Radio Tadio

Kilimo

17 October 2024, 17:19

Waandishi waendesha ofisi walia na ujio wa akili mnemba

Watumishi wa Umma katika kada ya Waandishi waendesha Ofisi mkoani Kigoma wamelalamikia baadhi ya wakuu wa idara na vitengo kushidwa kuthamini kazi zao huku wakiwa katika hatari ya kupoteza ajira kutokana na mabadiliko ya Sayansi na Technolojia baada ya kazi…

17 October 2024, 11:25

Kanisa la anglikana laahidi kuunga mkono serikali utoaji huduma

Askofu kanisa la Anglikana dayosisi ya western Tanganyika mkoa wa kigoma amesema kanisa lipo tayari kushiriki na kuunga juhudi za Serikali katika kuboresha miundombinu ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila- Kasulu Kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika Mkoani Kigoma Limesema…

10 October 2024, 14:27

Wananchi waomba serikali kupunguza gharama nishati safi

Serakali imeendelea kuhimiza matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa lengo la kupunguza uharibifu wa mazingira. Na Tryphone Odace – Kigoma Wananchi mkoani Kigoma wameiomba serikali kuangalia namna ya kupunguza gharama za ununuzi wa majiko ya nishati safi ikiwemo gesi…

9 October 2024, 11:40

Wazazi waaswa kulea watoto katika maadili mema

Wanafunzi wanaohitimu elimu ya kidato cha nne katika shule ya sekondari Rev. A. Bungwa iliyopo halmashauri ya mji wa kasulu wametakiwa kuwa na maadili mema kwenye jamii na kufuata misingi waliyofundishwa kwa kipindi chote walichokuwepo shuleni kwa manufaa yao ya…

8 October 2024, 09:54

Madaktari bingwa waweka kambi ya matibabu Kigoma

Baadhi ya wananchi wa  Mnispaa ya Kigoma Ujiji wamepengeza hatua ya ujio wa madaktari bingwa wa Dkt. Samia Suluhu Hassan na kuwa itasaidia kupata huduma za kibingwa na kuokoa gharama ambazo wangetumia kwenda kutafuta matibabu nje ya mko wa Kigoma.…

4 October 2024, 17:21

Benki ya EXIM yaahidi kutoa huduma bora kwa wateja wake

Benki ya Exim tawi la Kigoma imesema itaendelea kuboresha na kutoa huduma bora kwa wateja wake huku ikiwataka wafanyabiashara na mashirika yaliyopo mkoani kigoma kujitokeza na kuomba mikopo inayotolewa na benki hiyo kwa lengo la kukuza biashara zao. Na Joha…

4 October 2024, 13:27

Wazazi watakiwa kuwezesha watoto kupata elimu bora

Serikali imewataka wazazi na walezi kuendelea kuwapeleka watoto wao shule ili kupata elimu itakayowasaidia kuweza kutimiza ndoto zao. Na Lucas Hoha – Kasulu DC Wazazi katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema…

4 October 2024, 13:03

Jamii yaaswa kutowaficha watoto wenye ulemavu

Wito umetolewa kwa jamii na wadau wa maendeleo kutoa taarifa za watoto wenye ulemavu na kuwafichua ili waweze kupelekwa shule na kupata elimu kama watoto wengine kwenye jamii. Na Sadiki Kibwana – Kigoma Wazazi na walezi Manispaa ya Kigoma Ujiji…