Habari za Jumla
11 Julai 2024, 4:49 um
Nyongo amwaga maua kwa Dkt.Samia kwa utekelezaji miradi Maswa
“Ujenzi wa mabweni mashuleni watajwa kuwa mwarobaini wa kukabiliana na mimba mashuleni haswa kwa wanafunzi wa kike Ili waweze kutimiza malengo yao” Na, Daniel Manyanga Naibu waziri ofisi ya Rais mipango na uwekezaji ambaye pia ni mbunge wa jimbo la…
11 Julai 2024, 2:52 um
DC Kilombero apiga marufuku kuingiza mifugo ndani ya misitu ya asili Ifakara
Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ameagiza wale wote wanaoingiza mifugo kwenye misitu ya asili ya Ibiki na Mbasa iliyopo kijiji cha Sululu kata ya Signal kuchukuliwa hatua kwa mujibu wa sheria. Wakili Kyoba ametoa…
11 Julai 2024, 8:51 mu
Wakulima kunufaika na soko jipya Rungwe
Katibu wa mbunge jimbo la Rungwe ndg Gabriel Mwakagenda akiongea na vyombo vya habari katika kukabiliana na changamoto ya masoko mbunge wa jimbo la Rungwe amesema kwamba serikali inatarajia kujenga soko la ndizi ili kuinua uchumi wa mkulima. RUNGWE-MBEYA Na…
10 Julai 2024, 10:50 mu
Aliyechoma picha ya Rais alipa faini
Ni takribani siku tano zimepita tangu mahakama ya wilaya ya Rungwe ilivyomtia hatiani na kumhukumu kifungo cha miaka miwili gerezani au kulipa faini ya shilingi milioni tano kijana Shadrack Chaula (24) sasa yupo huru baada ya kulipa faini. Na Ezekiel…
10 Julai 2024, 9:44 mu
Halmashauri kuzuia magari kushusha na kupakia mizigo soko kuu Makambako
Na Cleef Mlelwa – Makambako Wafanyabiashara 112 wa mazao ambao waliingia ubia na halmashauri ya mji wa Makambako katika ujenzi wa soko la mazao kiumba lilopo kata ya Lyamkena wametakiwa kuhamia kwenye soko hilo huku halmashauri ikikitakiwa kuzuia magari makubwa…
9 Julai 2024, 17:17
Wananchi waipa heko tume ya ushundani {FCC} nyanda za juu kusini
Na Lameck Charles Highlands Fm Mbeya Wananchi wilayani kyela mkoani mbeya wameipongeza tume ya ushindani (FCC) Kanda ya nyanda za juu kusini kwa kuendelea kuwapa elimu kuhusu haki za mlaji na viashiria vya bidhaa bandia. Wameyasema hayo kwenye maonesho ya…
9 Julai 2024, 13:17
Askofu wa Anglikana Tanzania awanyoshea kidole wazazi
Wazazi na Walezi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma imeaswa kuwalea watoto wao katika maadili mema ili kuwa viongozi bora wa baadae. Mhashamu baba askofu wa Kanisa la Anglikana Tanzania dayosisi ya western Tanganyika mkoani Kigoma Emmanuel Bwatta ametoa rai hiyo katika…
9 Julai 2024, 1:15 um
Mbunge atoa king’ora kwa jeshi la polisi Kilombero
MBUNGE WA jImbo la Kilombero Abubakary Asenga akiwa na maafisa wa jeshi la Polisi Kilombero jehi la Polisi Wilaya ya Kilombero huwa linapata wakati mgumu kuongoza misafara ya viongozi mbalimbali kutokana na gari yao kutokuwa na King’ola Na Elias Maganga…
9 Julai 2024, 10:52 mu
Sangoma aua wanafamilia Katavi kwa kudai wataacha pombe
Wananchi mbalimbali waliojitokeza katika mazishi .picha na George Rujuba watu wanatakiwa kuachana na imani za kishirikina kwani matukio kama hayo yanajitokeza kutokana na watu kutomjua Mungu Na john Mwasomola -Katavi Watu wawili wa familia moja wamefariki dunia mara baada ya…
9 Julai 2024, 09:02
Mradi wa Maji wenye thamani ya Sh. Bil 48.6 Unasusua Mafinga
Na Bestina Nyangaro Mafinga WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano muungano wa Tanzania mh. Kassim Majaliwa amemuagiza waziri wa maji Juma Aweso, kukutana na mkandarasi wa mradi wa maji wa miji 28 Mafinga, na kusimamia mradi huo ili ukamilike haraka,…