Habari za Jumla
12 Juni 2024, 7:14 um
Ashambuliwa na sime kisa kulisha ng’ombe chumvi Ngorongoro
Mkuu wa mkoa wa Arusha Mh Paul Makonda wakati anawasili kwa mara ya kwanza mkoani hapa alinukuliwa akisema mkoa wa Arusha una migogoro mingi ya aridhi na kumpa kamishina wa Aridhi miezi mitatu kuhakikisha anaimaliza migogoro hiyo. Na Edward Shao.…
12 Juni 2024, 4:20 um
Mboje wa Singida atupwa jela miaka 30,faini ya laki tatu kwa kubaka Maswa
“Ukatili wa kijinsia umetajwa vyanzo vya matatizo ya kisakolojia kwa wahanga hivyo sheria ziwe na makali kwa mtuhumiwa hali ambayo itaweza kupunguza au kumaliza ukatili.” Na, Daniel Manyanga Mahakama ya wilaya ya Maswa mkoani Simiyu imemhukumu, Mboje Paul (28) mkazi…
12 Juni 2024, 3:17 um
Madereva Tax Katavi watakiwa kufuata sheria za usalama barabarani
mkaguzi msaidizi Jofrey Brighton kutoka jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani mkoani Katavi akiwa anafanya ukaguzi “baadhi ya madereva wamekuwa wakifanya makosa ya kuzidisha abiria, kupakia abiria pamoja na mizigo hatarishi“ Na John Benjamini-Katavi Madereva wa Tax maarufu probox…
12 Juni 2024, 14:43
Serikali kupunguza kero kukatika umeme kwa kuanzisha njia mbadala
Shirika la umeme TANESCO limeboresha huduma za nishati hiyo na kupunguza kukatikatika kwa umeme kwenye maeneo mengi nchini. Na Hobokela Lwinga Serikali kupitia shirika la umeme Tanzania TANESCO linatekeleza uanzishwaji wa vyanzo mbalimbali vya uzalishaji umeme ili kuondokana na kero…
12 Juni 2024, 14:04
Wananchi washiriki mdahalo wa wazi wa katiba,waomba mchakato uharakishwe
Katiba Ni Muongozo Ambao Unawekwa Kwa Ajili Ya Kuongoza Mambo Mbalimbali Iwe Katika Nchi,Vikundi Hata Taasisi Mbalimbali. Na Deus Mellah Chama cha Wanasheria wa Tanganyika TLS kinaendelea kuendesha mijadala ya wazi yenye kujenga, kusikiliza na kupokea maoni ya Wananchi kuhusu…
10 Juni 2024, 16:33
Mchakato kudai katiba mpya ni watanzania sio wa chama fulani
Na Isack Mwashiuya Highlands Fm Radio Watanzania wametakiwa kuachana na dhana kwamba hitaji la katiba mpya ni kwa maslahi ya chama au kikundi Fulani cha watu wachache sababu inayopelekea kukwama na kuchelewa kwa mchakato huo wa upatikanaji wa katiba itakayoendana…
7 Juni 2024, 2:11 um
Wamiliki wa Vyombo vya moto mkoani Manyara watakiwa kuwa na Bima
Jeshi la polisi kitengo cha usalama Barabarani Mkoani Manyara kimeendelea kutoa elimu kwa wamiliki wa magari kuwa na Bima za magari ili kuwasaidia wanapopata ajali na kutoa elimu kwa watembea kwa miguu Na Hawa Rashid Wamiliki wa vyombo vya moto…
6 Juni 2024, 10:12
Mwanafunzi wa darasa la nne ajinyonga marishoni Mufindi
Na Jumanne Bulali Mufindi Emmanuel Mikael Mwepelwa mwenye umuri wa miaka 10, Mwanafunzi wa shule ya msingi Njojo kata ya Nyololo wilayani Mufindi mkoani Iringa, amesadikika kufariki dunia kwa kujinyonga, sababu zikiwa hazijulikani hadi sasa. Kwa Undani Wa Habarii Tuungane…
3 Juni 2024, 5:34 um
Maswa:Ni matusi kuwaita watoto majina ya ujombani
“Migogoro ya ndoa na mipalanganyiko yakimahusiano imeendelea kuwa na athari kwa malezi na makuzi ya mtoto nchini hali inayopelekea watoto wengi kukosa haki zao za msingi.” Na,Daniel Manyanga Wanawake na mabinti wametakiwa kuwaita watoto wao majina halisi ya baba zao…
3 Juni 2024, 16:14
Kyela:Miti 150,0000,kupandwa Kyela
Katika kukabiliana na janga la mafuriko ambalo limekuwa likiisumbua wilaya ya Kyela mara kwa mara serikali imekusudia kupanda miti milioni moja na laki tano. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya mvua kubwa kuikumba wilaya ya Kyela serikali imekusudia kupanda…