![](https://radiotadio.co.tz/wp-content/themes/radiotadio/assets/img/banner/1500x300.jpg)
Habari za Jumla
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
26 July 2024, 21:48
Dkt.Tulia akabidhi nyumba kwa mahitaji Mlimba,Morogoro
Wahenga wanasema kutoa ni moyo si utajiri hii inatukumbusha kuwa kila mtu anawajibu wa kumsaidia mahitaji yeyote popote anapokutana nae haijalishi ni mhitaji wa mahitaji gani. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/32/2024/07/img-20210615-wa0012-350x350.jpg )
26 July 2024, 1:12 pm
Kuelekea msimu mpya wa NBC Premier League wadau watoa ya moyoni
Wakati vilabu mbalimbali vya mpira vinavyoshiriki ligi kuu ya NBC vikijiandaa na msimu mpya wa ligi mashabiki wa mpira wamekuwa na maoni tofauti kulingana na sajili zilizofanywa na vilabu vyao. Na Gwamaka Mwakisyala – Rungwe Kuelekea msimu mpya wa ligi…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/36/2024/07/visitngorongoro-1721976145254649-350x350.jpg )
26 July 2024, 9:39 am
UNESCO Ngorongoro watembelea wairaq, wahadzabe na wadatoga
UNESCO ni shirika la elimu, sayansi na utamaduni la umoja wa mataifa kati ya shughuli muhimu za UNESCO mojawapo ni kutunza na kulinda urithi wa dunia na mahali penye umuhimu wa pekee kihistoria, kisayansi au kiutamaduni.Na mwandishi wetu. Ujumbe wa UNESCO wahitimisha…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/07/img-20240724-114441-580-350x350.jpg )
July 24, 2024, 5:37 pm
Manyara yajipanga kukuza uwezo wa wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Sendiga amesema baada ya maonesho ya wafanyabiasha sabasaba yaliyofanyika jijini Dar es salaam nakuwakutanisha wafanyabiashara kinamama na taasisi inayojishughulisha na wakina mama wanaosafirisha bidhaa nje ya nchi wanatarajia kufanya mkutano na kinamama wazalishaji na…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/07/screenshot-20240718-111925-1-1-350x350.jpg )
July 24, 2024, 4:06 pm
Wamiliki wa silaha mkoani Manyara watakiwa kuhakiki silaha zao
Kamanda wa wa polisi mkoani Manyara Geogre Katabazi amesema jeshi la polisi kwa kushirikiana na timu kutoka makao makuu ya polisi Dodoma watafanya uhakiki wa silaa kwa wamiliki wa silaa ili kujiridhisha kama anuani ya mmiliki wa silaa imebadilika na…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/11/2024/07/img-0380-350x350.jpg )
23 July 2024, 4:41 pm
Mbunge Mlimba ataja miradi iliyotekelezwa hadi sasa, inayotekelezwa
“wakati napata ubunge tatizo la upatikanaji wa maji katika jimbo la Mlimba lilikuwa kubwa sana ukilinganisha na sasa”Mbunge wa jimbo la mlimba godwine Kunambi N a Elias Maganga Kampeni ya kumtua mama ndoo kishwni KATIKA Jimbo la mlimba Wilayani kilombero…
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
23 July 2024, 13:12
Mbunge Sichalwe awawezesha vijana kiuchumi
Kongamano la kuwawezesha vijana kiuchumi lavunja rekodi kutokana na idadi kubwa ya vijana waliojitokeza. Na mwandishi wetu, Momba Songwe Mamia ya vijana kutoka makundi na kanda mbalimbali wamemshukuru Mbunge wa Jimbo la Momba Mheshimiwa Condester Sichalwe (Mundy) kwa kuandaa kongamano…
![](http://placehold.jp/f4d629/003147/250x350.jpg?text=post+thumb+250x300)
23 July 2024, 10:50
Rais Samia apongezwa kwa utekelezaji miradi ya maendeleo Mbeya
Viongozi wa Serikali wameletwa ili kuiponya Miili ya Watu wakiwemo Viongozi wa dini ndio maana vitabu vya dini vinasisitiza kutii mamlaka iliyojuu ya mtu. Na Hobokela Lwinga Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amekutana na Kufanya Mazungumzo na Prophet…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/46/2024/07/img-20240718-wa0008-350x350.jpg )
July 18, 2024, 11:35 am
Nkigi: Abiria acheni uoga
Abiria mkoani Manyara wametakiwa kupaza sauti zao na kutokuwa waoga wanapoona kuna changamoto katika vyombo vya usafiri kama dereva kukimbiza gari kwa kutoa taarifa katika vyombo vya sheria ikiwemo jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani pamoja na chama cha…
![](
https://radiotadio.co.tz/wp-content/uploads/sites/43/2024/07/img-20240717-wa0013-350x350.jpg )
17 July 2024, 16:26
Mashine ya kuchakata zaidi ya mazao 9 yawafikia wakulima Mufindi
Na Marko Msafili Mufindi Taasisi ya utafti wa mazao ya Kitropiki (CIAT), IMARA TECH, Taasisi ya utafti wa Kilimo (TARI), Taasisi ya ngano na Mahindi kwa kushirikiana na Taasisi ya kilimo masoko pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi wamefanya…