Habari
August 11, 2025, 8:00 pm
Madereva kudumisha amani, wamkaribishaRC mpya Songwe
Waendesha usafiri Songwe wamemkaribisha RC mpya wa Songwe na kuahidi kulinda amani Mkoani humo, huku wakisisitiza kushirikiana na serikali na kutojihusisha na makundi ya kihalifu. Na Stephano Simbeye Waendesha bodaboda, maguta na bajaji wamesema hawako tayari kujiunga na makundi maovu…
23 July 2025, 6:13 pm
Madeni, ugumu wa maisha chanzo watu kujiua Kagera
Wimbi la watu kujiua au mauaji dhidi ya watu wengine limeendelea kutikisa mkoa wa Kagera licha ya kuwa hakuna utafiti rasmi wa sababu za tatizo hilo. Na Theophilida Felician, Bukoba Maisha magumu, upweke, migogoro ya ndoa, wivu wa mapenzi, madeni…
10 July 2025, 8:00 pm
Sangoma wanaotumia viungo vya binadamu kukiona
Siku chache baada ya Jeshi la Polisi mkoani Kagera kuwashikilia wanaume wawili ambao ni Kelvin Piason Mdolon (42), mkazi wa Mnyiha na mganga wa kienyeji pamoja na Randani Seme Mlomo (64), mkazi wa Mnyamwanga ambaye ni mtumishi wa chumba cha…
9 July 2025, 1:50 pm
Uvinza Malaria sasa basi
Zaidi ya vyandarua elfu 16 vitagawiwa kwa wananchi wa Kata ya Uvinza kama sehemu ya juhudi za kuendelea kutokomeza ugonjwa hatari wa malaria katika Wilaya ya Uvinza. Na Abdunuru Shafii Wananchi wa kata ya uvinza wilaya ya uvinza wamepokea vyandarua…
27 June 2025, 4:53 pm
Wananchi wilayani uvinza waaswa kuzingatia usafi wa mazingira
Afisa Afya na Mazingira Hussein Kateranya akiwa katika studio za uvinzafm redio akitoa elimu juu ya kufanya usafi wa mazingira.Picha na Ezra Meshack. “Utaratibu wa kufanya usafi ni jukumu la kila mtu katika kuhakikisha mazingira yanakuwa safi na salama ili…
11 June 2025, 12:16 pm
RC Iringa awaonya wanaotoa risiti bandia
Wateja Mkoani Iringa wametakiwa kudai risiti kila wanapofanya manunuzi, hii kudhibiti mianya ya ukwepaji kodi. Na Adelphina Kutika Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe Peter Serukamba, amewataka wafanyabiashara wote mkoani Iringa kuacha mara moja tabia ya kutoa risiti bandia kwa…
10 June 2025, 6:14 pm
Baptist Sengerema waliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Kufuatia uwepo wa matukio ya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu 2025 viongozi na wamini wa kanisa la Baptist Sengerema wameungana na kufanya maombi ya kuliombea taifa ili liendelee kuwa kisiwa cha amani kama inavyotambulika kuwa Tanzania ni kisiwa cha…
31 May 2025, 9:48 pm
Upasuaji wa nyonga wafanyika kwa mara ya kwanza mkoani Kigoma
Mara nyingi huduma hizi ninapatikana katika hospitali kubwa za kanda lakini leo tumefanikiwa kufanya upasuaji huu mkubwa hapa, ni upasuaji wa kwanza hapa Maweni. Na Abdunuru Shafii Hospitali ya Rufaa ya Mkoa Maweni Kigoma imetoa huduma ya upasuaji kwa mgonjwa…
21 May 2025, 7:10 pm
“Kuelekea uchanguzi mkuu tuwe makini na taarifa za mitandaoni”
Mei 20 2025 nchini Tanzania ilienea taarifa ya udukuzi kwenye mitandao ya kijamii ya baadhi ya tasisi za kiserikali na za watu binafsi,jambo lililowaimbua wataalamu wa mitandao nchini kuitaka jamii ya watanzania kuwa makini na mitandao hasa kipindi hiki cha…
12 May 2025, 2:36 pm
Wazazi wapeni watoto elimu ya kijinsia bila kupepesa macho
Toka kuundwe kwa dawati la kijinsia katika shule hiyo wanafunzi wamepata elimu ya kufahamu madhara ya mimba za utotoni na kufahamu namna ya kuepuka vishawishi Na Theresia Damasi Katika kuhakikisha ukatili dhidi ya watoto unakomeshwa na kupingwa vikali katika jamii,Shule…