Habari za Jumla
17 Mei 2024, 11:56 mu
Maswa kuvuna pamba chini ya lengo
Kutokana na mvua kuwa kubwa kunyesha msimu huu wa kilimo kwa mwaka 2023/2024 zilizopelekea mavuno ya pamba kushuka wilaya ya Maswa inatarajia kukusanya mapato chini ya makadirio ya awali. Na, Daniel Manyanga Zaidi ya tani elfu ishirini na mbili za…
Mei 16, 2024, 6:27 um
Watoto wafariki wakiogelea bwawani Shinyanga
Watoto watatu wakazi wa Kata ya Tinde Wilaya ya Shinyanga, Mkoa wa Shinyanga wamefariki dunia baada ya kuzama katika bwawa la Ngaka lililopo katika kijiji cha Nyambuhi walipoenda kuogelea. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio wamesema tukio hilo limetokea Mei…
Mei 16, 2024, 6:09 um
Mgogoro wa miaka 25 soko la Magwanji Kahama watatuliwa
Na Neema Nkumbi- Huheso Fm Wakazi wa Mtaa wa Nyakato, Kata ya Nyasubi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga, wameishukuru serikali ya Mtaa huo, kwa kumaliza mgogoro wa soko la Magwanji uliodumu kwa Zaidi ya miaka 25 uliokuwa ukikwamisha kuanza…
16 Mei 2024, 10:53
Makanika atoa msaada kwa waathirika wa mafuriko
Serikali imesema itaendelea kuwasaidia wananchi walipata madhara ya nyumba na mali zao kuharibika kufuatia mvua zilizonyesha na kuacha simanzi kwa wananchi katika vijji vya jimbo la kigoma kaskazini ikiwemo pamila, nyarubanda na mwamgongo. Na Tryphone Odace – Kigoma Dc Wananchi…
15 Mei 2024, 11:59 um
Mpanda Madiwani WaivaaTanesco Umeme Kukata Mara kwa Mara
“Kukatika kwa umeme baadhi ya maeneo imekuwa inajirudia na kumekuwa hakuna taarifa kutoka mamlaka husika jambo ambalo limekuwa likipeekea changamoto ya kusimama kwa baadhi ya kazi za watu zinazotegemea nishati ya umeme” Picha na Lilian Vicent Na Lilian Vicent-Katavi Wananchi…
15 Mei 2024, 11:12 um
Rc Katavi, Wazazi Zungumzeni na Watoto Kulinda Maadili
Mkuu wa mkoa wa katavi Mhe. Mwanamvua Mrindoko alipokuwa akitoa hotuba kwa Wananchi katika viwanja vya kituo cha Afya Nsemulwa katika siku ya familia duniani. Picha na Gladness Richard Kauli mbiu ya maadhimisho hayo kwa mwaka huu ni ‘Tukubali tofauti…
15 Mei 2024, 19:06
Waandishi wa habari Mbeya kuwezeshwa kuandika habari za uchaguzi
Tanzania inatarajia kuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 na moja ya tasnia inayotazamwa kutoa elimu ni vyombo vya habari kutokana na kuwa karibu na jamii. Na Hobokela Lwinga Ofisi ya mkuu wa mkoa wa…
15 Mei 2024, 12:59
Watumishi wa serikali watakiwa kusimamia ukusanyaji mapato
Serikali wilayani kasulu mkoani kigoma imesema itandelea kushirikiana na viongozi wote ngazi za chini katika kusimamia ukusanyaji wa mapato ili yaweze kusaidia katika utelekezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Hagai Ruyagila – Michael Mpunije Mkuu wa wilaya ya Kasulu…
15 Mei 2024, 12:30
Viongozi watakiwa kutoa taarifa za miradi kwa wanahabari
Viongozi wa ngazi mbalimbali mkoani kigoma wametakiwa kuwa karibu na wanahabari ili kufahamu miradi mbalimbali inayotekelezwa kwenye maeneo yao. Na Lucas Hoha – Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye…
Mei 15, 2024, 11:17 mu
Mkoa wa Shinyanga watajwa kuongoza kwa ukatili
Vitendo vya ukatili kwa watoto hasa ulawiti wa watoto wa kiume zimeendelea kushamiri huku akina mama wakitajwa kutochukua hatua ya kuwalinda watoto. Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Chama Cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Shinyanga, Grace Bizulu amewataka wazazi na walezi…