Habari za Jumla
22 Novemba 2021, 9:36 mu
Mafunzo yawe chachu ya mabadiliko
RUNGWE-MBEYA NA:STAMILY MWAKYOMA Vijana wametakiwa kuwa vielelezo katika jamii kupitia mafunzo yanayotolewa na vyuo vya maendeleo ya wananchi hapa nchini. Kauli hiyo imetolewa na mgeni rasmi Ndugu Gerald Kimbunga katika maafali ya 45 ya chuo cha maendeleo ya Wananchi Katumba…
19 Novemba 2021, 10:44 mu
Wafanyabiashara Soko la Matunda Walia na Vibanda
Baadhi ya wafanyabiashara soko la matunda lililopo mtaa wa kawajense Wilaya ya Mpanda Mkoa wa Katavi wameuomba uongozi wa soko kuwawekea mfumo mzuri wa uwepo wa vibanda vya kuuzia bidhaa zao. Wakizungumza na mpanda radio FM wafanyabiashara hao wamezitaja changamoto…
15 Novemba 2021, 3:09 um
Jamii imetakiwa kusaidia watoto wenye uoni hafifu
RUNGWE-MBEYA Mwenyekiti wa chama wasioona (TLB )mkoa wa Mbeya ndg.YOHANA MONGA amewaomba wadau mbalimbali kote nchini kusaidia vifaa vya kufundishia watoto wenye mahitaji maalum mashuleni. Ametoa kauli hiyo alipokuwa akikabidhi fimbo nyeupe kwa wanafunzi wasioona kwenye shule ya mahitaji maalum…
12 Novemba 2021, 5:38 um
Shule ya msingi Bigutu yakabiliwa na upungufu wa madarasa
Shule ya msingi ya Bigutu iliyopo kata ya Bunda stoo Halmashauri ya Mji wa Bunda inakabiliwa na chambamoto mbalimbali kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi wanaosomea shuleni hapo Akizungumza na Mazingira fm mwalimu mkuu wa shule hiyo Yohana Albert amesema…
12 Novemba 2021, 5:20 um
Mbegu za pamba sasa wakulima kukopeshwa
Siku moja tangu utaratibu wa kugawa mbegu kwa wakulima kwa njia ya mkopo kuanza kwenye AMCOS ya Kunzugu mkulima mwezeshaji na katibu wa chama hicho cha ushirika amesema mbegu zote zimeisha kwa yale makampuni yaliyoleta fomu za kujaza wakulima wanaokopa…
12 Novemba 2021, 4:59 mu
34 Wahitimu mafunzo ya Jeshi la akiba wilayani Rungwe
RUNGWE-MBEYA Mkuu wa wilaya ya Mbeya Mh,Rashidi Chuachua amewaomba wahitimu wa mafunzo ya jeshi la akiba [mgambo]wilayani Rungwe kuenda kuyaishi yale yote waliofundishwa wakiwa mafunzoni. Ameyasema hayo wakati akifunga mafunzo ya Jeshi hilo la akiba mwaka 2021 katika halmashauri ya…
10 Novemba 2021, 8:58 um
Bunda; Wakulima wa pamba waomba kukopeshwa pembejeo
Baadhi ya Wakulima wa zao la pamba kata ya Kunzugu Halmashauri ya Mji wa Bunda wameiomba serikali isimamie zoezi la usambazaji wa mbegu ya pamba kwa kuwakopesha wakulima kama ilivyokuwa msimu uliopita tofauti na utaratibu wa msimu huu unaowataka walipie…
10 Novemba 2021, 8:45 um
Maafali ya 1 shule ya sekondari Anthony Mtaka
Takribani wanafunzi 243 Shule ya sekondari Anthony Mtaka iliyopo Wilayani Busega Mkoani Simiyu wanatalajiwa kufanya mtihani wa kuhitimu kidato cha nne mwaka 2021 ambapo kati yao wavulana ni 104 Na wasichana ni 139 Kupitia risala ya wahitimu kawe mgeni rasmi…
Novemba 10, 2021, 8:10 um
Wananchi wazungumzia uelewa wa magonjwa yasiyo ambukiza
Wananchi wa Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga wamesema magonjwa yasiyoambukizwa yamekuwa ni changamoto kutokana na maisha ya mazoea katika jamii. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wamesema watu wengi wanaopata magonjwa yasiyoambukizwa hawatambui mapema kutokana na kutokuwa na tabia ya kupima afya…
Novemba 10, 2021, 3:40 um
Wahamiaji haramu wakamatwa Makete
Wahamiaji haramu 18 kutoka nchini Ethiopia wamekamatwa eneo la kusajanilo kata ya Iwawa wilayani Makete Mkoani Njombe John Hindi ni kamishna msaidizi mwandamizi wa uhamiaji Mkoa wa Njombe amesema wahamiaji hao walikuwa wanaelekea nchi jirani ya Malawi Aidha amewataka wananchi…