Kilimo
4 February 2025, 9:47 am
Wezi waiba na kuchinja ng’ombe wawili Nyankumbu
Matukio ya mifugo aina ya ng’ombe kuibiwa na kuchinjwa nyakati za usiku yameendelea kuacha maswali kwa wananchi katika mitaa mbalimbali ya manispaa ya Geita. Na: Edga Rwenduru – Geita Wakazi wa mtaa wa Elimu kata ya Nyankumbu halmashauri ya manispaa…
4 February 2025, 09:45
TAKUKURU Geita yabaini udanganyifu miradi ya maendeleo
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Geita imebaini mapungufu makubwa kwenye miradi 4 yenye thaani ya shilingi bilioni 1 milioni 45 na laki 6 kati ya miradi 34 yenye thamani ya shilingi bilioni 16.6 iliyofanyiwa ufuatiliaji mkoani humo…
January 31, 2025, 5:36 pm
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la zimamoto na uokoaji Kahama
Mkaguzi msaidizi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilaya ya Kahama Hafidhi Omary{picha na Sebastian Mnakaya} wananchi wameshauriwa kutoa taarifa mapema kwa jeshi la zimamoto na uokoaji endapo kukatokea janga la moto na majanga mengine ili liweze kutoa msaada…
31 January 2025, 13:07
Watumishi wa umma watakiwa kuzingatia utawala bora Buhigwe
Watumishi wa umma Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa kuzingatia utawala bora ili kuhakikisha wanafikia azma ya kufikisha maendeleo kwa wananchi. Na Emmanuel Kamangu Katibu tawala wa Wilaya ya Buhigwe Utefta Mahega amewataka Watumishi wa umma Wilaya ya…
31 January 2025, 12:11
Madiwani wapitisha bajeti ya shilingi bilioni 68.3 Geita
Madiwani katika Halmashauri ya Manispaa ya Geita wamesema bajeti hiyo itaenda kusaidia katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kwa wananchi Na Samwel Masunzu – Geita Baraza la madiwani la halmashauri ya manispaa ya Geita mkoani Geita limepitisha rasmu ya makadirio…
31 January 2025, 11:25
TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo
Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…
28 January 2025, 14:37
RC Kigoma akabidhi pikipiki na gari kusambaza chanjo
Serikali imesema itahakikisha inawafikia watoto katika zoezi la usambazaji wa chanzo katika wilaya za mkoa wa kigoma Na Josephine Kiravu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amekabidhi pikipiki 12 pamoja na gari moja kwa ajili ya kusambaza chanjo katika…
24 January 2025, 08:42
‘Wananchi bado wana uelewa mdogo wa kisheria’
Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Thobias Andengenye amewataka wananchi kujitokeza kushiriki kwenye kampeni ya Mama Samia Legal Aid ili waweze kupata elimu ya masuala ya kisheria. Na Josephine Kiravu Imeelezwa kuwa uelewa wa kisheria kwa wananchi hasa wanaoishi maeneo ya…
23 January 2025, 11:50 am
Wadau wa mazingira na utalii kuja na mpango wa kutunza vivutio vya asili
Na Joyce Buganda Wadau wa Mazingira na utalii wametakiwa kuwa mabalozi kwa kutunza vivutio vya asili ili jamii inayowazunguka iige mfano kutoka kwao Akizungumza wakati akifungua warsha ya siku mbili iliofanyika katika ukumbi wa hotel ya Sunset Iringa mjini Mkuu…
20 January 2025, 11:44
Wakuu wa kaya watakiwa kujenga vyoo bora
Ujenzi wa vyoo bora kwa kila kaya inatajwa kuwa sehemu ya mapambano dhidi ya magonjwa ya mlipuko ikiwemo kipindupindu. Na Michael Mpunije Wakuu wa kaya Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kujenga vyoo bora na kuzingatia kanuni za…