Maji
5 Mei 2025, 5:24 um
Wakulima wa pamba waomba kutazamwa upya kwa bei ya msimu huu
“Tusikilize hoja za wakulima wa pamba na tuzifanyie kazi maana kuna siku uzalishaji wa zao hilo utakuja kushuka na mwisho tutaanza kumtafuta mchawi ni nani wakati sisi ndiyo tulikuwa watu wa kwanza kufifisha juhudi za wakulima wetu kwa kitu kidogo…
3 Mei 2025, 8:14 um
Bei ya pamba bado ni kitendawili kwa wakulima
‘‘Nani atamfunga Paka kengele? Je nani ambaye ataziona nguvu za wakulima wa zao la pamba wanapohangaika wakati wa kilimo hivi hatuwezi kuwa na soko huria ili kuipa thamani pamba yetu maana naona kabisa vita vya Panzi furaha ya Kunguru anayeumia…
1 Mei 2025, 5:47 um
Wafanyabiashara Maswa wakana kuchangishwa fedha za nyumba ya DC
“Jumuiya ya wafanyabiashara(TTCIA)wilayani Maswa mkoani Simiyu wameonya nakutotaka jina lao kutumiwa na watu kwa maslahi yao binafsi,hali inayowachonganisha wao na watendaji wa Serikali Wilayani hapo”. Na,Alex Sayi-Maswa Simiyu Jumuiya ya wafanyabiashara wilayani Maswa mkoani Simiyu(TTCIA) wamekanusha taarifa zilizotolewa mitandaoni kwenye…
30 Aprili 2025, 2:34 um
Jumanne jela miaka 30,fidia laki tano kwa kubaka mwanafunzi wa sekondari Maswa
“Kuna kila sababu sasa kwa mamlaka za kutunga sheria kukubali kuwa sheria walizotunga siyo kali na wala wananchi waovu hawaziogopi tena hizo adhabu maana kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea sasa ipo haja ya kurudi tena darasani tuje…
24 Aprili 2025, 6:40 um
Jela miaka 30, fidia laki mbili kwa kuzini na mwanae wa damu
“Nafikiri bado kuna kila sababu kwa mamlaka zilizopewa kutunga sheria kukaa tena chini kuziangalia upya hizi sheria zetu maana haiwezekani kila kukicha matukio ya ukatili wa kinjisia yanatokea licha ya wahusika kuhukumiwa kutumikia adhabu ya kifungo kama itawezekana adhabu ya…
16 Aprili 2025, 3:23 um
MAUWASA yang’ara tuzo za mamlaka Tanzania bara
“Tuna kila sababu ya kuupongeza uongozi wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa nanma ambayo umeweza kutekeleza dhana ya kumtua mama ndoo kichwani kwa vitendo na siyo kwa maneno leo hii maji safi na salama…
15 Aprili 2025, 8:42 um
Jela miaka 30 kwa kubaka mwanafunzi Maswa
“Matukio ya ubakaji yamekuwa yakiongezeka kila siku, je, jamii yetu haina uelewa wa madhara kwa mhanga au sheria zetu hazina ukali wa kumaliza kesi hizi kama ni hivyo basi kuna kila sababu sasa kwa mamlaka husika kukaa chini na kuziangalia…
9 Aprili 2025, 3:41 um
Mvua yaziacha kaya 16 bila makazi Itilima
“Bado tunakila sababu kwa mamlaka husika kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya madhara ya kujenga kwenye mikondo ya maji maana kila kiongozi yakitokea maafa kama ya mafuriko tunaanza kuwaambia wananchi madhara ya kujenga bondeni Je? Kipindi wanaanza ujenzi mamlaka…
2 Aprili 2025, 8:04 um
Fisi wavamia na kuua kondoo wa mahari Bariadi
“Hivi hatuwezi kumaliza kabisa suala la fisi mkoani hapa? Siku chache zilizopita matukio kama haya yaliripotiwa katika wilaya za Itilima na Maswa leo hii wameingia mjini Bariadi je, ni kweli hatuwezi au ndiyo kusema bado hatujaamua kufanya hivyo? Naomba kwenye…
2 Aprili 2025, 9:42 mu
CCM Geita yawakalia kooni walioanza kampeni
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka huu baadhi ya makada wa CCM wameanza kutafuta nafasi za uongozi kwa nguvu zote huku wakingine wakianza kuvunja utaratibu wa chama. Na Mrisho Sadick: Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita kimetoa onyo kali kwa wanachama…