Habari za Jumla
13 Januari 2025, 11:02 um
Mkuu wa wilaya ya Uvinza awataka wanafunzi wote kuripoti shule
Mkuu wa wilaya ya Uvinza Bi. Dinah Mathaman akifanya mahojiano na uvinza fm radio picha na Linda Dismas awahimiza wazazi kuwajibika kuwapeleka watoto shule. Na Theresia Damasi Mkuu wa wilaya ya Uvinza Dinah Marthani amewataka wazazi kutimiza wajibu wao wa…
13/01/2025, 17:39
Wananchi Mpomvu washiriki ujenzi wa kituo cha Afya
Baada ya kuwepo kwa changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani, hatimaye kata ya Mtakuja yaanza ujenzi wa kituo cha Afya. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja manispaa…
13/01/2025, 17:38
TARURA yachukizwa wanaoziba mitaro Geita
Wakazi wa Geita wameelea kuhimizwa kutunza miundombinu ya barabara sambamba na kutoa taarifa pindi wanapobaini uharibifu wa miundombinu. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara za mjini na vijijini TARURA wilaya ya Geita imekemea vikali tabia ya badhi ya…
12 Januari 2025, 4:38 um
Wanafunzi wa Ruchugi watumia saa mbili kufika shule
wameeleza athari wanazokutana nazo wakati wa kwenda shule na kurudi nyumbani kutokana na kutembea umbali. Na Linda Dismas Wanafunzi katika shule ya sekondari Ruchugi, wilayani uvinza mkoani kigoma, wameeleza jinsi ambavyo wanatembea umbali mrefu wa masaa mawili kufika shule kunavyowaathiri…
9 Januari 2025, 18:19
DC Haniu afanya ziara Shule ya amali
kutokana na mabadiliko mbalimbli ya mitaala ya Elimu serikali inaendelea na ujenzi wa Shule zitakazo kidhi mitaala hiyo. Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu leo tarehe 9.1.2025 amefanya ziara na kukagua hatua ya ujenzi wa shule…
08/01/2025, 15:51
Wapata ajali wakisafirisha maiti kwa bodaboda kutoka Geita-Kagera
Waendesha pikipiki wanne wa egesho la Miti mirefu mtaa wa Mission mjini Geita wamenusurika kifo baada ya kupata ajali walipokuwa wakisafirisha jeneza lenye maiti ndani yake kutoka Geita kuelekea Bukoba kwaajili ya mazishi. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tukio hilo…
24/12/2024, 17:43
Rc Sendiga asema ulinzi na usalama umeimarishwa katika sikukuu za mwisho wa mwak…
Picha ya mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga Sendiga awataka wazazi na walezi kuwa na uangalizi wa karibu na watoto wao na kuacha kuwapeleka katika maeneo yasiyo rasmi zikiwemo kumbi za starehe katika msimu wa sikuku nakusema mkoa wa…
24/12/2024, 16:16
Mwakilishi Malindi Apongeza Serikali ya Awamu ya Nane kwa Miradi ya Maendeleo
Na Mary Julius. Mwakilishi wa Jimbo la Malindi Mohamed Ahmada Salum amesema serikali ya awamu ya nane chini ya Dk Hussein Ali Mwinyi imetekeleza kwa kishindo ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2020- 2025 katika utekelezaji wa miradi ya kimaendeleo,katika jimbo…
22 Disemba 2024, 10:01 um
Katavi:Akutwa amejinyonga chumbani kwake
“Wa kwanza kubaini tukio hilo ni mke wa marehemu ambapo alikuta mlango ukiwa wazi na marehemu ananing’inia juu “ Na Samwel Mbugi -Katavi Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniphas Juma Katagwa mwenye umri wa miaka 34 amekutwa amejinyoga ndani…
17/12/2024, 18:25
Msangamkuu Beach Festival kuzinduliwa rasmi 27 Disemba 2024 Mtwara
Na Musa Mtepa Tamasha la Msangamkuu Beach Festival, linalohamasisha utalii katika mkoa wa Mtwara na kusini kwa ujumla, linatarajiwa kuzinduliwa rasmi tarehe 27 Disemba 2024 katika fukwe za Msangamkuu. Tamasha hili litapambwa na burudani mbalimbali kutoka ndani na nje ya…