Habari za Jumla
April 28, 2021, 5:33 pm
Wananchi walalamikia miundombinu mibovu ya barabara kwa kukwamisha shughuli zao.
Wananchi wa Mtaa wa Inyanga Kata ya Nyihogo halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuwatengenezea barabara ya kutoka Mhungula kwenda mwime ambayo imeharibika kwa kiwango kikubwa na kuwa changamoto kwao. Wakizungumza wananchi hao wamesema suala la miundombinu…
April 28, 2021, 5:23 pm
Wafanyabiashara Kazaroho Manispaa ya Kahama wamuomba Mkurugenzi kuvunja masoko.
Wafanyabiashara wa soko la Kazaroho wamuomba mkurugenzi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya soko pamoja na kuyaua masoko yaliyopo pembezoni mwa soko hilo yasiyo rasmi. Wakizungumza baadhi ya wafanyabiashara wa soko hilo wamesema awali walitolewa…
April 28, 2021, 2:18 pm
TBS yatoa mafunzo ya vifungashio kwa wajasirimali wa mchele Kahama
Wajasiliamali 100 ambao ni wasindikaji, wauzaji na wasambazaji wa Mchele Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamepatiwa mafunzo kuhusu kanuni bora za uzalishaji na taarifa za msingi zinazotakiwa kuwepo kwenye vifungashio na shirika la viwango nchini TBS. Mafunzo hayo yametolewa kwenye…
27 April 2021, 8:47 pm
MARA:UTALII WA NDANI WAONGEZA LICHA YA COVID-19
Idadi ya watalii wa ndani kutembelea na kujionea vivutio mbalimbali imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka katiaka hifadhi ya taifa ya Serengeti iliyopo mkoani Mara licha uwepo wa changamoto wa janga la Covid-19 ambapo nchi mbalimbali ulimwengu zinakabiliana na janga hili.…
27 April 2021, 9:21 am
Wananchi waomba kupatiwa elimu juu ya katiba
NA; Shani Nicoalus Wananchi jijini Dodoma wametoa wito wa kupatiwa elimu juu ya katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 kutokana na kutoifahamu ipasavyo. Hatua hii imefikiwa baada ya hivi karibuni Halmashauri kuu ya Chama cha…
27 April 2021, 6:22 am
Nagulo Bahi Zahanati bado kizungumkuti
Na; Seleman Kodima. wakazi wa Nagulo Bahi wamelalamikia kukosa huduma ya Afya kijijini hapo hali inayopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kutafuta huduma ya Afya. Wananchi hao wameelezea jinsi walivyo jitahidi kufanya juhudi ili wapate kituo cha Afya kijijini hapo lakini…
27 April 2021, 6:10 am
Tanzania yaadhimisha miaka 57 ya muungano
Na,Mariam Matundu. Ikiwa Tanzania imeadhimisha miaka 57 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar ,imeelezwa kuwa changamoto 15 kati ya 25 za muungano zimetatuliwa . Hayo yameelezwa na Makamu wa Rais Dr. Philip Mpango wakati akifungua kongamano la maadhimisho ya miaka…
27 April 2021, 6:05 am
Milion 80 kujenga madarasa manne kata ya Bunda stoo
Diwani wa kata ya bunda stoo Flaviani Chacha amewapongeza wadau wa maendeleo kwa kuendelea kujitolea katika kuisaidia serikali kutatua kero za wananchi Akizungumza na Redio Mazingira Fm April ,22/ 2021 Flavian amesema amepokea shilingi milion 80 kutoka kwa wadau wa…
April 26, 2021, 5:19 pm
Uongozi wa Skauti Kahama waonywa kwa kushindwa kusimamia majukumu yake.
Mkuu wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Annamringi Macha ameukosoa uongozi wa chama cha skauti ngazi ya Wilaya ya Kahama kwa kushindwa kusimamia na kuendeleza skauti kwa baadhi ya shule. Mkuu huyo wa Wilaya ameyasema hayo wakati akifungua mafunzo ya…
April 26, 2021, 5:04 pm
RPC Shinyanga “Madereva tumieni hekima kuendesha magari yenu”
Kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Shinyanga ACP Debora Magiligimba amefanya ukaguzi wa kushtukiza kwa mabasi yaendayo mikoani kutoka Kituo Cha Mabasi Kahama mkoani humo. Akizungumza na madereva na kutoa elimu ya usalama barabarani kwa abiria kamanda Magiligimba amesema magari…