Habari za Jumla
10/12/2020, 14:51
Wawili wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za kujeruhi
Na Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Dabalo Wilaya ya Chamwino Bw.Msafiri Samson (38) na Samwel Msafiri (33) leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Dodoma kwa shitaka la kujeruhi kitendo ambacho ni kosa kisheria.Wakisomewa shitaka lao mbele…
10/12/2020, 09:26
Sven aridhishwa na wachezaji wake
Kocha mkuu wa klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Sven Vandenbroeck amefurahishwa na jinsi kikosi chake kilivyocheza dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu jana usiku (Desemba 09), Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.Kwenye mchezo huo uliokua…
08/12/2020, 15:14
Rais wa Zanzibar Dkt.Alli Mwinyi amuapisha makamu wa kwanza wa Rais
Na Pius Jayunga. Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dr.Hussen Ali Mwinyi amemwapisha makamu wa kwanza wa Rais Mh.Maalimu Seif Sharif Hamad na kuwataka viongozi wa vyama vya siasa pamoja na wananchi kuunguna pamoja kuyaendeleza maridhiano.Rais. Dr.…
08/12/2020, 14:51
Mfumuko wa bei wa Taifa washuka
Na,Mindi Joseph, Dodoma. Mfumuko wa bei wa Taifa umepungua kutoka asilimia 3.1 hadi 3.0 kwa mwezi Novemba kufuatia kasi ya mabadiliko ya bidhaa nchini Kupungua.Kupungua kwa mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia mwezi Novemba 2020 imechangiwa na kupungua kwa bei…
08/12/2020, 12:48
Tanzania na Korea zatiliana saini mkopo wa Bilioni 684.6 kusaidia miradi mbalim…
Na Alfred Bulahya, Dodoma. Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesaini Mkataba na Serikali ya Jamhuri ya Korea wenye thamani ya dola za Marekani milioni 300, sawa na shilingi bilioni 684.6 za Tanzania kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali…
08/12/2020, 07:55
Baloteli ajiunga na Monza ya daraja la pili Italia
Monza, Italia. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Italia, Mario Balotelli ambaye amekuwa bila klabu tangu majira ya joto, Sasa anarejea Katika Soka akijiunga na klabu cha daraja la pili huko Italia AC Monza inayomilikiwa na Silvio Berlusconi na Adriano Galliani. Klabu…
7 Disemba 2020, 5:14 um
Wanaume kukosa ujasiri wa kuripoti matukio ya Ukatili unaowakabili
Miongoni mwa sababu zinazotajwa na kupelekea wanaume kushindwa kufikisha taarifa za kufanyiwa ukatili katika vyombo vinavyohusika ni pamoja na uwepo wa Mtazamo Hasi na uwoga wa kudharirika iwapo jamii itabaini suala hilo Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha mnadani Mkurugenzi…
07/12/2020, 12:51
Africa CDC:Idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona yakaribia milioni 2.25
Adis Ababa, Ethiopia. Kituo cha Kukinga na Kudhibiti Magonjwa cha Afrika (Africa CDC) kimesema hadi kufikia Jumapili alasiri, idadi ya jumla ya maambukizi yaliyothibitishwa ya virusi vya Corona barani humo imekaribia milioni 2.25, huku idadi ya vifo ikifikia 53,543. Kwa…
7 Disemba 2020, 10:16 mu
Mbabe wa simba apigwa na Yanga
Yanga yaendelea kua timu pekee ligi kuu ambayo mpaka sasa haija poteza mchezo hata mmja hii baada ya kuifunga ruvu shooting goli mbili dhidi ya moja katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa Mkapa jijini dar-es-saalamKocha wa Yanga, Cedric Kaze anasema…
07/12/2020, 09:06
Ntibazonkiza aishuhudia Yanga ikiondoka na pointi tatu
Dar Es Salaam. Mshambuliaji mpya wa klabu ya soka ya Yanga Said Ntibazonkiza hapo jana alikaa jukwaani kuishuhudia timu yake ikiibuka na ushindi wa bao 2-1 dhidi ya maafande wa Ruvu Shooting. Ntibazonkiza anatarajia kuanza kuitumikia Yanga kuanzia Sesemba 15…