Radio Tadio

Kilimo

11 Disemba 2024, 09:42

Wananchi washirikishwe utekelezaji wa miradi Kasulu

Katibu tawala Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka viongozi kuhakikisha wanafanya juhudi zote za kuwashirikisha wananchi kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maenedeleo ili kusaidia kutogomea miradi au kuhujumiwa katika maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi wa Serikali za…

5 Disemba 2024, 13:30

Watoto wajengewe msingi mzuri wa masomo

Ili watoto waweze kufikia ndoto zao wazazi wanapaswa kuwekeza katika msingi iliyo imara katika masomo. Na Prisca Kizeba – Kigoma Askofu Mkuu wa Makanisa ya New Hope ambaye pia ni Mkurugenzi wa shule  ya Kembrigi Josphat Njige amewataka wazazi kuwajengea…

5 Disemba 2024, 12:19

Wazazi, walezi pingeni vitendo vya ukatili kwa watoto

Wadau mbalimbali mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kushirikiana na Serikali kupinga vitendo vya ukatili katika maeneo yote Na Orida Sayon-Kigoma Wazazi na walezi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kukaa na watoto wao na kuwapa elimu ya ukatili wa kijinsia ili…

4 Disemba 2024, 12:42

CRDB yakabidhi madawati 40 shule ya msingi kabulanzwili Kasulu

Wadau wa maendeleo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuisadia Serikali kujitokeza kuchangia michango kwenye sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ili kuinua kiwango cha ufaulu kwa wananfunzi. Na Michael Mpunije – Kasulu Benki ya CRDB kanda ya magharibi imekabidhi…

18 Novemba 2024, 15:11

Prof. Ndalichako awataka wahitimu wa mafunzo stadi kufanya kazi

Serikali imesema itaendelea kuwasaidia vijana kupitia ujuzi mbalimbali ili kuhakikisha wanapatiwa mikopo itakayowasaidia kujiajiri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi Veta wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu ya…

13 Novemba 2024, 17:35

NIDA mlango wawekwa wazi kurekebisha taarifa

Wananchi wilayani kasulu mkoani Kigoma ambao wameshapatiwa namba za vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuhakiki usahihi wa majina yao kabla ya kutolewa kwa Vitambulisho hivyo ili waweze kufanyiwa marekebisho kabla ya vitambulisho hivyo kutolewa. Wito huo umetolewa na Afisa uandikishaji…

13 Novemba 2024, 13:55

Serikali yaomba wananchi kushiriki miradi ya maendeleo

Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa shule Gungu Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika…