Habari za Jumla
23 Machi 2021, 9:22 MU
MKUU Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara., Selemani Mzee asaini kitabu cha maombolezo
MKUU Wilaya ya Masasi Mkoani Mtwara., Selemani Mzee akisaini kitabu cha Kumbumbuku ya maombolezo ya kifo cha aliyekuwa Rais Dkt. John Magufuli kilichotokea Machi, 17 mwaka huu, kitabu hicho cha maombelezo hayo kimefunguliwa kkatika ofisi ya mkuu ya wilaya ya…
23 Machi 2021, 9:12 MU
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Po…
Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi-CCM Wilaya ya Masasi wamlilia Rais Dkt. John Pombe Magufuli na kueleza kuwa taifa limepoteza kiongozi shujaa na mpenda maendeleo na kwamba alikuwa ni mtetezi wa wananchi wanyonge hivyo wataendelea kumkumbuka milele. Wanachama hao leo Mach,…
23 Machi 2021, 6:34 mu
Magufuli Alijenga Heshima ya Tanzania
Na; Mariam Kasawa. Imeelezwa kuwa, kufuatia Marekebisho yaliyofanywa katika Sheria ya Madini ambayo ni Matunda ya jitihada za aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli yameifanya Tanzania iheshimike kimataifa. Hayo yamebainishwa…
23 Machi 2021, 6:23 mu
Buriani Magufuli Dodoma haitakuona tena
Na; Mariam Kasawa. Hatimaye zoezi la kuuaga mwili wa hayati Dkt. John Pombe Magufuli limekamilika Jijini Dodoma na sasa ni zamu ya Zanzibar. Leo Machi 23 2021 wananchi wa Zanzibar watapata nafasi ya kutoa heshima zao za mwisho kwa rais…
22 Machi 2021, 12:50 um
Tanzania itamkumbuka daima Dkt. Magufuli kuwa shujaa na mkombozi
Na; Mariam Kasawa Viongozi mbalimbali walio hudhuria katika tukio la kumuaga Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wamemzungumzia kuwa alikuwa shujaa na mkombozi waTanzania, Afrika na Duniani. Wakizungumza katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Marais Walio hudhuria shughuli hiyo wamesema watamkumbuka…
22 Machi 2021, 8:57 mu
Matukio katika picha Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma
Na; Mariam Kasawa Viongozi mbalimbali wakiwa uwanja wa Jamhuri katika tukio la kuuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli. Zoezi la kumuaga Hayati Dkt. John Maguli likiwa linaendelea katika viwanja vya Jamhuri Mkoani Dodoma. Wananchi wamekumbushwa kuendelea kujipanga pembezoni mwa…
22 Machi 2021, 7:55 mu
Ratiba ya kuaga Mwili wa Rais Magufuli Dodoma yabadilishwa
Na; Mariam Kasawa. Baada ya uongozi wa mkoa wa Dodoma kutambua hamu ya wakazi wa jiji hili ya kutamani kumuaga Hayati Dkt John Pombe Magufuli wameamua kuzunguka maeneo mbalimbali ili kila mwananchi aweze kushiriki zoezi hili. Akizungumza na waandishi wa…
22 Machi 2021, 5:24 mu
Kikwete asema Tanzania ipo salama mikononi mwa Rais Samia
Na; Mariam Kasawa Rais mstaafu wa awamu ya nne Mh.Jakaya Kikwete amesema Taifa la Tanzania lipo salama chini ya uongozi wa Rais mpya Samia Suluhu, kwani rais huyo anafahamu kile kilicho fanyika Tanzania, kinachostahili kufanyika pamoja na mipango ya Serikali…
21 Machi 2021, 1:57 um
Hatimaye zoezi la kumuaga Dkt John Magufuli lahamia Dodoma
Na; Mariam Kasawa Wakazi wa Mkoa wa Dodoma na maeneo ya jirani wametakiwa kujitokeza mapema katika uwanja wa Jamhuri kwaajili ya kushiriki zoezi la kumuaga hayati Dkt. John Pombe Magufuli. Akizungumza na waandishi wa habari Msemaji mkuu wa Serikali Dkt.Hassani…
21 Machi 2021, 11:57 mu
Zoezi la maandalizi lakamilika Jamhuri
Na; Mariam Kasawa Zoezi la kuandaa uwanja wa Jamhuri kwaajili ya kuupokea mwili wa Hayati Dkt. John Pombe Magufuli mpaka sasa yamekwisha kamilika . Akizungumza na vyombo vya habari Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri mkuu Patrobas Katambi amesema…