Radio Tadio

Kilimo

26 February 2025, 14:38

TEA yakabidhi mradi wa nyumba nne na madarasa matatu Kasulu

Serikali imeendelea kuboresha elimu nchini kwa kujenga vyumba vya madarasa ili wananfunzi waweze kupata elimu bora. Na Hagai Ruyagila Mamlaka ya Elimu Tanzania TEA imekabidhi mradi wa nyumba nne kwa shule ya sekondari Nyumbigwa na madarasa matatu katika shule ya…

25 February 2025, 6:17 pm

Maswa mbioni kuzalisha chaki zitakazouzwa nchi nzima

Kiwanda cha kuzalisha chaki kilichopo wilayani Maswa mkoani Simiyu mbioni kuzalisha chaki zitakazokuwa mwarobaini kwa mahitaji ya chaki nchini kwa shule za msingi na sekondari. Na, Alex Sayi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu iko mbioni kuanza uzalishaji wa…

24 February 2025, 3:51 pm

TRA mkoa wa Simiyu yakusanya bilioni 14.2 kwa miezi sita

‘‘Hakuna mtu yeyote atakayetoka nje ya nchi kuja hapa nchini kwetu kutuambia namna bora ya kulifanya taifa letu liweze kusonga mbele katika kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo ili kufikia malengo mama ya taifa kama sisi wenyewe hatutaweza kulipa kodi kwa…

19 February 2025, 10:45

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35.7 Kasulu Mji

Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Kanali Michael Ngayalina ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe amesema bajeti iliyopishwa ikawe chachu ya kuchochea maendeleo kupitia miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Mji Kasulu…

19 February 2025, 9:15 am

Wananchi watakiwa kutunza mazingira

Picha ikionesha takataka zilizotupwa ovyo. Picha na Leah Kamala “Wananchi watunze mazingira ili kuepuka magonjwa ya mlipuko” Baadhi ya wananchi wa manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameta maoni yao mseto kuhusiana na mandhara ya utupaji holela wa taka katika mazingira.…

10 February 2025, 11:45

M-mama yaja na suluhisho la vifo vya wajawazito, watoto

Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa afya wameendelea kuweka mikakati ya kupata suluhisho la tatizo la vifo vya wajawazito na watoto wachanga kwa kuhakikisha huduma za dharula zinapatikana kwenye jamii. Na Emmanuel Kamangu Katika kukabiliana na vifo vya mama…

6 February 2025, 11:56

Diwani atoa msaada wa madawati kwa shule sita Kasulu

Wadau mbalimbali wa maendeleo wametakiwa kuwa na desturi kuchangia kwenye maendeleo ya shule ili kuhakikisha wanafunzi wanasoma katika mazingira mazuri na kuongeza ufaulu Na Emmanuel Kamangu Jumla ya madawati 210 yenye thamani ya zaidi ya milioni 11 zimetengenezwa na diwani…

4 February 2025, 11:47

Mfumo wa tehama wasaidia kumaliza mashauri kwa wakati Geita

Mahakama kuu Masjala ndogo ya Geita Mkoani Geita imesema matumizi ya teknolojia imesaidia kuharakisha na kumaliza mashauri kwa wakati Imeelezwa kuwa matumizi ya mfumo wa tekonojia TEHAMA katika uendeshaji wa shughuli za kimahakama umesaidia kumaliza mashauri ndani ya wakati na kwa haraka…

4 February 2025, 11:26

Serikali yaweka mikakati kutatua changamoto ya madawati Kasulu

Serikali katika Halmashauri ya Mji Kasulu imesema kupitia bajeti iliyopitishwa kuweka kipaumbele cha ununuzi wa madawati katika halmashauri hiyo ili kusaidia kupunguza uhaba wa madawati uliopo katika shule mbalimbali. Na Michael Mpunije Idara ya Elimu halmashauri ya mji Kasulu mkoani…