Radio Tadio

Habari za Jumla

1 May 2024, 11:59 pm

Wafanyakazi mkoani Katavi watoa ya moyoni

Miongoni mwa wafanyakazi waliofika katika viwanja vya Kashaulili kusherehekea maadhimisho ya siku hiyo .picha na Ben Gadau “waajiri wasiopeleka makato katika taasisi zinazopaswa kupeleka fedha hizo wanavunja sheria “ Na Ben Gadau -Katavi Wafanyakazi mkoani Katavi wamelalamikia adha ya waajiri…

1 May 2024, 7:30 pm

Waandishi wa habari mjitofautishe na watoa Habari

Waandishi wa Habari wa Redio Pambazuko wamepigwa msasa wa mafunzo ya kuandika habari kwa kufuata maadili na misingi ya Habari. Na Katalina Liombechi Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,na Uchaguzi Mkuu 2025 Waandishi wa Habari wametakiwa kujitofautisha na Watoa Habari.…

1 May 2024, 6:47 pm

Serikali kuagiza kuundwa kwa mabaraza sherehe za mei mosi

ili kukabiliana na vitendo vya unyanyasaji wa kinjisia mahala pakazi mabaraza yametakiwa kuamzisha lengo ni kukabiliana na changamoto kwa watumishi. Rungwe-Mbeya Na Lennox Mwamakula Serikali imeziagiza taasisi zote umma na binafsi kuunda mabaraza kwenye taasisi hizo ili kuwawezesha watumishi  wao…

1 May 2024, 15:13

Acheni kunyanyasa wafanyakazi katika maeneo ya kazi

Wafanyakazi wa sekta mbalimbali leo wameadhimisha siku ya wafanyakazi huku wakiomba serikali kupitia vyama vya wafanyakazi kuangalia namna ya kutatua changamoto zinazowakabili wafanyakazi. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Kamishna Jenerali mstaafu wa Jeshi la Zimamto…

1 May 2024, 13:29

Dc kasulu akerwa na vitendo vya uvunjifu wa amani

Vitendo vya wizi na uharifu kwenye jamii wilayani kasulu vimeendelea kuumiza vichwa kwa viongozi huku wananchi wakiendelea kuumia kwa mali zao kuibiwa na wengine kuharisha maisha yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Wananchi wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutoa taarifa…

1 May 2024, 13:06

Shilingi bilioni 2.7 kutekeleza miradi ya afya na elimu kibondo

Serikali imesema itaendelea kusimamia na kutoa kipaumbele kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo ili kuwafikishia huduma wananchi. Na James Jovin – Kibondo Halimashauri ya wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma kupitia ruzuku ya serikali kuu imepokea fedha kiasi cha shilingi bilioni 2.7…

1 May 2024, 10:31

Wavuvi mialoni wageuka mwiba kwa wanawake

Vitendo vya ukatilii hasa kubakwa maeneo ya mialo mbalimbali mwambao wa ziwa tanganyika vimeendelea kuacha kovuna simanzi kwa wananwake wanaojishughulisha na uchakataji wa mazao ya samaki. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Wanawake Wanaochakata Mazao ya Uvuvi Katika Ziwa Tanganyika Mkoani…

1 May 2024, 10:07

Vijana wa JKT Bulombora lindeni amani, acheni dawa za kulevya

Vijana waliohitimu mafunzo ya kijeshi Katika kambi ya jeshi la kujenga taifa  821 KJ Bulombora iliyopo wilayani Kigoma Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa wazalendo Katika kuilinda Nchi kama sehemu ya kiapo walichopewa wakati wa mafunzo hayo. Na Tryphone Odace – Kigoma…

May 1, 2024, 8:00 am

Rc Songwe akemea wananchi kuuziwa vitambulisho vyua Nida

Na Denis Sinkonde,Songwe Viongozi wa serikali za vijiji na mitaa mkoani Songwe wametahadhirishwa kutowauzia wananchi vitambulisho vya Uraia(NIDA) watakaobainika kuchukuliwa hatua kali. Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Itale kata ya Itale Mkuu wa Mkoa huo Daniel Chongolo leo Aprili…

1 May 2024, 12:11 am

Wafanyakazi Morogoro walia kwa kutopandishwa madaraja

Wajumbe wa halmashauri za  mkoa wa MIorogooro wameketi kikao cha mwisho mjini Ifakara, kupanga na kuweka sawabajeti kuelekea maadhimisho ya Mei Mosi 2024 Na: Isidory Matanddula Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika mkoa wa Morogoro yatafanyika katika halmashauri ya…