Radio Tadio

Haki za Binadamu

18 Oktoba 2023, 11:19 mu

PEGAO, TAMWA watoa neno kuhusu vyeti bandia

Tatizo la upatikanaji wa vitambulisho pamoja na vyeti bandi (feki) limekuwa ni tatizo sugu ambalo kwa sasa katika visiwa vya Zanzibar ni jambo la kawaida licha ya serikali pamoja na wadau wengine kupiga kelele siku hadi siku kuhusu kupatikana kwa…

13 Oktoba 2023, 1:03 um

Mkoa wa Geita kupata Mahakama Kuu

Idadi ya watu milioni 2.9 katika Mkoa wa Geita imemsukuma Jaji Mkuu wa Tanzania kuanzia Mahakama kuu Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick Geita: Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa tume ya utumishi wa Mahakama Profesa Ibrahimu Juma ameagiza kuanzishwa…

5 Septemba 2023, 1:00 um

Wanawake Micheweni walia kutelekezwa na waume zao.

Wanawake na watoto wamekuwa ni wahanga wakubwa kwenye suala zima la utelekezaji hivo ipo haja kuhakikisha kuwa tunashirikiana kwa kina kuhakikisha tunaondoa tatizo hilo ambalo linapigiwa kelele siku hadi siku katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo

29 Agosti 2023, 2:50 um

Maofisa wa vyuo vya mafunzo Pemba watakiwa kubadilika

Na Is-haka Mohammed Pemba. Mtandao wa Utetezi wa Haki za Binadamu Tanzania umesema mwongozo wa malalamiko katika vizuizi (Vyuo vya Mafunzo) umewekwa  kwa ajili ya kusaidia utatuzi wa changamoto na malalamiko ya walio vizuizini ili kutoa nafasi ya kushughulikiwa na taasisi…