Jamii
8 September 2022, 7:25 pm
Vijana Washauriwa Kutofanya Maamuzi Mabaya
KATAVI Vijana mkoani Katavi wameshauriwa kutofanya maamuzi mabaya pindi wanapogubikwa na changamoto na badala yake waombe ushauri kwa watu wanaowazunguka. Hayo yamesemwa na baadhi ya vijani mkoani hapa wakati wakizungumza na mpanda radio fm wamesema athari za matatizo ya kisaikolojia…
7 September 2022, 10:50 am
CCM Yasafisha Kichaka cha Muda Mrefu
MPANDA Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Mpanda Hotel wameeleza umuhimu wa kufanya usafi wa mazingira. Wameyasema hayo wakati wakitekeleza zoezi la usafi katika eneo la chama hicho ambalo lilikuwa likitumika kama kichaka cha kutupa taka…
5 September 2022, 5:04 am
Mtendaji na Katibu ‘bandia’ mbaroni kwa uchochezi Mkoani Morogoro
Jeshi la Polisi Wilayani Kilosa, limewakamata Mtendaji wa kijiji cha Mambegwa na mtu mmoja aliyejitambulisha kwa cheo bandia cha Katibu wa mwenyekiti wa Kijiji hicho, wakidaiwa kuhusika na uchochezi wa migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea watu watano kujeruhiwa baada…
28 June 2022, 20:46 pm
TAKUKURU Mtwara: Tunawashukuru Waandishi wa Habari na Wadau
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imewashukuru wananchi na taasisi mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari kwa namna ambavyo wametoa ushirikiano katika kuelimisha umma kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2022 huku TAKUKURU ikifikia malengo yake…
24 June 2022, 4:15 pm
Wizara ya Maendeleo ya jamii yaja na kampeni ya SHUJAA WA MAENDELEO NA USTAWI WA…
Na; Bennard Filbert Kampeni ya kupinga ukatili wa kijinsia iliyozinduliwa na wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto iliyopewa jina la SHUJAA WA MAENDELEO NA USTAWI WA MAENDELEO TANZANIA inaendelea jijini Dodoma kwa lengo la kutoa elimu katika jamii…
23 June 2022, 2:43 pm
Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…
7 June 2021, 1:02 pm
Waziri wa mawasiliano awataka watoa huduma za mawasiliano kuboresha huduma zao
Na; Shani Nicolous. Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dkt.Faustine Ndugulile amewataka watoa huduma za mawasilian nchini kuboresha huduma zao na kudhibiti laini zote zilizosajiliwa kimakosa. Amesema hayo wakati akizungumza na watoa huduma za mawasilino nchini katika kikao kilichofanyika…
4 June 2021, 9:14 am
Dkt. Ndugulile ataka wasiolipa kodi waondolewe
Na; Mariam kasawa. Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile (kulia) akimsikiliza Meneja wa TEHAMA wa Shirika la Posta Tanzania Reuben Komba (kushoto) alipokuwa anawasilisha maelezo kuhusu mifumo ya TEHAMA iliyotengenezwa na Shirika hilo wakati wa…
26 May 2021, 12:59 pm
Wakazi Farkwa walazimika kupanda juu ya miti kupata mawasiliano ya simu
Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kata ya Farkwa Wilaya ya Chemba wanakabiliwa na changamoto ya uhafifu wa mawasiliano ya simu za mkononi kutokana na uhaba wa minara Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na taswira ya habari wamesema kuwa wanalazika kutafuta…
22 April 2021, 10:23 am
Vijana wajengewa uwezo kupitia shindano la usalama mtandaoni
Na; Mindi Joseph. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itaendelea kuboresha mawasiliano bora na salama kwa watumiaji kufuatia idadi ya watumiaji wa mtandao kufika milioni 27.9 Desemba 2020 mwaka ulio pita. Akizungumza wakati wa kufunga shindano la pili la masuala…