Habari za Jumla
14 Juni 2022, 1:38 um
Wenye Ualbino waeleza matarajio yao kwenye Bajeti ya 2022/2023
Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba leo anatarajiwa kuwasilisha bungeni bajeti kuu ya serikali kwa mwaka wa fedha wa 2022/2023. – Katika mwaka wa fedha wa 2022/2023, serikali inatarajia kutumia shilingi trilioni 41 sawa na ongezeko la asilimia…
10 Juni 2022, 3:56 um
Sejeli yaiomba serikali kusaidi ujenzi wa vyumba vya madarasa
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa kijiji cha Mbande Kata ya Sejeli Wilaya ya Kongwa wameiomba Serikali kuwasaidia ujenzi wa vyumba vya madarasa kutokana na idadi kubwa ya wanafunzi kwa sasa Baadhi ya wananchi hao wakizungumza na Taswira ya habari wamesema…
8 Juni 2022, 3:55 um
WAKULIMA WA MPUNGA WAASWA KUTUMIA NJIA ZA KISASA KUHIFADHI MAZAO
Wakulima wa Mpunga mkoani Katavi wameaswa kutumia njia za kisasa za kuhifadhi zao hilo mara baada ya kuvuna ili waweze kuendana na utunzaji bora kwa manufaa ya zao hilo likiingia sokoni. Akizungumza na Mpanda radio fm afisa kilimo kata ya…
8 Juni 2022, 3:42 um
WAZAZI SIMAMIENI MALEZI KUPUNGUZA WATOTO WA MITAANI
Baadhi ya wazazi na walezi mkoani katavi wameshauriwa kuwalea watoto katika misingi bora ili kuepuka janga la watoto wa mitaani na mmomonyoko wa maadili. Wakizungumza na mpanda fm baadhi ya wazazi hao wamesema kuwa hali duni ya maisha ndio sababu…
7 Juni 2022, 1:46 um
Halmashauri ya Pangani kugawa miche 544,000 ya Mkonge.
Halmashauri ya wilaya ya Pangani mkoani Tanga kupitia idara ya Kilimo imefanikiwa kukuza miche 544,000 ya zao la Mkonge. Akizungumza katika mahojiano na Pangani FM leo Afisa kilimo wa Halmashauri hiyo Bw. Ramadhani Zuberi amesema miche hiyo imekuzwa katika vitalu…
6 Juni 2022, 5:10 um
Miche 300 ya Mivinje yapandwa Pangani kuadhimisha siku ya mazingira.
Viongozi mbalimbali wa wilaya ya Pangani wamejitokeza katika zoezi maalum la upandaji miti kama sehemu ya kuadhimisha siku ya mazingira mwaka 2022. Zoezi hilo lililofanyika katika fukwe za eneo la Pangadeco limewezesha upandaji wa miche 300 ya miti aina…
3 Juni 2022, 12:02 um
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland kutembelea Pangani.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Ireland, Bw. Joe Hackett, anafanya ziara nchini Tanzania kuanzia tarehe 3 mpaka 5 Juni 2022, akiambatana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Maendeleo ya Ireland (Irish Aid), Bw. Michael Gaffey. Ziara…
30 Mei 2022, 6:54 um
Kilimo cha umwagiliaji chawanusuru wanawake dhidi ya ukatili Pangani.
Baadhi ya wanawake wanaojishughulisha na kilimo cha umwagiliaji katika bonde la mauya lililopo katika kijiji cha mseko wilayani pangani mkoani Tanga wameshukuru kwa kuwezeshwa kufanya kilimo hicho kwa faida kwani kwa sasa kimekua kikichangia kuwainua kiuchumi. Wakizungumza na Pangani FM…
25 Mei 2022, 4:23 um
TAKUKURU: WANANCHI TUSHIRIKIANE KUTOMEZA RUSHWA
Jamii mkoani katavi imeaswa kushirikiana na tasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa takukuku katika kutokomeza vitendo vyote vya rushwa mkoani hapa. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Takukuru Mkoani katavi Festo Mdede wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi wa…
24 Mei 2022, 8:08 um
Ubalozi wa Ireland wafanya ziara Pangani.
Ubalozi wa Ireland nchini Tanzania jana umefika hapa wilayani Pangani Mkoani Tanga ili kujionea Shughuli mbalimbali zinazofanywa na Shirika la UZIKWASA ambalo linafadhiliwa na mpango maalum wa Serikali ya Ireland wa misaada ya maendeleo ya kimataifa [Irish Aid]. …