Radio Tadio

Habari za Jumla

14 December 2020, 10:43 am

Fainali za CHAN 2021 Cameroon mambo yameiva

Younde, Cameroon. Cameroon sasa wako tayari kuwa mwenyeji wa CHAN 2020 baada ya Kamati ya Utendaji ya CAF kuidhinisha miundombinu yake kutoka kwa ukaguzi wa mwisho ulioongozwa na Baf Anthony Baffoe, Naibu Katibu Mkuu anayehusika na mpira wa miguu na…

14 December 2020, 9:52 am

TPBRC yaandaa mapambano ya kuaza mwaka 2021

Dar Es Salaam. Kamisheni ya ngumi za kulipwa Tanzania TPBRC imeandaa mapambano kabambe ya ngumi ya kuanza mwaka. Mapambano hayo yanatarajiwa kufanyika siku ya Valentine Februari 14,2021 katika ukumbi wa Viwanja vya Sabasaba jijini Dar Es Salaam. Mratibu wa mapambano…

12 December 2020, 10:56 am

Okwi akutwa na maambukizi ya virusi vya Corona

Jeddah, Saudi Arabia. Klabu ya Al-Ittihad imethibitisha kuwa mshambuliaji wake raia wa Uganda Emmanuel Okwi ataukosa mchezo wa leo wa kwanza wa Ligi Kuu nchini Misri dhidi ya Pyramids Fc kutokana na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha…

12 December 2020, 10:42 am

Micho akana mashtaka A.Kusini

Johanesburg, Afrika Kusini. Kocha Mkuu wa Timu ya taifa ya Zambia Milutin Sredojevic ‘Micho’ amekana mashtaka ya unyanyasaji wa kijinsia nchini Afrika Kusini. Kocha huyo mkongwe barani Afrika, mwenye umri wa miaka 51 alipandishwa katika Mahakama huko New Brighton jana…

10 December 2020, 2:51 pm

Wawili wapandishwa kizimbani kwa tuhuma za kujeruhi

Na Zakia Ndulute, Dodoma. Mkazi wa Dabalo Wilaya ya Chamwino Bw.Msafiri Samson (38) na Samwel Msafiri (33) leo wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Dodoma kwa shitaka la kujeruhi kitendo ambacho ni kosa kisheria.Wakisomewa shitaka lao mbele…

10 December 2020, 9:26 am

Sven aridhishwa na wachezaji wake

Kocha mkuu wa klabu Bingwa Tanzania Bara Simba SC Sven Vandenbroeck amefurahishwa na jinsi kikosi chake kilivyocheza dhidi ya Polisi Tanzania kwenye mchezo wa Ligi Kuu jana usiku (Desemba 09), Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es salaam.Kwenye mchezo huo uliokua…

8 December 2020, 2:51 pm

Mfumuko wa bei wa Taifa washuka

Na,Mindi Joseph, Dodoma. Mfumuko wa bei wa Taifa umepungua kutoka asilimia 3.1 hadi 3.0 kwa mwezi Novemba kufuatia kasi ya mabadiliko ya bidhaa nchini Kupungua.Kupungua kwa mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia mwezi Novemba 2020 imechangiwa na kupungua kwa bei…

8 December 2020, 7:55 am

Baloteli ajiunga na Monza ya daraja la pili Italia

Monza, Italia. Mshambuliaji wa Kimataifa wa Italia, Mario Balotelli ambaye amekuwa bila klabu tangu majira ya joto, Sasa anarejea Katika Soka akijiunga na klabu cha daraja la pili huko Italia AC Monza inayomilikiwa na Silvio Berlusconi na Adriano Galliani. Klabu…