Radio Tadio

Habari za Jumla

13/01/2025, 17:39

Wananchi Mpomvu washiriki ujenzi wa kituo cha Afya

Baada ya kuwepo kwa changamoto ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya katika maeneo jirani, hatimaye kata ya Mtakuja yaanza ujenzi wa kituo cha Afya. Na: Kale Chongela – Geita Wananchi wa mtaa wa Mpomvu kata ya Mtakuja manispaa…

13/01/2025, 17:38

TARURA yachukizwa wanaoziba mitaro Geita

Wakazi wa Geita wameelea kuhimizwa kutunza miundombinu ya barabara sambamba na kutoa taarifa pindi wanapobaini uharibifu wa miundombinu. Na: Kale Chongela – Geita Wakala wa barabara za mjini na vijijini TARURA wilaya ya Geita imekemea vikali tabia ya badhi ya…

12 Januari 2025, 4:38 um

Wanafunzi wa Ruchugi watumia saa mbili kufika shule

wameeleza athari wanazokutana nazo wakati wa kwenda shule na kurudi nyumbani kutokana na kutembea umbali. Na Linda Dismas Wanafunzi katika shule ya sekondari Ruchugi, wilayani uvinza mkoani kigoma, wameeleza jinsi ambavyo wanatembea umbali mrefu wa masaa mawili kufika shule kunavyowaathiri…

9 Januari 2025, 18:19

DC Haniu afanya ziara Shule ya amali

kutokana na mabadiliko mbalimbli ya mitaala ya Elimu serikali inaendelea na ujenzi wa Shule zitakazo kidhi mitaala hiyo. Na mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Rungwe Mhe.Jaffar Haniu leo tarehe 9.1.2025 amefanya ziara na kukagua hatua ya ujenzi wa shule…

22 Disemba 2024, 10:01 um

Katavi:Akutwa amejinyonga chumbani kwake

“Wa kwanza kubaini tukio hilo ni mke wa marehemu ambapo alikuta mlango ukiwa wazi na marehemu ananing’inia juu “ Na Samwel Mbugi -Katavi Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Boniphas Juma Katagwa mwenye umri wa miaka 34 amekutwa amejinyoga ndani…