Radio Tadio

Habari za Jumla

Disemba 9, 2022, 3:00 um

makete yapiga hatua kila sesta miaka 61 ya uhuru 2022

Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema maadhimisho  ya miaka 61 ya Uhuru wa Tanganyika ni msingi wa uhuru uliopatikana mara baada ya kutoka kwenye machungu makubwa ya utawala wa wakoloni ambao Taifa lilipitia. Ameyasema hayo leo akiwa…

3 Disemba 2022, 12:47 um

Wananchi washauriwa kuunga mkono bishaa za wajasiliamali wa ndani

Wananchi kisiwani pemba wametakiwa kutumia bidhaa zinazozalishwa na wajasiriamali wanawake ili kuunga mkono juhudi za kujikwamua na umasikini. Akizungumza na mwandishi wa habari hizi Habiba Khamis Mohd mjasiriamali na muuzaji wa unga wa lishe wa Hopeca amesema imefika wakati sasa…

Disemba 2, 2022, 8:46 um

Waziri wa Viwanda anena kuhusu uwekezaji wa Malengo

Dar es Salaam, Novemba 30, 2022: Jukwaa la kwanza kuwahi kutokea Tanzania la Uwekezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu (SDGs) limefanyika leo Jijini Dar es Salaam na limeratibiwa na UNDP na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa ushirikiano na Serikali…

22/11/2022, 16:35

Mguso kwa Watumishi wapya Pangani.

Watumishi wa kada mbalimbali za Halmashauri ya wilaya ya Pangani waloshiriki kwenye mafunzo ya Siku tatu ya uongozi wa mguso yanayotolewa na Shirika la UZIKWASA wamelishukuru shirika hilo na kuahidi kuyafanyia kazi ili kuongeza ufanisi katika utoaji huduma pamoja na…

21/11/2022, 15:35

Mwanafunzi afariki kwa kuangukiwa na kabati Kilwa

Mwanafunzi wa Darasa la kwanza aliejulikana kwa jina la Adam Kaisi Jika (9) katika shule ya msingi Singino, wilayani kilwa mkoani Lindi, amefariki dunia baada ya kuangukiwa na kabati la kuhifadhia vitabu na madaftari wakati akicheza na wenzake shuleni hapo.…

17/11/2022, 15:56

DC Ruangwa atoa siku mbili wafugaji kuondoka maeneo yasiyo rasmi

Mkuu wa wilaya ya ruangwa Hassan Ngoma amewaasa madiwani kusaidiana katika operation inayoendelea ya kuwafukuza wafugaji wanaoshi katika maeneo ambayo siyo rasmi wilayani Ruangwa “Oparesheni inaendelea mfugaji ambae Hana baraka za kijiji au ODC anatakiwa kuondoka wilaya ina eneo moja…

17/11/2022, 15:52

Watoto wafundishwe kilimo- Chikongwe

Mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya ya ruangwa Andrew Chikongwe amewashauri watendaji WA kata na vijiji pamoja na madiwani kuweka mipango ya wanafunzi kufundishwa kilimo ili kuwajengea watoto uwezo mzuri wa kujifunza Maisha ya kujitegemea wawapo mtaani. “Watendaji nendeni mashuleni watoto…