Habari za Jumla
30 May 2026, 2:50 pm
Wavamizi wachoma nyumba Muhunda
‘‘Tulikuwa na uzinduzi wa albamu ya muziki ambayo ilikuwa inafanyika katika sehemu yangu ya biasahara tulimaliza usiku na tulirejea saa tisa usiku tukiwa na mke wangu na kukuta nyumba imechomwa moto” David Wanzagi Nyerere Na Amos Marwa Watu wasiojulikana wamevamia…
29 May 2026, 2:25 pm
Mtendaji wa kijiji jela miaka 20 kwa ubadhirifu wa fedha Simanjiro
Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara imetoa hukumu ya miaka 20 kwa aliyekuwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Ruvu Remit Godbless Felix Mollel kwa makosa ya uhujumu uchumi katika shauri la uhujumu uchumi namba 22415/2025. Na Mzidalfa Zaid Hukumu…
29 May 2026, 1:47 pm
Usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa namna gani mashuleni?
Karibu usikilize makala maalum inayohusu usawa wa kijinsia unazingatiwa kwa namna gani mashuleni? makala yetu imzezungumza na walimu wakuu, wanafunzi pamoja na walimu katika shule mbalimbali wilayani Babati mkoani Manyara. Na Mzidalfa Zaid, Hawa Rashid
28 May 2026, 1:42 pm
Makarani Kahama wafundwa kuelekea uchaguzi mdogo
Makarani waongozaji wa uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya Zongomela wametakiwa kusoma Katiba sheria na miongozo ya tume ya uchaguzi Pamoja na kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka katika vyama vya siasa. Na mwandishi wetu Wito huo umetolewa na msimamizi…
28 May 2026, 1:32 pm
Manispaa ya Kahama yatia saini ya ujenzi wa wa barabara ya lami
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Prof. Riziki Shemdoe, ameshuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa barabara katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga kupitia Mradi wa TACTIC. Na mwandishi…
27 May 2026, 5:09 pm
Ujumbe wa Eid al-adha wahamasisha amani,mshikamano
“Amewataka waumini wa dini ya kiislam kuto kugawanyika kwa misingi ya siasa wala ukabila na udini jambo ambalo ni kinyume na taratibu namiongozo ya dini hiyo.” Na Samwel Mbugi- Katavi Waumini wa dini ya kiislamu mkoa wa Katavi wamesisitizwa kuwa…
26 May 2026, 6:21 pm
Swala ya eid kuswaliwa uwanja wa Tanzanite Manyara
Waumini wa dini ya Kiislamu mkoani Manyara wametakiwa kushiriki swala ya Eid itakayofanyika kimkoa katika viwanja vya Tanzanite Kwaraa stadium huku wakihimizwa kujitokeza kwa wingi na kuendelea kutenda matendo mema katika siku hiyo ya eid. Na Mzidalfa Zaid Hayo yamesemwa…
25 May 2026, 6:05 pm
TAKUKURU yabaini ubadhirifu mradi wa shule Simanjiro
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Manyara imefanikiwa kudhibiti upotevu wa zaidi ya Shilingi milioni mbili katika mradi wa ujenzi wa shule ya sekondari Namalulu iliyopo wilayani Simanjiro baada ya kubaini matumizi mabaya ya fedha za…
25 May 2026, 4:51 pm
Jeshi la zimamoto na uokoaji wilaya lapata vitendea kazi
Kaimu mkuu wa wilaya ya Babati ambaye pia ni mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema , amewataka viongozi wa jeshi la zima moto na uokoaji wilayani Babati mkoani Manyara kutoa elimu kwa wananchi namna ya kukabiliana na majanga kwa…
22 May 2026, 7:44 pm
Yas Tanzania yapeleka huduma za mawasiliano Gendabi
Kampuni ya simu za mikononi ya Yas na Mixx by Yas Tanzania wamezindua mnara wa mawasiliano wenye uwezo wa 4G plus kwenye kijiji cha Gendabi Wilayani Hanang Mkoani Manyara. Na Marino Kawishe Akizungumza na wananchi wa kijiji hicho Kiongozi wa…