Habari za Jumla
7 July 2026, 4:36 pm
RC Mhita, Marufuku kupokea dawa zenye muda wa chini ya miezi 12
‘‘Baadhi ya dawa kuharibika kwa muda mfupi, hilo hatuta kubali na badala yake pokeeni dawa zenye muda wake juu ya miezi 12’’ Halmashauri zote za mkoa wa Shinyanga zimeagizwa kutokupokea dawa za matumizi ya binadamu zenye muda wa matumizi uliobaki…
7 July 2026, 3:10 pm
Maandalizi ya kuupokea mwenge wa uhuru Babati yakamilika
Picha ya Kaimu mkuu wa wilaya ya Babati Remidius Mwema Wilaya ya Babati inatarajia kuupokea Mwenge wa Uhuru July 14 2026 ukitokea Wilaya ya Kiteto, ambapo utakagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi 14 ya maendeleo iliyopo ndani…
7 July 2026, 12:34 pm
RPC Makarani asema mkoa wa Manyara ni salama
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, Ahmed Makarani, amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao za kila siku bila hofu, ikiwemo kusherehekea Sikukuu ya Saba Saba kwa amani, akisema kuwa hadi sasa hakuna kiashiria chochote cha uvunjifu wa amani…
2 July 2026, 3:04 pm
Miaka 30 ya TRA, wafanyabiashara kulipa kodi kwa hiari bila shuruti
‘‘Wafanyabiashara na wajasiliamali lipeni kodi kwa hiari ili kuleta maendeleo ya nchi yetu” Mkuu wa wilaya ya Kahama, Frank Nkinda ameipongeza Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa kikodi Kahama kwa uendelea kushirikiana vyema na wafanyabiasha na wajasiliamali hali inayosababisha…
29 June 2026, 3:13 pm
Mbwa waleta gumzo ,wamiliki watajwa
“Kumekuwa na mbwa wanaodhurura ovyo hawana uangalizi kutoka kwa wamiliki hali inayozua hofu “ Na Anna Milanzi- Katavi Wakazi manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamewasisitiza wamiliki wa mbwa kufungia mbwa wao ili kuwaepusha na ugonjwa wa kichaa cha mbwa ambao…
25 June 2026, 8:44 am
Wajasiriamali Mbozi watakiwa kuchangamkia mikopo maalumu
Pichani ni Vijana wajasiliamali walioshiriki kwenye kongamano la vijana kata ya Hasanga. Picha na Mkaisa Mrisho Watakiwa Kuchangamkia Mikopo Maalumu Na Mkaisa Mrisho HASANGA WAJASIRIAMALI wadogo wilayani Mbozi mkoa wa Songwe wametakiwa kuchangamkia mikopo maalumu kwa ajili ya kundi hilo…
24 June 2026, 19:56
Jukwaa lafichua kero sekta ya ushirika Morogoro
Viongozi na watendaji wa ushirika watakiwa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia vitendo vya rushwa ili kuongeza ufanisi katika utendaji na kuimarisha imani ya wanachama Na Katalina Liombechi Uwepo wa baadhi ya watendaji na wajumbe wa bodi wasio waaminifu pamoja na…
24 June 2026, 3:32 pm
KUWASA waombwa kuboresha huduma ya magari ya kusomba maji taka
Wadau wa maji katika Manispaa ya Kahama wameiomba Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Kahama (KUWASA) kuboresha huduma ya magari ya kusomba maji taka pamoja na kuongeza kasi ya ukarabati wa mabomba yanayopasuka mitaani mara baada ya taarifa…
23 June 2026, 10:20 am
Watumishi watakiwa kutenda haki
“Niwapongeze sana kufanya bonanza hili katika mkoa wetu wa Katavi” Na Betord Chove Watumishi wa taasisi zinazohusiana na kutoa haki wametakiwa kushirikiana ili kuweza kutenda haki kwa wananchi katika kutekeleza majukumu yao. Wito huo umetolewa na Katibu tawala wa mkoa…
19 June 2026, 5:10 pm
Jeshi la zimamoto na Uokoaji Babati latoa elimu ya utayari wa majanga Sokoni
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Babati leo limefanya zoezi la kutoa elimu ya utayari wa kukabiliana na majanga katika Soko Kuu la Babati mkoani Manyara, ambapo katika zoezi hilo kumetumika tukio la moto wa mfano ulioanzishwa katika eneo…