Kilimo
13 Juni 2025, 5:06 um
DC Maswa atangaza kiama kwa wakopeshaji wasiokuwa na kibali cha BoT
“Hatuwezi kuwavumilia watu au taasisi ya mikopo inayowakandamiza wakopaji kwa kuwatoza riba kubwa ya marejesho na kwa muda mfupi sana ambapo ni kinyume cha sheria na taratibu za mikopo kulingana na vibali vya benki kuu ya Tanzania BOT hivyo lazima…
8 Juni 2025, 9:08 um
Ngorongoro waaswa kuepuka matumizi ya plastiki
Mifuko na chupa za plastiki ni uchafu ulio hatari zaidi kwa mazingira hasa zikitumika na kutupwa ovyo hususani kwa wilaya ya Ngorongoro inaweza kuleta madhara makubwa kwa mifugo na wanyama endapo wataila na kuimeza. Na Zacharia James Wananchi wilayani Ngorongoro…
28 Mei 2025, 12:18
Zaidi ya vyandarua milioni 1.7 kusambazwa Kigoma
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali wa afya katika kukabiliana na ugonjwa wa Malaria ambao umekuwa ukisumbumbua katika mataifa mbalimbali kusini mwa jangwa la Sahara. Na Josephine Kiravu Zaidi ya vyandarau million 1.7 vyenye thamani ya zaidi ya shilingi…
27 Mei 2025, 11:19 mu
Sangamwalugesha yaomba kujengewa soko la kisasa
“Uchumi wetu unajengwa na wajasiliamali wadogo wadogo hivyo tuna kila sababu kwa mamlaka husika kuwatengenezea mazingira mazuri ya wao kufanya biashara ikiwemo miundombinu ya masoko pamoja na kuangalia tozo ambazo hazina afya kwa wafanyabiashara”. Na, Daniel Manyanga Kukosekana kwa soko…
19 Mei 2025, 4:22 um
Wafanyabiashara wakerwa na taka zitokanazo na karanga
‘uchafu huo unaotokana na viwanda hivyo zinawasababisha wao kupata mafua ya mara kwa mara na kuharibu biashara zao‘ Na Samwel Mbugi-Katavi Baadhi ya wafanyabiashara wa soko la jioni linalofanyika eneo la kata ya Mpanda hotel manispaa ya Mpanda mkoa wa…
9 Mei 2025, 16:54
FAO yataka wanaume kushiriki maandalizi ya lishe kwa watoto
Jamii Mkoani Kigoma imetakiwa kuzingatia suala la lishe bora kwa watoto. Na Michael Mpunije Shirika la umoja wa mataifa la Chakula na Kilimo FAO limetoa wito kwa wanaume mkoani Kigoma kushirikiana na wenza wao katika kufanya maandalizi ya chakula ili…
29 Aprili 2025, 14:54
UNICEF yatoa vifaa vya sayansi kwa shule za sekondari
Serikali imesema itaendelea kushirikiana na mashirik mbalimbali kwa ajili ya kuboresha huduma za elimu Mkoani Kigoma. Na Sadiki Kibwana Mkuu wa Wilaya ya Kigoma Dkt. Rashid Mohammed Chuachua amegawa vifaa vya sayansi kwa shule za sekondari Mkoa wa Kigoma vyenye…
9 Aprili 2025, 11:34
Maafisa usafirishaji majini watakiwa kuwa na leseni
Shughuli za usafirishaji kwa njia za maji ni miongoni mwa vyanzo vya mapato kwa taifa la Tanzania pia kwa mwnanchi mmoja mmoja hivyo weledi na ufanisi utafanikisha shughuli hiyo Na Sadick Kibwana Wadau wa usafirishaji wa majini Mkoa wa Kigoma…
28 Machi 2025, 10:11 mu
Maswa: Walioshindwa kurejesha mikopo kufikishwa mahakamani
“Hatuwezi kukaa kimya kwa wale ambao walichukua fedha za halmashauri na kwenda kujikwamua kiuchumi lakini linapokuja swala la kurejesha wanaingia mitini haiwezekani halmashauri ibane matumizi kwa ajili ya mikopo halafu watu wasirudishe ifike sehemu wajuwe hizi ni fedha za walipa…
27 Machi 2025, 9:58 um
Wanawake Hanang’ wapata elimu ya uandaaji lishe
Baadhi ya wanawake wilayani Hanang mkoani Manyara wamefundishwa namna ya kuandaa lishe bora ili kudhibiti tatizo la udumavu kwa watoto. Na Mzidalfa Zaid Katika kuhakikisha watoto wanakuwa na lishe bora, jamii wilayani Hanang mkoani Manyara imeshauriwa kuhifadhi vyema mazao,kwa kuhakikisha…