Radio Tadio

Jamii

3 Aprili 2023, 5:02 um

CCM Bahi haijaridhishwa na Ujenzi wa kituo cha mabasi

kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi ccm wilayani humo imetembelea na kukagua zaidi ya miradi 26 ya maendeleo ikiwemo miradi ya afya, elimu, maji, na miundombinu ya barabara ili kuona namna ILANI ya ccm inavyotekelezwa. Na Benard Magawa. Chama…

3 Aprili 2023, 12:24 um

Jamii yatakiwa kusaidia watoto wenye usonji

Kuna haja ya kuwajumuisha watu wenye ulemavu ikiwemo wenye usonji ili kutimiza azma ya Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs ya kutomuacha yeyote nyuma. Na Seleman Kodima. Jamii imetakiwa kushirikia kikamilifu kusaidia kutatua changamoto zote zinazowakumba watoto wenye usonji bila kutazama…

29 Machi 2023, 2:11 um

Wananchi Ndogowe walalamika kuuziwa mahindi bei ghali

Mfumo huu wa usambazaji wa mahindi ya Bei nafuu unalenga kukabiliana na janga la njaa ambalo pia huchangia kupanda kwa bei ya vyakula. Na Victor Chigwada.                                                       Imeelezwa kuwa pamoja na jithada za Serikali kusambaza msaada wa mahindi ya Bei…

27 Machi 2023, 12:52 um

Watoto 172 Iringa Wanufaika Bima ya Afya

Watoto 172 mkoani Iringa wamekabidhiwa bima za afya ili kuweza kumudu matibabu pindi wanapokabiliwa na magonjwa. Na Adelphina Kutika. Taasisi  isiyo ya kiserikali ya Rounding Hands to Save Community na Makutano TV kwa kushirikiana na Chuo Kikuu Huria cha Iringa na Hidaya Catering…

13 Machi 2023, 12:57 um

Elimu Matumizi Mitandao kwa Watoto

Kutokana na kukua kwa teknolojia wazazi wametakiwa kuwafundisha watoto wao matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii. Na Joyce Buganda. Mtaalamu wa masuala ya teknolojia na Tehama wilayani Mufindi Bw. Hasan Chunya amesema  juu ya matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii…