
Kilimo

7 November 2024, 9:23 am
Maswa:Wanawake wahimizwa kuchota mafedha Halmashauri
Wakazi wilayani Maswa Mkoani Simiyu mbioni kunufaika na mikopo ya 10% inayotengwa na Halmashauri kutoka kwenye mapato yake ya ndani baada ya Serikali kusitisha zoezi hilo toka April,2023/2024. Na,Alex Sayi Wanawake na Samia wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamehamasishwa kuchangamkia fursa…

5 November 2024, 13:09
Wahudumu wa afya watakiwa kutoa elimu ya uzazi Kasulu
Serikali kupitia idara ya katika Halmashauri ya mji wa Kasulu Mkoani Kigoma imewataka wanawake hasa wajawazito kuhidhuria kliniki na kutumia dawa wanazoelekezwa na wataalamu wa afya waweze kujifungu watoto wakiwa hawana matatizo. Na Michael Mpunije – Kasulu Baadhi ya wanawake…

28 October 2024, 15:32
Madaktari bingwa waweka kambi hospitali ya rufaa maweni Kigoma
Madaktari bingwa na mabingwa bobezi 31 wameanza Kambi ya matibabu ya Siku Tano ikiwa ni katika kuadhimisha miaka Hamsini (50) tangu kuanzishwa kwa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Kigoma Maweni. Na Lucas Hoha – Kigoma Wananchi Mkoani Kigoma wamepongeza…

28 October 2024, 13:03
Wahitimu FDC Kasulu watakiwa kuwa wabunifu kujipatia kipato
Katibu tawala wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Bi. Theresia Mtewele amesema tayari serikali imefungua zoezi la utoaji wa mikopo ya asilimia kumi inayotolewa na halamshauri kupitia mapato ya ndani na hivyo vijana wanaohitimu mafunzo ya ufundi hawana budi kuchangamkia fulsa hiyo…

24 October 2024, 12:14
Kamati vyama vya siasa yaridhishwa mwenendo wa uandikishaji
Viongozi wa siasa mkoani Kigoma kupitia Umoja wa vyama vya siasa mkoani hapa wameeleza kuridhishwa na zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wakazi kwa ajili ya kupata sifa ya kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika novemba 27,2024. Na, Josephine…

24 October 2024, 09:06
Watendaji watakiwa kuwa wabunifu utoaji wa chakula shuleni
Serikali wilayani Buhigwe imesema inaendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kukabiliana na tatizo la udumavu kwa watoto ikiwa ni pamoja na kusimamia suala la chakula shuleni ili wanafunzi waweze kupata chakula. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Mwenyekiti wa kamati ya lishe…

22 October 2024, 09:19
Ufadhili wa masomo ya ufundi wawakosha wanafunzi Kakonko
Serikali wilayani Kakonko imesema itaendelea kuwapa mikopo vijana wanahitimu mafunzo ya ufundi stadi ili waweze kutumia mikopo hiyo kujiajiri kupitia shughuli mbalimbali za uzalishaji mali na kujiongezea kipato. Na James Jovin – Kakonko Wanafunzi waliohitimu mafunzo ya ufundi stadi katika…

18 October 2024, 17:30
Askofu Emmanuel Bwatta ajiandikisha kwenye daftari la mkaazi Kasulu
Askofu wa Kanisa la anglikana dayosisi ya western Tanganyika Mhashamu Emmanuel Bwata amewataka wananchi kujiandikisha ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mita. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wito umetolewa kwa wananchi wa wilaya ya Kasulu Mkoni Kigoma kutumia…

18 October 2024, 16:56
DED Kasulu ahimiza wananchi kutumia muda uliobaki kujiandikisha
Wakati zikiwa zimesalia siku mbili kabla ya zoezi la kujiandikisha kwenye daftari la mkaazi kufungwa hapo oktoba 20 mwaka huu, wananchi wametakiwa kutumia muda huo kujitokeza na kujiandikisha ili waweze kupata nafasi ya kushiriki kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa…

17 October 2024, 17:19
Waandishi waendesha ofisi walia na ujio wa akili mnemba
Watumishi wa Umma katika kada ya Waandishi waendesha Ofisi mkoani Kigoma wamelalamikia baadhi ya wakuu wa idara na vitengo kushidwa kuthamini kazi zao huku wakiwa katika hatari ya kupoteza ajira kutokana na mabadiliko ya Sayansi na Technolojia baada ya kazi…