Habari za Jumla
25 Novemba 2024, 10:41 mu
Wanahabari waaswa kuhamasisha wanawake kushiriki katika michezo
Mwanahabari ni mtu yeyote yule ambae nafanya kazi ya uandishi wa habari kwa kukusanya,kutayarisha na kusambaza taarifa aidha anaweza kufanya kazi hiyo akiwa ameajiriwa ikiwa ni gazeti redio au kituo cha televisheni au wa kujitegemea akiuza kazi zake kama vile…
25 Novemba 2024, 9:59 mu
Wanawake watakiwa kuchangamkia fursa michezoni
Michezo ni moja kati ya fursa ambazo zinaifanya jamii kujikomboa na hali ngumu ya kimaisha ambazo zimekuwa zikitukabili katika jamii zetu Na Mwiaba Kombo Nimatumaini yangu hujambo mpenzi wa 97.4 Micheweni Fm nikukaribishe katika Makala maalum ambapo kwa siku ya…
24 Novemba 2024, 22:27
Wakristo watakiwa kushiriki uchaguzi serikali za mitaa Novemba 27, 2024
Ikiwa zimesalia siku chache kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa wananchi wametakiwa kuchagua viongozi wenye sifa ya uongozi. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mbunge wa Mbeya…
20 Novemba 2024, 6:06 um
Katavi:wazazi,walezi watakiwa kulinda na kutetea haki za watoto
Wazazi na walezi mkoani Katavi wametakiwa kulinda na kutetea haki za watoto dhidi ya ukatili wa kijinsia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti na Mpanda radio fm ikiwa leo ni siku ya maadhimisho ya watoto duniani inayo fanyika kila mwaka tarehe 20…
15 Novemba 2024, 7:40 um
Bahi walia kero ya maji chumvi
Na. Anselima Komba. Wananchi Wilayani Bahi Wameiomba Serikali kutimiza ahadi ya kutatuliwa kwa kero ya maji chumvi kwa kuwaunganishai maji baridi kutoka katika kata ya Ibihwa. Baadhi ya wanachi wanasema Serikali kupitia wizara ya maji iliwaahidi kutatua adha ya maji…
15 Novemba 2024, 7:40 um
Jifunze kumlinda mtoto dhidi ya ukatili
Na Lilian Leopold Jamii inakabiliwa na tatizo la uelewa kufahamu vitendo vya ukatili ambavyo mtoto hapaswi kufanyiwa. Hidaya Kaonga, Wakili na Mratibu wa Kituo Cha Sheria na Haki za Binadamu Mkoani Dodoma amebainisha mambo ambavyo yananyima haki ya msingi kwa…
15 Novemba 2024, 2:00 um
Watumishi wa afya Kilosa wapewa nondo kubaini ukondefu, udumavu kwa watoto
Serikali inaendelea kupambana na changamoto zinazowakabili watoto chini ya miaka miwili ambao wamekuja wakikabiliwa na ukondefu mkali ama utapiamulo pamoja na udumavu kwa kutoa elimu kwa watumishi wa afya. Na Asha Rashid Madohola Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Lishe, Ndugu…
15 Novemba 2024, 12:26 um
BUFADESO wahaidi kuwa kinala maonesho ya kilimo mseto Mara
Baraka amesema kama walivyofanya miaka mingine nyuma na msimu huu wamejipanga kushinda katika maonesho hayo kutokana na ubora wa bidhaa zinazozalishwa na wakulima wao. Na Adelinus Banenwa Imeelezwa kuwa Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, inaendelea kujenga mazingira wezeshi…
14 Novemba 2024, 8:05 um
Badili mtindo wa maisha kuepuka magonjwa yasiyoambukiza!
Na Mariam Ma Mtindo wa maisha umetajwa kuchaingia kwa kuchangia uwezekano wa jamii kuathiriwa na magonjwa yasiyoambukiza. Gaudensia Kalalu ni mtaalamu wa saikolojia kutoka hospitali ya taifa afya akili mirembe anazungumzia zaidi aina ya magonjwa yasiyoambukiza pamoja na sababu zinazopellekea…
12 Novemba 2024, 5:26 um
Chuo cha ualimu Mpwapwa chatumia nishati mbadala kwa mapishi
Na Noel Steven. Chuo cha ualimu Mpwapwa kimetekekeza agizo la Ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira ya kutumia nishati rafiki ili kupunguza atathari za mazingira. Mkuu wa Chuo hicho Bwn. Gerald Richard amesema kuwa kwa sasa wanatumia kuni…