Radio Tadio

Habari za Jumla

Oktoba 13, 2021, 12:45 um

Wakulima wapewa ruzuku za pembejeo

Mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga amewataka wakulima waliopatiwa ruzuku za pembejeo za kilimo na halmashauri kuhakikisha wanatumia vizuri pembejeo hizo kwenye kilimo kama ilivyokusudia. Festo kiswaga ameyasema hayo wakati akigawa  pembejeo hizo kwa wakulima ambapo amesema wakulima waliopatiwa …

Oktoba 13, 2021, 9:13 mu

Mila na desturi zazuia fursa nyasa

Wanawake wa wilaya ya nyasa mkoani Ruvuma,wailalamikia serikali kwa kukosa fursa ya kufanya kazi mbalimbali ikiwemo uvuvi katika ziwa nyasa na uuzaji wa samaki. unyanja fm ilifika mpaka ziwani na kuongea na baadhi ya wanawake hao,wanao jihusisha na biashara ya…

13 Oktoba 2021, 8:58 mu

Mufti Mkuu Tanzania: Bakwata tafuteni hati

OKTOBA 6, 2021 KATAVI Mufti na Shekh Mkuu wa Tanzania Abubakar bin Zuberi amewataka makatibu wa misikiti yote Mkoani katavi kuhakikisha wanapata hati miliki za viwanja vyote vinavyomilikiwa na baraza la waislam Tanzania BAKWATA. Shekh mkuu wa Tanzania ameyasema hayo…

13 Oktoba 2021, 8:56 mu

Wivu wawanyima uhuru watumishi

RUNGWE-MBEYA Wivu wa maendeleo imetajwa kuwa moja kati ya sababu zinazopelekea waajiri wengi wa wafanyakazi wa majumbani kutowaruhusu wafanyakazi wao kuendesha miradi yao. Wakizungumza na waandishi wetu baadhi ya wananchi wilayani hapa wamesema kwamba baadhi ya waajiri wanaogopa kuzidiwa kipato…

8 Oktoba 2021, 7:15 um

NMB yatoa Msaada wa vifaa vya ujenzi Shule za Msingi na Sekondari …

Benki  ya  NMB   imekabidhi  vifaa  vya  Ujenzi  kwa  Shule  za  Msingi  na  Sekondari  Wilayani  Maswa   Mkoani  Simiyu  vyenye  thamani  ya  Shilingi  Milioni  Ishirini  na  Nne.. Akikabidhi  vifaa  hivyo mbele  ya  Mkuu  wa Wilaya  ya  Maswa Mh   Aswege  Kaminyoge ,  Meneja  …