Habari za Jumla
May 17, 2021, 5:03 pm
ACT Wazalendo wakataa Matokeo Uchaguzi Buhigwe
Na; Albert Kavano Aliyekuwa Mgombea Ubunge wa jimbo la Buhigwe kupitia chama cha ACT Wazalendo mkoani Kigoma Bw Garula Tanditse ameyakataa matokeo ya Uchaguzi mdogo wa Ubunge uliompa ushindi Mgombea wa CCM Bw Felix Kavejuru kwa asilimia 83. Akizunguma na…
15 May 2021, 19:50 pm
Mtenga: Nitachangia mifuko 100 ya saruji bakwata
Na Karim Faida. Waislam katika wilaya ya Mtwara wametakiwa kuonesha jitihada na kushirikiana katika ujenzi wa ofisi ya bakwata ya wilaya hiyo ili kuwapa Imani wanaotaka kusaidia kwenye ujenzi huo ambao bado haujaanza kutokana na ukata wa pesa. Hayo yamesemwa…
May 13, 2021, 1:01 pm
Wilaya ya Kahama inakabiliwa na uhaba wa damu salama
Hospitali ya Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga inakabiliwa na uhaba wa damu salama huku wananchi wilayani humo wakiombwa kuendelea kujitokeza kuchangia damu. Hayo yamesema na mratibu wa damu salama hospitali ya Wilaya ya Kahama, God Abdallah amesema uhitaji wa damu…
13 May 2021, 10:25 am
DC Maswa awaasa madiwani kusimamia miradi ya Maendeleo inayotolewa na S…
Mkuu wa wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Aswege Kaminyoge amewataka Madiwani kusimamia Miradi na kufuatilia maendeleo inayotolewa na Serikali katika maeneo yao.. Kauli hiyo ameitoa wakati akitoa Salamu za Serikali katika kikao cha Baraza la Madiwani lililofanyika katika ukumbi wa …
11 May 2021, 1:24 pm
Wananchi wapewa mbinu za kukabiliana na Tembo vamizi.
Wananchi wilayani Meatu Mkoani Simiyu wameaswa kushirikiana na wataalamu wa Wanyama pori ili kudhibiti Uharibifu unaofanywa na wanyama katika maeneo yanayozungukwa na Hifadhi za wanyama. Wito huo umetolewa na mwakilishi wa Mkurugenzi idara ya Wanyama Pori kutoka Wizara ya Maliasili …
11 May 2021, 8:13 am
TMDA UTUNZAJI WA KUMBUKUMBU BADO NI CHANGAMOTO
Meneja wa mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA) Sofia Mziray amesema bado kuna changamoto ya utunzaji wa kumbukumbu dawa zenye madhara ya kulevya. Ameyasema hayo kwenye kikao kazi kilichowakutanisha watumishi wa sekta ya afya na mifugo ambacho kimefanyika kwa…
10 May 2021, 5:42 pm
ZAIDI YA WATOTO LAKI NNE KUPATIWA KINGATIBA SIMIYU
Zaidi ya watoto 400,000 wenye umri wa kwenda shule watapatiwa kingatiba mkoani Simiyu lengo likiwa kuwakinga na magonjwa ya kichocho na minyoo tumbo. Hayo yamesemwa na mratibu wa magonjwa yaliyokuwa hayapewi kipaumbele kutoka mkoa wa Simiyu Dkt Ntugwa Nyorobi wakati…
10 May 2021, 4:20 pm
Naibu waziri Tamisemi atoa maagizo mazito kwa viongozi Sengerema.
Naibu waziri wa Tamisemi Mh, David Erenest Silinde ameiagiza halmashauri ya Sengerema kulipa fidia kwa wananchi walioachia viwanja vyao kwa ajiri ya kupisha ujenzi wa stendi mpya ya magari eneo la bukala kata ya ibisabageni wilayani Sengerema Mkoani Mwanza ndani…
10 May 2021, 11:58 am
Kitabu cha mzee Mwinyi kitakuwa msaada kwa viongozi mbalimbali katika kuhudumia…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa kitabu kilichozinduliwa hivi karibuni cha Raisi wa awamu ya pili ya jamhuri ya muungano wa Tanzania Ally Hassan Mwinyi ambacho kinaeleza historia ya maisha yake katika kipindi cha utawala wake kitawasaidia viongozi wa serikali…
10 May 2021, 10:27 am
Wakazi wa kata ya Mpalanga walalamikia uchache wa miundombinu ya maji safi na sa…
Na; Victor Chigwada. Changamoto ya upatikanaji wa maji imekuwa tatizo kubwa katika baadhi ya vijiji hali inayo pelekea wakazi wa maeneo hayo kutumia muda mwingi katika utafutaji wa maji. Taswira ya habari ilitembelea Kata ya Mpalanga Wilaya ya Bahi katika…