunguza gharama na muda wa matibabu wilayani Maswa

” Umbali na gharama za kufuata huduma ya mionzi katika wilaya jirani ulikuwa kikwazo kwa wananchi wenye kipato cha chini lakini kusogezwa kwa huduma hiyo karibu kwa wananchi kumeleta faraja.” Na, Daniel Manyanga Wananchi wilayani Maswa mkoani Simiyu wamefurahia ujio…

16 Disemba 2024, 8:51 um

TCB yagawa baiskeli 218 kwa wakulima wezeshi wa pamba Maswa

“Mkoa wa Simiyu ni mmoja wapo wa mkoa unaozalisha Pamba nyingi hapa nchini hivyo kuwa zao mkuu la kibiashara na lakimkakati zaidi.” Na, Daniel Manyanga Katika kuhakikisha kilimo cha zao la Pamba kinawatoa wakulima kimaisha bodi ya Pamba Tanzania (TCB)…

14 Disemba 2024, 10:33

Wananchi Chunya wazikimbia nyumba zao kisa mwekezaji

Mgogoro mkubwa kati ya wananchi na mwekezaji umezuka, huku polisi wakitumia mabomu ya machozi kuwatawanya. Na Ezekiel Kamanga Wananchi wa Kijiji cha Ifumbo Kata ya Ifumbo Wilaya ya Chunya Mkoani Mbeya wamelazimika kuzikimbia nyumba zao baada ya Jeshi la Polisi…

12 Disemba 2024, 8:59 um

Reacts In kumaliza utapiamlo wilaya za Maswa, Meatu

“Suala la lishe ni mtambuka bila ushirikiano wa jamii na wadau hatuwezi kumaliza utapiamlo kwenye jamii yetu”. Na, Daniel Manyanga Katika kupambana na utapiamlo mkoani Simiyu halmashauri za wilaya ya Maswa na Meatu zimepokea mbegu za mahindi na maharage lishe…

10 Disemba 2024, 12:15 um

DC Kaminyoge aongoza wananchi wa Isageng’he kupanda miti

“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…

27 Novemba 2024, 4:03 um

Wananchi Maswa wapongeza zoezi la upigaji kura uchaguzi serikali za mitaa

Wananchi  Wilayani   Maswa  Mkoani   Simiyu  Wameipongeza  Serikali   kwa  Mandalizi  Mazuri  ya  zoezi  la  Uchaguzi  wa  Serikali  za  Mitaa  uliofanyika  leo  Nov,  17, 2024 Wakizungumza  kwa  nyakati tofauti  baada  ya  kupiga  kura  wamesema  kuwa   wananchi  wamehamasika  kupiga  kura  kwa  Wingi  ili …

23 Novemba 2024, 10:59 mu

Watu wenye ulemavu waomba kipaumbele kwenye uchaguzi

Watu wenye ulemavu, wanawake na vijana wametakiwa kuhamasika kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa ili kutimiza haki yao ya msingi ya kikatiba. Na: Ester Mabula – Geita Sikiliza simulizi ya Bi. Zainabu John (39) mwanamke mwenye ulemavu ambaye anaeleza…

20 Novemba 2024, 8:43 um

TAWA yavuna viboko wawili, watoa kitoweo kwa wananchi Busega

“Usalama wa raia ni ajenda ya kwanza katika Taifa lolote hatuwezi kuzungumzia maendeleo wakati huo raia wake wanapitia changamoto za kiusalama wao na mazao hasa waishio kandokando ya mapori au hifadhi.” Na, Daniel Manyanga Viboko wawili waliokuwa wanahatarisha usalama wa…