Radio Tadio

Habari za Jumla

5 Novemba 2024, 12:22 um

Picha: Tazama mvua ilivyowasumbua wakazi wa Msalala road

Ni msimu wa masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha kwa maeneo mbalimbali nchini. Na: Amon Mwakalobo – Geita Tazama hali ilivyo katika mtaa wa Msalala road barabara ya kuelekea Msufini karibu na egesho la bodaboda halmashauri ya mjinwa Geita baada ya…

5 Novemba 2024, 11:29 mu

THRDC watoa msaada wa magodoro gereza la Loliondo

Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu Tanzania ni miongoni mwa wadau muhimu wa kutetea haki za binadamu hapa nchini sambamba na hilo wamekuwa wakishiriki kwenye shughuli zingine za kijamii ikiwepo kutoa misaada mbalimbali ya huduma muhimu za kijamii katika…

5 Novemba 2024, 10:53 mu

Elimu ya uzalendo yatolewa kwa vijana Rungwe

Mchungaji /mwalimu Methew Chawala akizungunza na waumini wa kanisa hilo Wazazi na walezi wametakiwa kuwa mstari wa mbele kukabiliana na vitendo vya ukatili vinavyo chamili kwenye jamii RUNGWE -MBEYA Na Lennox Mwamakula Mwangalizi wa makanisa ya pentecoste Hollinests Association Mission…

1 Novemba 2024, 7:11 um

Sintofahamu yagubika kura za maoni Mtube Dodoma

Na Nazael Mkude. Sintofahamu imeibuka kwa wajumbe wa CCM wa mtaaa wa Matube Kata ya Nkuhungu jijini Dododma baada ya mgombea kutotangazwa jina lake baada ya mchakato wa kura za maoni kukamilika. Wajumbe wa CCM kutoka mtaa huo wamefika katika…

1 Novemba 2024, 6:51 um

Serikali yajizatiti kutatua changamoto za vijana balehe

Na Mariam Kasawa. Serikali imejidhatiti kutatua changamoto zinazowakumba vijana balehe kwa kuweka mazingira salama na rafiki kwa vijana kupitia afua mbalimbali zinazowawezesha vijana kufikia malengo yao na utimilifu wao kwa ujumla. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu,Sera ,Bunge na Uratibu…

1 Novemba 2024, 6:50 um

Matumizi ya nishati ya umeme jua ni tija katika kilimo

Na Mindi Joseph Matumizi ya nishati ya umeme jua katika shughuli za Kilimo inatajwa kuwa Mkombozi kwa wakulima kutokana na kuokoa gharama mbalimbali pamoja na kuwezesha uzalishaji wenye tija kwa msimu mzima. Bwana Ngalya mkulima mkazi wa Kata cha Matungulu…

1 Novemba 2024, 3:06 um

Katavi:Takukuru yaokoa fedha zaidi ya Tshs milion 6

kaimu mkuu wa TAKUKURU  mkoa wa Katavi Stuart Kiondo.picha na Samwel Mbugi “ametoa rai kwa wananchi wote wa mkoa wa Katavi kutoa taarifa za vitendo vya Rushwa hususani katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa November 27…

29 Oktoba 2024, 3:59 um

Watatu wanusurika ajali ya moto bajaj ikiteketea

 Na Anwary Shabani     Watu watatu jijini Dodoma wamenusurika kifo baada ya bajaji waliyokuwa wakiitumia kwa safari za mjini kuwaka moto na kuteketea katika mtaa wa Kitenge Kata ya majengo. Bwn Isaack Gideon ambaye ni dereva wa bajaj hiyo anaeleza jitihada…

29 Oktoba 2024, 3:50 um

Koica yawapiga msasa wakaguzi wa walimu Pemba

Mkaguzi mkuu wa elimu Zanzibar Maimuna Fadhil Abas akizungumza na wakaguzi wa walimu wakati wa ufunguzi wa mafunzo huko kituo cha walimu (TC)Michakaeni chake chake Pemba (picha na Mwiaba Kombo) Taasisi ya kuboresha elimu Zanzibar lengo lake kubwa ni kuhakikisha…