Jamii
11 Septemba 2022, 3:33 um
Wazazi watakiwa kufanikisha Mabaraza ya Watoto
Rais, Samia Suluhu Hassan amewataka wazazi na walezi nchini, kuwaruhusu watoto wao kushiriki kwenye Mabaraza ya watoto yaliyopo katika ngazi za Kata hadi Taifa, ili kujenga vipaji vyao vinavyopatikana kwenye mabaraza hayo. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na…
10 Septemba 2022, 7:43 mu
Wananchi Rungwe mjitokeze kuupokea Mwenge
RUNGWE-MBEYA. NA:JUDITH MWAKIBIBI Wananchi wilayani RUNGWE MKOANI MBEYA wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika kuupokea mwenge wa uhuru utakaofika 10sept 2022 ilikuweza kuzindua miradi mbalimbali katika halmashauri. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Rungwe Dk Vicent Anney alipokuwa ametembelea…
8 Septemba 2022, 7:27 um
Wananchi Wadai Fidia Waweze Kuondoka
KATAVI Baadhi ya wananchi wanao ishi mtaa wa Tambukareli kata ya uwanja wa ndege manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wameiomba serikali kuwalipa fidia ili waweze kutoka katika makazi hayo. Wakizungumza na mpanda redio fm wamesema kuwa ni muda mrefu sasa…
8 Septemba 2022, 7:25 um
Vijana Washauriwa Kutofanya Maamuzi Mabaya
KATAVI Vijana mkoani Katavi wameshauriwa kutofanya maamuzi mabaya pindi wanapogubikwa na changamoto na badala yake waombe ushauri kwa watu wanaowazunguka. Hayo yamesemwa na baadhi ya vijani mkoani hapa wakati wakizungumza na mpanda radio fm wamesema athari za matatizo ya kisaikolojia…
7 Septemba 2022, 10:50 mu
CCM Yasafisha Kichaka cha Muda Mrefu
MPANDA Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi CCM kata ya Mpanda Hotel wameeleza umuhimu wa kufanya usafi wa mazingira. Wameyasema hayo wakati wakitekeleza zoezi la usafi katika eneo la chama hicho ambalo lilikuwa likitumika kama kichaka cha kutupa taka…
5 Septemba 2022, 5:04 mu
Mtendaji na Katibu ‘bandia’ mbaroni kwa uchochezi Mkoani Morogoro
Jeshi la Polisi Wilayani Kilosa, limewakamata Mtendaji wa kijiji cha Mambegwa na mtu mmoja aliyejitambulisha kwa cheo bandia cha Katibu wa mwenyekiti wa Kijiji hicho, wakidaiwa kuhusika na uchochezi wa migogoro ya wakulima na wafugaji iliyopelekea watu watano kujeruhiwa baada…
28 Juni 2022, 20:46 um
TAKUKURU Mtwara: Tunawashukuru Waandishi wa Habari na Wadau
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Mtwara imewashukuru wananchi na taasisi mbalimbali wakiwemo waandishi wa habari kwa namna ambavyo wametoa ushirikiano katika kuelimisha umma kwa mwaka wa fedha unaoishia Juni 30, 2022 huku TAKUKURU ikifikia malengo yake…
24 Juni 2022, 4:15 um
Wizara ya Maendeleo ya jamii yaja na kampeni ya SHUJAA WA MAENDELEO NA USTAWI WA…
Na; Bennard Filbert Kampeni ya kupinga ukatili wa kijinsia iliyozinduliwa na wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto iliyopewa jina la SHUJAA WA MAENDELEO NA USTAWI WA MAENDELEO TANZANIA inaendelea jijini Dodoma kwa lengo la kutoa elimu katika jamii…
23 Juni 2022, 2:43 um
Wakazi wa mgodi wa Nholi waomba kupatiwa huduma za kijamii
Na; Victor Chigwada. Kukosekana kwa huduma za kijamii katika maeneo ya migodini kumekuwa kukisababisha changamoto mbalimbali licha ya migodi kuwa chanzo cha mapato kwa serikali. Mkemia mkuu wa mgodi mwa Nholi Bw.Renatusi Lukumila amekiri kuwa mgodi wa Nholi bado miongoni…
7 Juni 2021, 1:02 um
Waziri wa mawasiliano awataka watoa huduma za mawasiliano kuboresha huduma zao
Na; Shani Nicolous. Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Dkt.Faustine Ndugulile amewataka watoa huduma za mawasilian nchini kuboresha huduma zao na kudhibiti laini zote zilizosajiliwa kimakosa. Amesema hayo wakati akizungumza na watoa huduma za mawasilino nchini katika kikao kilichofanyika…