Habari za Jumla
13 Oktoba 2021, 2:30 um
hakielimu yatoa mafunzo na vyerehani kwa watoto wa kike ili kushona taulo za kik…
Katika kukabiliana na changamoto za watoto wa kike kutohudhuria kikamilifu masomo yao hakielimu kupitia mradi wa The Girls Retention and Transition Initiative (G.R.T.I ) imetoa vyerehani na mafunzo kwa wanafunzi kutegeneza taulo za kike ili waweze kujihifadhi kipindi cha hedhi…
Oktoba 13, 2021, 12:45 um
Wakulima wapewa ruzuku za pembejeo
Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wakulima waliopatiwa ruzuku za pembejeo za kilimo na halmashauri kuhakikisha wanatumia vizuri pembejeo hizo kwenye kilimo kama ilivyokusudia. Festo kiswaga ameyasema hayo wakati akigawa pembejeo hizo kwa wakulima ambapo amesema wakulima waliopatiwa …
Oktoba 13, 2021, 9:13 mu
Mila na desturi zazuia fursa nyasa
Wanawake wa wilaya ya nyasa mkoani Ruvuma,wailalamikia serikali kwa kukosa fursa ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo uvuvi katika ziwa nyasa na uuzaji wa samaki. unyanja fm ilifika mpaka ziwani na kuongea na baadhi ya wanawake hao,wanao jihusisha na biashara ya…
Oktoba 13, 2021, 8:58 mu
Ulaji wa kinyesi kibichi unavyosababisha vifo kwa watoto wadogo
Hayo yalibainishwa na wakati wa uzinduzi wa kampeni ya usafi mazingira na matumizi bora ya vyoo, uliozinduliwa Kimkoa na Mkuu wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Omary Mgumba Mjini Vwawa, Wilayani Mbozi. Mgumba amesema Ugonjwa wa kuhara unaosababishwa na ulaji wa…
13 Oktoba 2021, 8:58 mu
Mufti Mkuu Tanzania: Bakwata tafuteni hati
OKTOBA 6, 2021 KATAVI Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuberi amewataka makatibu wa misikiti yote Mkoani katavi kuhakikisha wanapata hati miliki za viwanja vyote vinavyomilikiwa na baraza la waislam Tanzania BAKWATA. Shekh mkuu wa Tanzania ameyasema hayo…
13 Oktoba 2021, 8:56 mu
Wivu wawanyima uhuru watumishi
RUNGWE-MBEYA Wivu wa maendeleo imetajwa kuwa moja kati ya sababu zinazopelekea waajiri wengi wa wafanyakazi wa majumbani kutowaruhusu wafanyakazi wao kuendesha miradi yao. Wakizungumza na waandishi wetu baadhi ya wananchi wilayani hapa wamesema kwamba baadhi ya waajiri wanaogopa kuzidiwa kipato…
12 Oktoba 2021, 9:44 mu
mkoa wa simiyu na mkakati wa kuzalisha tani laki tano za pamba msimu wa kilimo 2…
Mkuu wa mkoa wa Simiyu David Kafulila amewaomba wadau mbalimbali wa zao la pamba mkoa hapo kuhakikisha mkakati wa zao hilo wa kuzalisha tani laki tano za pamba unatekelezwa kwa vitendo na siyo kwa makaratasi lengo nikuongeza thamani ya zao…
8 Oktoba 2021, 7:15 um
NMB yatoa Msaada wa vifaa vya ujenzi Shule za Msingi na Sekondari …
Benki ya NMB imekabidhi vifaa vya Ujenzi kwa Shule za Msingi na Sekondari Wilayani Maswa Mkoani Simiyu vyenye thamani ya Shilingi Milioni Ishirini na Nne.. Akikabidhi vifaa hivyo mbele ya Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh Aswege Kaminyoge , Meneja …
8 Oktoba 2021, 3:59 um
Nassar:-Ruwasa simamieni suala bili za Maji ili mpanue mtandao wa maji
Jumuiya za watumiaji maji wilaya ya Bunda Mkoani Mara wametakiwa kusimamia ipasavyo miradi ya maji iliyo katika maeneo yao kwa kuhakikisha wanatumia vizuri pesa wanazo kusanya katika miradi hiyo.Agizo hilo limetolewa leo Oct.7. 2021 na mgeni rasmi ambaye ni mkuu…
5 Oktoba 2021, 5:48 um
Bunda:- Hofu ya mamba na viboko wananchi walazimika kutumia maji ya kwenye madim…
Kutokana na matukio ya mara kwa mara ya wananchi kujeruhiwa au kuuawa na mamba, baadhi ya wananchi wamelazimika kuwa wanatumia maji yaliyotuwama kando kando ya barabara kwa hofu ya kwenda Ziwani au Mtoni kutoka na matukio hayo. Mazingira Fm imeshuhudia…