
Habari

27 January 2025, 6:23 pm
Mtoto wa miaka 7 afariki kwa kuunguzwa moto
Picha ya mwenyekiti wa mtaa wa Kasimba Benard Nswima. Picha na Anna Mhina “Mtoto wa miaka 7 afariki dunia kwa madai ya kuunguzwa moto” Na Eda Enock Mtoto mmoja aliyefahamika kwa jina la Hamisi mwenye umri wa miaka 7 amefariki…

25 January 2025, 5:04 pm
Mazingira machafu mighahawani yanavyohatarisha maisha ya watu
Mama n’tilie wakiendelea na shughuli zao za kupika chakula. Picha kutoka maktaba Walaji wa vyakula vya mighahawani walia na changamoto wanazozipata kutokana na vyakula hivyo. Na Kelvin Mambaga Wananchi wa wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wameeleza namna ambavyo mazingira ya…

15 January 2025, 10:11 pm
Jamii yaaswa kula mboga za majani kuepuka magonjwa
Kwa sababu mboga za majani zina madini mbalimbali yanayosaidia katika kuimarisha afya kwa ujumla. Na Emmanuel Kamangu Jamii katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma imeshauriwa kujenga tabia ya kula mbogamboja za majani kwa ajili ya kuimalisha mfumo wa…

14 November 2024, 7:41 pm
Madiwani Bunda Mjini watishia kwenda mahakamani kudai fidia Nyatwali
Madiwani wanahitaji kujua thamani ya fedha kwa mali za halamshauri ya mji wa Bunda ambazo zimefanyiwa tathimini katika kata ya Nyatwali ambapo imechukuliwa na Tanapa. N Adelinus Banenwa Madiwani wa Halmashauri ya Bunda mji watishia kwenda mahakamani juu ya malipo…

29 October 2024, 9:08 am
Vyombo vya habari vyatakiwa kufuata sheria kuandaa maudhui ya uchaguzi
Serikali na wadau wameendelea kutoa elimu kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa mwaka huu, huku wananchi wakitakiwa kujitokeza kuchagua viongozi watakao wafaa kwa kipindi cha miaka mitano ijayo. Na;Elisha Magege Vyombo vya Habari nchini vimatakiwa kufuata sheria, kanuni na miongozi…

28 October 2024, 10:48 am
Vijana watakiwa kuchangamkia nafasi za uongozi serikali za mitaa
Vijana wengi nchini wamekuwa na tabia ya kuacha kuomba nafasi za uongozi ngazi za serikali za mitaa jambo linalo tajwa kurudisha nyuma maendeleo ya vijiji na mitaa nchini. Na;Elisha Magege Vijana nchini wametakiwa kuchangamkia fursa za kugombea uongozi uchaguzi serkali…

12 October 2024, 4:23 pm
DC Sengerema aongoza wananchi kujiandikisha kushiriki uchaguzi
Serkali kupitia TAMISEMI imetangaza siku kumi za wananchi kujiandikisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya kushiriki uchaguzi serkali za mitaa mwezi november mwaka huu. Na.Emmanuel Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuendelea kujitokeza kujiandikisha katika Daftari la makazi…

27 September 2024, 6:31 pm
Polisi Sengerema wanolewa uchaguzi serikali za mitaa
Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Sengerema ameendelea kutoa elimu ya uchaguzi wa serkali za mitaa kwa makundi mbalimbali katika jamii,uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Nov 27 mwaka huu nchini Tanzania. Na:Elisha Magege Mkuu wa Jeshi la Polisi Wilaya ya Sengerema Haji Juma…

26 September 2024, 8:54 pm
Kipindi maalum kuelekea uchaguzi serikali za mitaa Buchosa
Wananchi Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika November 27 mwaka huu nchini. Hayo yamebainishwa na msimamizi wa uchaguzi halmashauri hiyo Bwn. Benson Mihayo, ambapo amesema kuwa…

26 September 2024, 3:50 pm
Watakiwa kujitokeza kugombea uongozi serikali za mitaa
Msimamizi wa uchaguzi Halmashauri ya Sengerema amewataka wananchi kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura, kwa ajili ya uchaguzi wa serkali za mitaa mwezi Novemba mwaka huu. Na:Tumain John Wananchi Halmashauri ya Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kujitokeza kuchukua fomu za kugombea…