Kilimo
28 Juni 2023, 14:50
Pembejeo za ruzuku zawafikia wakulima Mtwara
Mchakato wa ugawaji wa pembejeo ya ruzuku kwa wakulima wa zao la korosho umeanza kuwafikia wakulima katika maeneo mbalimbali nchini. Akizungumzia mchakato huo Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Korosho Tanzania Ndugu Francies Alfred amesema kuwa kwa miaka miwili iliyopita ugawaji…
27 Juni 2023, 19:37
AMDT yawakutanisha wabunge wa Lindi, Mtwara kujadili zao la alizeti
Taasisi ya kuboresha Mifumo ya Masoko ya Kilimo Tanzania katika kuinua sekta ya kilimo nchini, imeamua kuanza na mikoa ya Lindi na Mtwara kulifanya zao la alizeti kuwa zao la kimkakati katika mikoa hiyo. Na Mindi Joseph. Zao la alizeti…
27 Juni 2023, 16:38
Kilimo cha umwagiliaji chachu uhakika wa chakula
Mwema ametumia nafasi hiyo kuwahamasisha wananchi kujiingiza kwenye kilimo cha umwagiliaji ili kusaidia upatikanaji wa chakula kwa wingi na kwa uhakika. Na Bernadetha Mwakilabi. Mwakilishi wa shirika la chakula duniani (WFP) nchini Tanzania Bi Sarah Gordon- Gibson amesema kuwa kilimo…
25/06/2023, 17:28
Wakulima Lumuma wanufaika elimu uhifadhi vitunguu kidijitali kupitia mradi wa AO…
Wakulima wa vitunguu kushindwa kunufaika na kilimo cha vitunguu kunatokana na kukosa ujuzi wa kuhifadhi mazao hivyo huwalazimu kuyauza kipindi ambacho mazao mengi yanakua sokoni. Unapotumia njia ya kidigitali ya uhifadhi wa vitunguu utakusaidia kuwa usalama wa mazao yako na…
21/06/2023, 16:10
Wakulima washauriwa kutumia mbolea ya mboji kuzalisha mazao yenye ubora
Katika kuhakikisha thamani ya mazao yanayolimwa wilayani Kilosa inaongezeka sokoni ni wajibu kwa wakulima kutumia mbolea za mboji na kuzalisha mazao yasiyo na kemikali za mbolea ya viwandani ambayo mazao hayo yanauzwa kwa gharama kubwa katika masoko ya nje. “Acheni…
21 Juni 2023, 15:47
Wakulima wa alizeti Bahi walalamika kuporomoka kwa bei
Wakulima hao wanasema wanalazimika kuuza alizeti kwa bei ndogo ili waweze kupata fedha za kujikimu . Na Bernad Magawa. Wakulima wa zao la alizeti wilayani Bahi wamelalamikia kuporomoka kwa bei ya zao hilo ambalo limejipatia umaarufu hivi karibuni na kuwa…
Juni 21, 2023, 7:58 mu
Maadhimisho Siku ya Mkulima yafanyika Makete
Mkurugenzi wa TARI MLINGANO Tanga DKT. Catherine Senkoro akiwa na Mwandishi wa Kitulo FM kwenye shamba la Mfano la Ngano Kigala
Juni 21, 2023, 7:44 mu
Kilimo cha ngano kuwa mkombozi kwa wakulima Makete
Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa kushirikiana na Tume ya Taifa ya Mipago ya Matumizi ya Ardhi imezindua Mkakati wa kupanga, kupima Ardhi na kutoa Hati za Hatimiliki za Kimila kwa wakulima wa Ngano.
9 Juni 2023, 12:00
Kikundi cha vijana Mundemu kunufaika na kilimo cha nyanya
Kikundi hicho kimepokea mkopo wa shilingi milioni nane kutoka halmashauri ya wilaya ya Bahi. Na Bernad Magawa. Kikundi cha kilimo tija cha vijana kijiji cha Mundemu kata ya Mundemu wilayani Bahi kinatarajia kunufaika na kilimo cha nyanya kupitia kilimo cha…
9 Juni 2023, 08:38
Udhibiti sumukuvu kukuza mnyororo wa thamani katika biashara
Kupitia mafunzo hayo washiriki wameweza kufahamu maana ya sumukuvu na madhara yake kwa afya ya binadamu. Na Bernadetha Mwakilabi. Wadau mbalimbali wa kilimo cha karanga na mahindi katika kata ya Mtanana wilayani Kongwa wamepatiwa mafunzo juu ya udhibiti wa sumukuvu…