Habari za Jumla
9 Machi 2022, 10:00 mu
Siku ya wanawake duniani itumike kufikia jamii zenye uhitaji
RUNGWE-MBEYA NA:EZEKIEL KAPONELA Siku ya Mwanamke duniani leo imeadhimishwa katika Halmshauri ya Wilaya ya Rungwe huku ikitolewa misaada mbalimbali kwa wahitaji. Katika maadhimisho hayo yaliyokwenda sambamba na kauli mbiu isemayo “Kizazi cha haki na usawa kwa maendeleo endelevu”mamia ya wanawake…
9 Machi 2022, 6:57 mu
Mtangazaji wa Mazingira fm Tedy Thomas: atangazwa mwanamke shujaa Mkoa wa Mara k…
Wakati Dunia ikiadhimisha siku ya wanawake Duniani nchini Tanzania pia ni miongoni mwa mataifa yaliyoungana na Dunia kusherekea siku hii muhimu kwa kauli Mbiu isemayo *@Haki na usawa kwa maendeleo endelevu. Jitokeze kuhesabiwa#* Mkoani Mara Mwandishi wa Habari na mtangazaji…
8 Machi 2022, 9:36 mu
UWT Bunda: watembelea hospital ya Manyamanyama kuwasalimia wanawake waliojifungu…
Kuelekea siku ya kilele Cha maadhimisho siku ya wanawake duniani march 8 jumuiya ya UWT wilaya ya Bunda na kamati ya utekelezaji chama Cha Mapinduzi wametembelea hospital ya Manyamanyama iliyopo Halmashauri ya Mji wa Bunda ili kuwaona wanawake waliojifungua katika…
8 Machi 2022, 7:49 mu
Nassar: ili tumkomboe mwanamke inabidi tuanze na fikra Uchumi.
Halmashauri ya Mji wa Bunda imeadhimisha Siku ya Wanawake Duniani ambayo kidunia huadhimishwa tarehe 08/03/2022. Katika Maadhimisho hayo, Mgeni rasmi ambae pia ni Mkuu wa Wilaya ya Bunda Mhe. Joshua Nassari amewapongeza wanawake wote wakiongozwa na Rais wa Jamhuri ya…
7 Machi 2022, 7:38 um
Maswa:Mauwasa kutumia milioni 500 kusambaza maji safi na salama mjini Maswa.
Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Maswa(Mauwasa) mkoani Simiyu imekusudia kutumia kiasi cha Sh 509,884,320 katika kukamilisha mradi wa usambazaji wa maji mjini humo. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mauwasa, Mhandisi Nandi Mathias mbele…
7 Machi 2022, 7:35 um
Serengeti: kesi ya babu wawili waliobaka mjukuu kwa zamu mmoja akutwa na Hatia
HUKUMU YA KESI YA BABU WAWILI WALIOBAKA MJUKUU KWA ZAMU MMOJA AKUTWA NA HATIA SERENGETI.Mahakama ya Wilaya ya Serengeti imemhukumu Hamisi Maganga(50) mkazi wa kijiji cha Natta kutumikia kifungo cha miaka 30 na faini ya Sh1milioni kwa kosa la kubaka…
4 Machi 2022, 6:00 um
WAFUNGWA MIAKA 20 KWA KUKUTWA NA MENO YA TEMBO NA BUNDUKI,
Washitakiwa wanne wa Ujangili wamefungwa kila mmoja kifungo cha miaka 20 katika Mahakama ya Wilaya ya Serengeti kwa kukutwa na meno manne ya tembo na bunduki aina Riffle 458 kinyume cha Sheria. Waliokumbwa na adhabu hiyo katika kesi ya Uhujumu…
28 Febuari 2022, 3:45 um
Wadau wa afya waombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulel…
Taasisi na wadau mbalimbali wa afya wameombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulelea watoto njiti katika hospitali ya wilaya ya Maswa ili kupunguza vifo vya Watoto na kuiongezea hospitali hiyo uwezo wa kuwahudumia watoto wengi wanaohitaji huduma hiyo kwa…
25 Febuari 2022, 5:50 um
Serikali Mkoani Simiyu kujenga Mabweni ya wanafunzi wa kike il…
Serikali Mkoani Simiyu inatarajia kutumia zaidi ya shilingi Bilion 6 kujenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru na Mimba za Utotoni watoto wanaotoka kwenye kaya masikini wanaosoma Shule za Sekondari Mkoani hapa. Akizungumza na wakazi wa Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kwenye…
25 Febuari 2022, 12:30 um
Katibu Tawala Wilaya ya Maswa awaasa viongozi kuwatumikia …
Katibu Tawala wilaya ya Maswa Agnes Alex amewataka viongozi waliopewa Dhamana ya Kuwatumikia wananchi wanawatumikia kikamilifu ili kukidhi matarajio yao. Katibu Tawala ameyasema hayo wakati wa Uzindunduzi wa Kikao cha Uraghbidhi kilichofanyika Februari 22, katika Ukumbi wa Halmashauri ya Maswa …