Kilimo
27 Machi 2023, 14:20
Wananchi Kondoa wasisitizwa kilimo cha umwagiliaji
Mhe. Rosemary Senyamule amewataka wananchi wa Wilaya ya Kondoa kujikita katika kilimo Cha Umwagiliaji Ili kuondoa Janga la njaa, kujiongezea kipato na kukabiliana na mabadiliko ya tabi ya nchi. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary Senyamule…
22 Machi 2023, 7:46 mu
Uwepo wa wadhamini wa kilimo umeongeza tija katika mazao Katavi
KATAVIUwepo wa Wadhamini wa kilimo katika mkoa wa katavi utasaidia ukuaji wa maradufu wa tija ya uzalishaji katika mazao mkoani hapa. Akiongea katika kongamano la Wadau wa Sekta ya Kilimo wa Pass Trust kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa…
17 Machi 2023, 16:27
Juhudi za serikali kuinua kilimo na wakulima wa zabibu Dodoma
Serikali kupitia wizara ya kilimo imeanza kulifufua shamba la Zabibu lililopo eneo la Chinangali 2 mkoani Dodoma, ufufuaji wa shamba hilo unakwenda sambamba na ujenzi wa kiwanda kikubwa kwa ajili ya kuchakata zabibu hizo. Na Alfred Bulahya. Serikali kupitia wizara…
17 Machi 2023, 2:44 um
WAKULIMA WA MPUNGA WAMPA KONGOLE BI MAIBA AFISA UMWAGILIAJI.
Na Amina Massoud Jabir Wakulima wa mpunga wa umwagiliaji bonde la Kindani na Machigini wilaya ya mkoani pemba wamepongeza juhudi zinazichokuliwa na kiongozi mwanamke katika kuwasimamia namna bora ya uzalisahji wa mazo yao. Wakizungumza na mwandishi wa habari hizi wakulima…
13 Machi 2023, 15:43
Wananchi wilayani Bahi wasisitizwa kulima mtama
Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilaya ya Bahi kuhakikisha kila kaya inalima ekari mbili za mtama ili kuepuka adha ya kukosa chakula. Na Benard Magawa. Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaagiza wananchi wilayani humo kuhakikisha kila kaya…
9 Machi 2023, 12:57 um
Vijana wanufaika na mashamba kutoka Manispaa ya Mpanda
KATAVI Manispaa ya Mpanda imetoa mashamba kwa vijana ambao hawakuchaguliwa kushiriki Mafunzo ya BBT-YIA (Building a Better Tommorow Youth initiative for agriculture ) yaliyo ratibiwa na wizara ya kilimo na kutolewa February 15 Mwaka huu jijini Dodoma. Afisa kilimo, mifugo…
Machi 7, 2023, 9:35 um
Mkuu wa Mkoa wa Njombe awapongeza watumishi Makete kwa Ubunifu
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewapongeza Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa ubunifu wa Miradi mbalimbali ikiwemo Kilimo cha zao la Ngano. Pongezi hizo amezitoa leo Machi 7, 2023 akiwa kwenye Kikao kazi kati ya…
Machi 6, 2023, 6:59 um
Kikao Kazi kuelekea Kilimo cha Ngano Makete
Kikao kazi cha maafisa Ugani na Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Makete kitakachofanyika kwa siku mbili kimeanza leo katika Mkakati wa kuendeleza zao la Ngano Makete. Kikao hicho kimehudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo wanafunzi 80 kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo…
Machi 6, 2023, 6:39 um
Maandalizi ya Kilimo cha Ngano yaanza Makete
Trekta likiwa shambani wakati wa maandalizi ya Mashamba ya Ngano Kijiji cha Mbalatse
Machi 5, 2023, 2:51 um
Waziri wa Kilimo aagiza Msola akamatwe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka akiangalia mifuko ya Mchanga kwenye moja ya ghala la Mbolea