Radio Tadio

Habari za Jumla

30 May 2026, 2:50 pm

Wavamizi wachoma nyumba Muhunda

‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…

28 May 2026, 1:42 pm

Makarani Kahama wafundwa kuelekea uchaguzi mdogo

Makarani waongozaji wa uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Zongomela wametakiwa kusoma Katiba sheria na miongozo ya tume ya uchaguzi Pamoja na kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka katika vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na msimamizi…

27 May 2026, 5:09 pm

Ujumbe wa Eid al-adha wahamasisha amani,mshikamano

“Amewataka waumini wa dini ya kiislam kuto kugawanyika kwa misingi ya siasa wala ukabila na udini jambo ambalo ni kinyume na taratibu namiongozo ya dini hiyo.” Na Samwel Mbugi- Katavi Waumini wa dini ya kiislamu mkoa wa Katavi wamesisitizwa kuwa…

26 May 2026, 6:21 pm

Swala ya eid kuswaliwa uwanja wa Tanzanite Manyara

Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Manyara wametakiwa kushiriki swala ya Eid itakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Tanzanite Kwaraa stadium huku wakihimizwa kujitokeza kwa wingi na kuendelea kutenda matendo mema katika  siku hiyo ya eid. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa…

25 May 2026, 6:05 pm

TAKUKURU yabaini ubadhirifu mradi wa shule Simanjiro

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Manyara imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi milioni mbili katika mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Namalulu iliyopo wilayani Simanjiro baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha za…

22 May 2026, 7:44 pm

 Yas Tanzania yapeleka huduma za mawasiliano Gendabi

Kampuni ya simu za mikononi ya Yas na Mixx by Yas  Tanzania wamezindua mnara wa mawasiliano wenye uwezo wa 4G plus kwenye kijiji cha Gendabi Wilayani Hanang Mkoani Manyara.  Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho Kiongozi wa…