Radio Tadio

Habari za Jumla

19 Agosti 2024, 16:42

Maafisa ugani watakiwa kuwatembelea wakulima Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa jeshi la zimamoto na uokoaji Thobias Andengenye amewataka maafisa ugani kuwatembelea maafisa ugani na kusikiliza kero zinazowakabili kwenye shughuli za kilimo na kuzitatua. Na Tryphone Odace – Kigoma Kutatuliwa kwa Changamoto ya…

Agosti 19, 2024, 2:51 um

Gari la uzoaji taka lazua malalamiko Kahama

Na, Neema Yohana, Veronica Kazimoto Baadhi ya wananchi wa Mtaa wa Nyasubi Manispaa ya Kahama Mkoani Shinyanga wameiomba serikali ya mtaa wa Nyasubi Kutatua changamoto ya kuchelewa kwa gari linalotumika kukusanya taka zinazozalishwa kwenye makazi yao. Wametoa ombi hilo wakati…

16 Agosti 2024, 22:22

Wananchi Igodima waomba kujengewa ofisi ya mtaa

Katika kurahisisha upatikanaji wa huduma bora na karibu na wananchi hurahisishwa na ofisi zilizo karibu,katika mtaa wa Igodima jijini Mbeya kwao hali hiyo imekuwa tofauti na wananchi wa mitaa mingine. Na Hobokela Lwinga Baadhi ya wananchi mtaa wa Igodima Kata…

16/08/2024, 16:59

Jamii yatakiwa kujitokeza kutoa ushahidi kesi za udhalilishaji

Na Steven Msigaro Jeshi la Polisi Mkoa Mjini Magharibi kupitia Dawati la Usalama Wetu Kwanza limesema linaendelea na mapambano dhidi ya udhalilishaji wa watoto kwa kutoa elimu maskulini.   Wakizungumza katika kipindi cha Mwangaza wa Babari kinachorushwa na Zenji fm Sajenti…

Agosti 15, 2024, 10:45 um

Mwenge wa Uhuru wazindua Jengo jipya la uchunguzi Kahama

watumishi wa sekta za afya endeleeni kutoa huduma nzuri kwa wananchi baada ya serikali kutengeneza miundombinu rafiki kufanyia kazi Na Kitila Peter Halmashauri ya manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga imepongezwa kwa kuendelea kutenga fedha za mapato ya ndani kwa ajili…