Habari za Jumla
10 Januari 2026, 3:41 um
Mkombozi Paralegal watoa elimu ya ukatili Katavi
Afisa maendeleo akitoa elimu kwa wananchi. Picha na Anna Milanzi “Tunawajengea uwezo kamati hizo kwa kuziimarisha” Na Anna Milanzi Taasisi ya Mkombozi Paralegal iliyopo mkoani Katavi imeendelea kuwawezesha wananchi kupata elimu ya masuala ya ukatili wa kijinsia na kuwawezesha kutambua…
Januari 10, 2026, 1:41 um
TARURA Kahama, wasimamieni wakandarasi wamalize miradi kwa wakati
Na Sebastian Mnakaya Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilayani Kahama Mkoani Shinyanga, wametakiwa kuwasimamia vizuri wakandarasi ili waweze kujenga barabara zenye ubora pamoja na kuzimaliza kwa wakati ili njia barabara zipitike wilayani humo. Wito huo umetolewa na…
Januari 9, 2026, 10:26 mu
Serikali yaahidi kuiboresha DIT
Kwa malengo ya kuongeza ubora wa taaluma Na Devi Moses SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha na kuendeleza Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam(DIT) Kampasi ya Songwe ili kuongeza ubora wa mafunzo ya ufundi nchini. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu,…
5 Januari 2026, 16:00 um
Jamii FM yatoa tuzo kwa wasikilizaji bora wa mwaka 2025
Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na wachangiaji bora wa vipindi vyake kwa mwaka 2025. Washindi walichaguliwa na wasikilizaji kupitia SMS na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika katika studio za kituo hicho Na Musa Mtepa Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na…
Disemba 21, 2025, 7:25 um
Kabanga yawatunuku vyeti vya utumishi bora wafanya kazi
Watumishi wa hospitali ya rufaa Kabanga wamekutana kwa pamoja kusherehekea shelehe ya funga mwaka ilizoambatana na burudani mbalimbali na utunukiwaji wa vyeti kwa baadhi ya watumishi waliofanya vizuri katika idara zao kwa mwaka 20225. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya rufaa…
Disemba 19, 2025, 1:58 um
Wiki ya afya Kabanga yawagusa zaidi ya 600 Kasulu
Wananchi wa Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma wameshukuru huduma za hospitali ya rufaa Kabanga kwa kutoa huduma za vipimo na matibabu bure ikiwa ni wiki ya afya Kabanga iliyoambatana na kauli mbiu ya “Tuungane kutokomeza magonjwa yasiyoambukizwa” iliyofanyika katika viwanja…
Disemba 13, 2025, 3:25 um
CRDB kuwanufaisha wakulima Buhigwe
Wakulima wilayani Buhigwe kupitia kwa mbunge wa jimbo la Buhigwe Prof. Pius Yanda wamenufaika na mafunzo ya mikopo kutoka Taasisi ya kifedha ya Bank ya CRDB kwa ajili ya kuendesha shughuli za kilimo kupitia mikopo hiyo. Na; Sharifat Shinji Wakulima…
12 Disemba 2025, 10:31 um
RC Sendiga aamuru bar kufungwa kwa kutiririsha majitaka
Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amefanya ziara ya kushtukiza kwenye Bar ya Barazani inayotiririsha maji machafu aina ya kinyesi cha binadamu na kumwamuru mkuu wa wilaya ya Babati na OCD kuifunga Bar hiyo mpaka mmiliki wake atakapojisalimisha mwenyewe…
10 Disemba 2025, 3:36 um
Machinga Complex yaendelea na shughuli, ulinzi waimarishwa
Picha ni soko la wazi la Machinga Complex jijini Dodoma. Picha na Dodoma FM. Hali ya ulinzi na usalama imeendelea kuimarishwa na vyombo vya usalama, huku wafanyabiashara wakijitokeza na kuendelea na shughuli zao kama kawaida. Na Lilian Leopold. Wafanyabiashara wa…
Disemba 3, 2025, 10:08 um
Madaraja tarafa ya Makere changamoto kwa watoto wa shule
Wananchi wa kata ya Makere waomba kujengewa miundombinu ya madaraja katika Kata mbalimbali Halmashauri ya Wilaya ya Kasulu ili kuondoa ajari za watoto wa shule hasa katika kipindi cha mvua. Na; Saharifa Shinji Baadhi ya wakazi wa Kata ya Makere…