
Habari za Jumla

April 24, 2025, 2:51 am
Wadau washiriki zoezi la usafi siku ya Uhuru
Katibu tawala Bi, Theresia Mtewele awapongeza waote walioshiriki zoezi la usafi katika maeneo yote wilayani Kasulu. Katika kuadhimisha miaka 63 za Uhuru wa Tanganyika Leo Decemba 9 Buha fm radio ilifika katika Hospital ya Halmashauri ya Mji Kasulu ambako kulikuwa…

23 April 2025, 18:24
Kanisa la KKKT waanda kambi ya madaktari bingwa wa macho
Kutokana na changamoto ya watu wengi kukumbana na tatizo la macho kanisa la KKKT Dayosis ya Konde wameandaa kambi ya madaktari bingwa watakao toa matibabu kwa wiki Moja Bure kwa watu wote Mbeya. Na Ezra Mwilwa Askofu Geoffey Mwakihaba wa…

April 23, 2025, 2:49 pm
Zaidi ya shilingi milioni 900 kukarabati soko la Manjebe Bunda
Wafanyabiashara wengi wilayani Bunda kupata fursa ya kuongeza vipato vyao kwa kuongezwa ukubwa wa soko Na Adolf Mwolo Zaidi ya shilingi milioni 900 zinatarajiwa kutumika kukarabati soko la Manjebe lililoko kata ya Nyasura wilaya ya Bunda mkoani Mara. Akizungumza na…

April 23, 2025, 12:53 pm
Wananchi wa Isangu walalamikia ubovu wa barabara
Ubovu wa barabara wakwamisha wananchi kutofanya shughuli za maendeleo Na Kennedy Sichone HASANGA Wananchi wa kitongoji cha Isangu kata ya Hasanga wilayani Mbozi mkoani Songwe wamelalamikia ubovu wa barabara ya kutoka Isangu kwenda kitongoji cha Iyela. Wakizungumza na Vwawa FM…

22 April 2025, 11:46 am
Samia Legal Aid kuondoa migogoro ya ardhi Rombo
Mkuu wa wilaya ya Rombo Raymond Mwangwala akizungumza na waandishi wa habari. Kutokana na wilaya ya Rombo kuwa na migogoro mingi itokanayo na ardhi kampeni ya msaada wa kisheria ya Samia Legal Aid imetajwa kutatua changamoto hiyo. Na Elizabeth Mafie…

18 April 2025, 4:29 pm
ZSSF yatoa mwongozo kwa Baraza la Mji Kati kuhusu viwanja vya watoto
Baraza la mji Kati. Baraza la Mji Kati wametakiwa kufuata taratibu, sheria na Kanuni zilizowekwa na Serikali pindi wanapotaka kuanzisha Viwanja vya kufurahia Watoto kwalengo la kuwa na Viwanja vilivyo bora.Meneja Mipango kutoka ZSSF ambae pia Msimamizi wa Viwanja vya…

18 April 2025, 3:19 pm
Wanawake wenye ulemavu wajengewa uwezo kutetea haki na kusaidia watoto
Na Mary Julius. Katika jitihada za kuwawezesha wanawake wenye ulemavu kushiriki kikamilifu katika jamii na kutambua haki zao, Umoja wa Watu Wenye Ulemavu Zanzibar (UWZ) umeandaa mafunzo maalum yaliyojikita katika masuala ya haki za binadamu, usawa wa kijinsia na haki…

16 April 2025, 1:44 pm
DC Mpanda atoa angalizo kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha
Picha ya mkuu wa wilaya ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Wananchi mchukue tahadhari kipindi hiki cha mvua” Na Anna Mhina Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha na kusababisha baadhi ya mawasiliano ya barabara kukatika Wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari katika kuwalinda…

5 April 2025, 18:24 pm
Wakuu wa Wilaya watakiwa kuhakiki ubora miradi ya Mwenge
Na Musa Mtepa Wakuu wa wilaya na wataalamu ngazi zote wametakiwa kukagua nyaraka mbalimbali zinazotakiwa kuwepo kwenye miradi itakayopitiwa wakati wa mbio za mwenge mkoani mtwara kutekelezwa kwa ubora ili kuepuka ubadhirifu unaoweza kujitokeza. “Navielekeza vyombo vinavyotakiwa kuchukua hatua watakapo…

31 March 2025, 3:01 pm
Vijana waanzisha miradi ya ufugaji Nyanguku
Vijana wameamua kutumia fursa zilizopo kijiji kwao kupambana na changamoto ya ajira Na Edga Rwenduru – Geita Vijana Taasisi ya TK Movement wasiyokuwa na ajira katika kijiji cha Nyanguku Manispaa ya Geita mkoani Geita wameanzisha miradi ya ufugaji wa Mbuzi,kuku…