Radio Tadio

Jamii

8 September 2022, 7:25 pm

Vijana Washauriwa Kutofanya Maamuzi Mabaya

KATAVI Vijana mkoani Katavi wameshauriwa kutofanya maamuzi mabaya  pindi wanapogubikwa na changamoto na badala yake waombe ushauri kwa watu wanaowazunguka. Hayo yamesemwa na baadhi ya vijani mkoani hapa wakati wakizungumza na mpanda radio fm wamesema athari za matatizo ya kisaikolojia…

7 September 2022, 10:50 am

CCM Yasafisha Kichaka cha Muda Mrefu

MPANDA Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Mpanda Hotel wameeleza umuhimu wa kufanya usafi wa mazingira. Wameyasema hayo wakati wakitekeleza zoezi la usafi katika eneo la chama hicho ambalo lilikuwa likitumika kama kichaka cha kutupa taka…

28 June 2022, 20:46 pm

TAKUKURU Mtwara: Tunawashukuru Waandishi wa Habari na Wadau

Taasisi ya  Kupambana na Kuzuia Rushwa  (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imewashukuru wananchi na taasisi mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari kwa namna ambavyo wametoa ushirikiano katika kuelimisha umma kwa  mwaka wa fedha  unaoishia Juni 30, 2022 huku TAKUKURU ikifikia malengo yake…

23 June 2022, 2:43 pm

Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii

Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…

4 June 2021, 9:14 am

Dkt. Ndugulile ataka wasiolipa kodi waondolewe

Na; Mariam kasawa. Waziri‌ ‌wa‌ ‌Mawasiliano‌ ‌na‌ ‌Teknolojia‌ ‌ya‌ ‌Habari‌ ‌Mhe.‌ ‌Dkt.‌ ‌Faustine‌ ‌Ndugulile‌ ‌(kulia)‌ ‌akimsikiliza‌ ‌Meneja‌ ‌wa‌ ‌TEHAMA‌ ‌wa‌ ‌Shirika‌ ‌la‌ ‌Posta‌ ‌Tanzania‌ ‌Reuben‌ ‌Komba‌ ‌(kushoto)‌ ‌alipokuwa‌ ‌anawasilisha‌ ‌maelezo‌ ‌kuhusu‌ ‌mifumo‌ ‌ya‌ ‌TEHAMA‌ ‌iliyotengenezwa‌ ‌na‌ ‌Shirika‌ ‌hilo‌ ‌wakati‌ ‌wa‌…

22 April 2021, 10:23 am

Vijana wajengewa uwezo kupitia shindano la usalama mtandaoni

Na; Mindi Joseph. Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema itaendelea kuboresha mawasiliano bora na salama kwa watumiaji kufuatia idadi ya watumiaji wa mtandao kufika milioni 27.9 Desemba 2020 mwaka ulio pita. Akizungumza wakati wa kufunga shindano la pili la masuala…