Radio Tadio

Maendeleo

2 September 2024, 10:59 am

Wananchi watoa maoni mapendekezo bei mpya ya umeme

Kwa sasa bei za Uniti za Umeme Nchini Tanzania zinatofautiana kulingana na matumizi na Ruzuku za Serikali. Na Seleman Kodima. Wakazi wa Jiji la Dodoma wamekuwa na maoni tofauti juu ya mapendekezo yaliyotolewa Bungeni Jijini Dodoma juu ya mapatio mapya…

22 August 2024, 4:45 pm

CCM wilaya ya Geita yatoa tamko ufatiliaji wa miradi

CCM wilaya ya Geita kuwachukulia hatua baadhi ya wajumbe ambao wamekuwa wakitumia pikipiki  za chama hicho kusafirisha abiria jambo ambalo ni kinyume na malengo. Na: Kale Chongela – Geita Katibu wa CCM wilaya ya Geita ndugu Marko Msuya leo Agosti 22,…

29 July 2024, 7:53 pm

Umeme wa REA waimarisha huduma za afya Hombolo Bwawani

Mikoa mingine inayotekelezwa na mradi huo ni Mwanza, Kagera, Simiyu, Arusha, Pwani, Lindi na Mtwara. Na Mindi Joseph.Baadhi ya Wananchi kutoka katika Mitaa ya Kolimba na Hombolo Bwawani Kata ya Hombolo Jijini Dodoma wamesema uwepo wa huduma ya Umeme wa…

25 July 2024, 10:34 am

M/Kiti UVCCM wilaya ya Geita ahimiza vijana kujiandikisha

Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM mkoa wa Geita Manjale Magambo amewataka vijana kujitokeza katika kwenda kujiandikisha katika daftari la mpinga kura. Na: Kale Chongela – Geita Mwenyekiti wa UVCCM Manjale Magambo akiwa katika mkutano wa hadhara uliofanyika Julai 22,…

9 July 2024, 2:41 pm

Jamii yakumbushwa kuacha kutumikisha watoto Geita

Jamii imekumbushwa kuwalinda watoto dhidi a vitendo hatarishi ili kupunguza ukatili ambao unaendelea kwenye jamii. Imeelezwa kuwa kumekuwepo na ongezeko la watoto wanaoishi mazingira magumu (mitaani) katika mtaa wa Msalala road uliopo kata ya Kalangalala halmashauri ya mji wa Geita…

24 June 2024, 7:34 am

CCM yaagiza viongozi wazembe washughulikiwe Geita

Viongozi wazembe wanaokwamisha miradi na wenye dharau wamekalia kuti kavu mkoani Geita baada ya katibu wa NEC kuagiza wasakwe na wachukuliwe hatua. Na Mrisho Sadick: Katibu wa NEC Organization na mlezi wa CCM Mkoa wa Geita Issa Haji Ussi GAVU…