Radio Tadio

Jamii

28 Juni 2022, 20:46 um

TAKUKURU Mtwara: Tunawashukuru Waandishi wa Habari na Wadau

Taasisi ya  Kupambana na Kuzuia Rushwa  (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imewashukuru wananchi na taasisi mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari kwa namna ambavyo wametoa ushirikiano katika kuelimisha umma kwa  mwaka wa fedha  unaoishia Juni 30, 2022 huku TAKUKURU ikifikia malengo yake…

23 Juni 2022, 2:43 um

Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii

Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…

4 Juni 2021, 9:14 mu

Dkt. Ndugulile ataka wasiolipa kodi waondolewe

Na; Mariam kasawa. Waziri‌ ‌wa‌ ‌Mawasiliano‌ ‌na‌ ‌Teknolojia‌ ‌ya‌ ‌Habari‌ ‌Mhe.‌ ‌Dkt.‌ ‌Faustine‌ ‌Ndugulile‌ ‌(kulia)‌ ‌akimsikiliza‌ ‌Meneja‌ ‌wa‌ ‌TEHAMA‌ ‌wa‌ ‌Shirika‌ ‌la‌ ‌Posta‌ ‌Tanzania‌ ‌Reuben‌ ‌Komba‌ ‌(kushoto)‌ ‌alipokuwa‌ ‌anawasilisha‌ ‌maelezo‌ ‌kuhusu‌ ‌mifumo‌ ‌ya‌ ‌TEHAMA‌ ‌iliyotengenezwa‌ ‌na‌ ‌Shirika‌ ‌hilo‌ ‌wakati‌ ‌wa‌…

22 Aprili 2021, 10:23 mu

Vijana wajengewa uwezo kupitia shindano la usalama mtandaoni

Na; Mindi Joseph. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itaendelea kuboresha mawasiliano bora na salama kwa watumiaji kufuatia idadi ya watumiaji wa mtandao kufika milioni 27.9 Desemba 2020 mwaka ulio pita. Akizungumza wakati wa kufunga shindano la pili la masuala…