Kilimo
11 Disemba 2024, 09:42
Wananchi washirikishwe utekelezaji wa miradi Kasulu
Katibu tawala Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka viongozi kuhakikisha wanafanya juhudi zote za kuwashirikisha wananchi kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maenedeleo ili kusaidia kutogomea miradi au kuhujumiwa katika maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi wa Serikali za…
6 Disemba 2024, 09:37
Viongozi wa serikali za mitaa kuhimiza wazazi kuchangia chakula shuleni
Viongozi wa serikali za mitaa wametakiwa kuhamasisha suala la chakula shuleni ili kusaidia watoto kupata chakula na kuweza kusoma vizuri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wenyeviti wa vijiji, vitongoji na wajumbe katika halmashauri ya wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma waliochaguliwa…
5 Disemba 2024, 13:30
Watoto wajengewe msingi mzuri wa masomo
Ili watoto waweze kufikia ndoto zao wazazi wanapaswa kuwekeza katika msingi iliyo imara katika masomo. Na Prisca Kizeba – Kigoma Askofu Mkuu wa Makanisa ya New Hope ambaye pia ni Mkurugenzi wa shule ya Kembrigi Josphat Njige amewataka wazazi kuwajengea…
5 Disemba 2024, 12:19
Wazazi, walezi pingeni vitendo vya ukatili kwa watoto
Wadau mbalimbali mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kushirikiana na Serikali kupinga vitendo vya ukatili katika maeneo yote Na Orida Sayon-Kigoma Wazazi na walezi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji wametakiwa kukaa na watoto wao na kuwapa elimu ya ukatili wa kijinsia ili…
4 Disemba 2024, 12:42
CRDB yakabidhi madawati 40 shule ya msingi kabulanzwili Kasulu
Wadau wa maendeleo Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuisadia Serikali kujitokeza kuchangia michango kwenye sekta mbalimbali ikiwemo sekta ya elimu ili kuinua kiwango cha ufaulu kwa wananfunzi. Na Michael Mpunije – Kasulu Benki ya CRDB kanda ya magharibi imekabidhi…
3 Disemba 2024, 14:39
Wazazi na walezi watajwa chanzo cha kuharibu ushahidi mahakamani kesi za ukatili
Wazazi na walezi wametakiwa kutokuwa sehemu ya kukwamisha na kuharibu ushahidi dhidi ya watau wanaotekeleza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Na Josephine Kiravu Tukiwa katika muendelezo wa siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia Hakimu mfawidhi mahakama ya mkoa wa…
18 Novemba 2024, 15:11
Prof. Ndalichako awataka wahitimu wa mafunzo stadi kufanya kazi
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia vijana kupitia ujuzi mbalimbali ili kuhakikisha wanapatiwa mikopo itakayowasaidia kujiajiri. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wahitimu wa mafunzo ya ufundi stadi Veta wilayani Kasulu mkoani Kigoma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuwa na nidhamu ya…
13 Novemba 2024, 17:35
NIDA mlango wawekwa wazi kurekebisha taarifa
Wananchi wilayani kasulu mkoani Kigoma ambao wameshapatiwa namba za vitambulisho vya Taifa NIDA wametakiwa kuhakiki usahihi wa majina yao kabla ya kutolewa kwa Vitambulisho hivyo ili waweze kufanyiwa marekebisho kabla ya vitambulisho hivyo kutolewa. Wito huo umetolewa na Afisa uandikishaji…
13 Novemba 2024, 13:55
Serikali yaomba wananchi kushiriki miradi ya maendeleo
Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wengine wakati wa uzinduzi wa ujenzi wa shule Gungu Mkuu wa wilaya ya Kigoma Dkt Rashid Mohamed Chuachua amewataka wananchi kushirikiana na serikali katika…
12 Novemba 2024, 4:52 um
Maswa: Zaidi ya milioni 300 kunufaisha wanawake, vijana na walemavu
“Katika kupambana na umasikini nchini kupitia asilimia kumi ya mapato ya ndani ya halmashauri kundi la wanawake,vijana na watu wenye ulemavu wameendelea kunufaika kiuchumi.” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya milioni miatatu zitokanazo na makusanyo ya ndani zimetangwa na halmashauri ya…