Habari za Jumla
16/10/2024, 19:27
Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini
Na Yusuph Hassan. Siku ya Wateknolojia Dawa Kitaifa Iimefanyika Jijini Dodoma Ikiwa na kauli mbiu Isemayo “Wateknolojia Dawa nguzo muhimu katika huduma za afya nchini tuwajibike pamoja”. Katika kuadhimisha siku wa Wateknolojia Dawa Duniani ambayo hufanyika Oktoba 16 kila mwaka,…
16/10/2024, 16:23
Jeshi la Polisi Zanzibar lazindua kampeni maalum ya kutoa elimu ya udhalilishaj…
Na Mulkhat Mrisho na Salhiya Hamad. Katibu wa Baraza la Elimu na Mrajisi wa Elimu Zanzibar Faridi Ali Muhamad ameliomba Jeshi la Polisi kushughulikia kesi za udhalilishaji ili kuondoa vitendo hiyo katika jamii. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni ya tuwaambie…
11 Oktoba 2024, 22:00
Care International yawafikia wasichana 600 Mufindi DC
Na Mwanaid Ngatala. Ikiwa ni maadhimisho ya Siku ya Mtoto wa Kike Duniani leo Oktoba 11, 2024, shirika lisilo la kiserikali, Care International, kupitia mradi wa Pesa yake maisha yake (Her Money Her Life), limegawa taulo za kike na sabuni…
11/10/2024, 19:24
Wafanyakazi wahanga magonjwa ya afya ya akili sehemu za kazi
Wanyakazi wanatajwa kuwa hatarini kupata magonjwa ya afya ya akili kutokana na mazingira ya kazi au shughuli wanazofanya. Katibu Mkuu Msaidizi Chama Wataalamu wa Saikolojia (TAPA) Bwn. Albano Michael pamoja Mwenyekiti Kanda ya Kati Magharibi Bwn. Shabani Waziri wamebainisha hayo…
10/10/2024, 12:47
Sendiga afika kumjulia hali mtoto Joel
Baada ya mtoto Joeli Mariki kupatikana akiwa hai katika mlima kwaraa , mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema madaktari wanaendelea kumpatia matibabu na hali yake bado inaendelea kuimarika kwa kuhakikisha anakuwa chini ya uangalizi wa wataalamu wa afya.…
07/10/2024, 21:41
Sillo akabidhi zawadi ya mashine ya kutolea nakala katika shule ya sekondari Mat…
Naibu waziri wa mambo ya ndani Daniel Silo ambae pia ni mbunge wa jimbo la Babati vijijini amekabidhi mashine hiyo baada ya kuwepo kwa changamoto ya upungufu wa vifaa vya shule. Na Mzidalfa Zaid Naibu waziri wa mambo ya ndani…
07/10/2024, 21:15
Wafugaji Simanjiro waaswa kupeleka mabinti shule
Wadau wa elimu kutoka shirika la Kinnapa, wafugaji kutoka wilayani humo wamesema wame elimika kutokana na elimu waliyoipata mara kwa mara na wameamua kuwapeleka watoto wa kike shule na hasa waliopata ujauzito wakiwa na umri mdogo Na Diana Dionis Jamii…
6 Oktoba 2024, 5:38 mu
Mchengerwa: Marufuku wananchi kuhamishwa kwenye maeneo ya malisho
Kumekuwepo na viongozi wa mikoa au wilaya kutoa maelekezo ya kuwahamisha wafugaji katika maeneo yao ambayo ni malisho ya mifugo yao kwa kisingizio cha kufuata maelekezo ya mh rais. Na mwandishi wetu . Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala…
04/10/2024, 20:08
Mkonze yajiimarisha kiulinzi kudhibiti mauaji na uhalifu
Na Nazaaeli Mkude Kufuatia tukio la mauaji la mama na binti lililotokea mnamo tarehe 19 Septemba mwaka huu katika kata ya Mkonze mtaa wa Muungano A, kata ya Mkonze, Jijini Dodoma, hali ya ulinzi imeimarishwa ili kudhibiti uendelevu matukio hayo…
03/10/2024, 15:20
Daraja mto Pangani kuwa mwarobaini wa ajali kwenye kivuko cha MV Tanga
Watu huvuka ng’ambo moja na nyingine ya mto Pangani kwa ajili ya mahitaji ya kibiashara,shughuli za uzalishaji mali, huduma za kiofisi kama vile ofisi ya halmashauri ya wilaya ya Pangani,huduma za kibenki,hospitali ya wilaya,soko kuu la mkoa Tangamano au stendi…