Habari za Jumla
3 Mei 2024, 14:35
Ajiua kwa kujirusha kwenye tairi la fuso Mbeya
Maisha ya binadamu yanapopatwa na msongo wa mawazo yamekuwa yakisababisha wengine kuchukua maamzi magumu ya Kujiondoa uhai kwa baadhi ya watu wanaokuwa wanaukosa kutoka kwa watu wao wa karibu. Na Yuda Joseph Mtu mmoja ambaye jina lake halijafamika amefariki dunia…
3 Mei 2024, 14:00
RC Kigoma awataka vijana kutumika kimaendeleo
Mkuu wa mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Thobias Andengenye ameiasa jamii kutumia nguvu kazi ya vijana katika shughuli za Kimaendeleo ili kuongeza uchumi wa taifa na jamii kwa ujumla. Ametoa wito huo wakati…
3 Mei 2024, 12:06
Wahudumu wa afya acheni lugha chafu kwa wagonjwa
Mkuu wa wilaya Kigoma Mkoani kigoma amesema serikali itaendelea kuwachukulia hatua kali wahudumu wa afya wanaokiuka madili ya kazi zao kwa kutumia lugha chafu kwa wagonjwa ikiwmo kuwasimamisha kazi. Na Orida Sayon – Kigoma Wahudumu wa vituo vya Afya na…
3 Mei 2024, 09:58
26 watuhumiwa kutengeneza mfumo bandia wa ukusanyaji wa mapato Mbeya
Jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kwa kutoa taarifa pindi wanapobaini uwepo wa mianya ya utoaji na upokeaji rushwa kwenye maeneo yao. Na Ezekiel Kamanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Mbeya imewakamata na kuwafikisha mahakamani…
3 Mei 2024, 09:37
Dkt.Tulia atoa ajira kwa vijana 20 wanagenzi chuo cha ufundi Magereza
Kama ambavyo imekuwa desturi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushiriki na kuwezesha jamii katika utatuzi wa changamoto hali hiyo ameendelea kuonesha kwa kujali makundi yote yakiwemo ya vijana. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Mabunge Duniani…
Mei 3, 2024, 7:28 mu
CWT Songwe yawanyima sare walimu siku ya Mei Mosi
Na Denis Sinkonde,Songwe Zaidi ya walimu 5000 wa Chama cha Walimu (CWT) Mkoa wa Songwe wamelalamikia uongozi wa chama hicho taifa kushindwa kuwanunulia sare kwa ajili ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) ambayo mkoani Songwe yamefanyika wilayani…
3 Mei 2024, 12:27 mu
Kikokotoo bado fumbo kwa watumishi wastaafu
Bango la shirika la Posta katika maandamano ya Mei Mosi – Picha na Isidory Matandula Mishahara duni, miundo mbinu mibovu, mikataba mibovu ya ajira, kuchelewa posho za uhamisho na kikokotoo cha wastaafu ni msalaba unaowaelemea watumishi . Na: Isidory Matandula…
2 Mei 2024, 7:30 um
Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ni kubadili tabia-Kipindi
Jamii imetakiwa kubadili tabia katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ili kuzuia athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira ya asili. Afisa Mazingira kutoka Idara ya Mazingira na Maliasili Halmashauri ya Mji wa Ifakara Salome Mayenga ameyasema hayo wakati akizungumza na…
2 Mei 2024, 7:23 um
Ujangili unakuingiza kwenye makosa ya jinai-Kipindi
Jamii katika Bonde la Kilombero imetakiwa kufuata sheria zilizowekwa katika kuvuna rasilimali mbalimbali badala ya kufanya ujangili hali ambayo watajikuta wakiangukia kwenye makosa ya jinai. Mhifadhi Pori la Akiba Kilombero Kamanda Bigilamungu Kagoma amesema ili mtu aweze kuvuna rasilimali zinazosimamiwa…
2 Mei 2024, 17:02
Wananchi wajenga shule kunusuru watoto wao na mimba
Serikali imesema itaendelea kusaidiana na wananchi katika kuhakikisha wanafanikisha utoaji wa huduma muhumu ikiwemo kujenga shule ili kutatua changamoto za wanafunzi kutembea umbali mrefu kutafuta elimu katika kijiji kingine. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wa kijiji cha Nyankoronko kata…