Jamii
17 Aprili 2023, 12:08 um
Waziri Masauni awataka Wazazi kusimamia maadili kwa watoto
Maadili yameshuka kwa Kasi hivyo ni jukumu la wazazi na walezi kuwalea watoto kwa kufuata misingi ya Dini. Na Hafidh Ally Wazazi wametakiwa kuwale watoto katika Maadili Mema ili kuwaepusha watoto na matukio ya ukatili dhidi ya watoto yanayosababishwa na…
16 Aprili 2023, 6:28 um
Mmomonyoko wa maadili wawaibua viongozi wa dini Kilosa
Wananchi waaswa kuwa na karibu na watoto ili kuwafundisha maadili mema ambayo yatawasaidia kujihusisha na matendo maovu ikiwemo ushoga ambao umeikumba dunia kwa sasa. “Dunia kwa sasa imegubikwa na ushoga vijana wengi wengi wanaingia kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja…
11 Aprili 2023, 1:34 um
Jamii yatakiwa kuchukua mikopo kwa malengo
Wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo ambayo baadae huwa changamoto kwao. Na Leonard Mwacha. Jamii imepaswa kuepuka mikopo ambayo hugeuka kuwa changamoto kwao badala yake wafuate utaratibu wa kifedha ili kuweza kukopa kwa malengo.
7 Aprili 2023, 5:51 um
Kakakuona aonekana katika kijiji cha Makang’wa wilayani Chamwino
Mnyama huyu wa ajabu ana uwezo wa kujiviringisha kama mpira hasa anapokuwa hatarini, mgongo wake umefunikwa na magamba makubwa na magumu. Na Mindi Joseph. Mnyama Kakakuona ambaye ni nadra sana kuonekana hadharani ameonekana katika kijiji cha makang’wa iliyopo katika wilaya…
5 Aprili 2023, 5:57 um
Serikali yatenga billioni 15 kwaajili ya kukamilishaji zahanati 300
Mbunge wa Jimbo la Rorya, Mhe. Jafari Wambura alitaka kujua Je, nini mpango wa Serikali wa kumaliza ujenzi wa Zahanati kwa vijiji vilivyokamilisha ujenzi wa maboma. Na Pius Jayunga. Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amesema…
3 Aprili 2023, 5:02 um
CCM Bahi haijaridhishwa na Ujenzi wa kituo cha mabasi
kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi ccm wilayani humo imetembelea na kukagua zaidi ya miradi 26 ya maendeleo ikiwemo miradi ya afya, elimu, maji, na miundombinu ya barabara ili kuona namna ILANI ya ccm inavyotekelezwa. Na Benard Magawa. Chama…
3 Aprili 2023, 12:24 um
Jamii yatakiwa kusaidia watoto wenye usonji
Kuna haja ya kuwajumuisha watu wenye ulemavu ikiwemo wenye usonji ili kutimiza azma ya Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs ya kutomuacha yeyote nyuma. Na Seleman Kodima. Jamii imetakiwa kushirikia kikamilifu kusaidia kutatua changamoto zote zinazowakumba watoto wenye usonji bila kutazama…
29 Machi 2023, 2:11 um
Wananchi Ndogowe walalamika kuuziwa mahindi bei ghali
Mfumo huu wa usambazaji wa mahindi ya Bei nafuu unalenga kukabiliana na janga la njaa ambalo pia huchangia kupanda kwa bei ya vyakula. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa pamoja na jithada za Serikali kusambaza msaada wa mahindi ya Bei…
27 Machi 2023, 3:10 um
Kanisa la Pentekoste Mtakuja lamtaka Mkuu wa wilaya kutatua mgogoro wa a…
Huu ni Muendelezo wa kanisa hilo katika harakati za kuomba serikali ya wilaya ,mkoa na wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuweza kumaliza mgogoro huo ambao wameshindwa kujua ni lini utapata ufumbuzi. Na Seleman Kodima. Uongozi wa kanisa la…
27 Machi 2023, 2:08 um