Radio Tadio

Habari za Jumla

29 July 2026, 6:58 pm

Madiwani Kasulu wasisitizwa kusimamia miradi ya maendeleo

Kufuatia kuanza kwa mwaka mpya wa fedha, Mkuu wa Wilaya ya Kasulu amewataka watumishi na viongozi kuendelea kutekeleza majukumu yao kwa weledi, uwajibikaji na ushirikiano ili kuhakikisha vipaumbele vya Serikali ya Awamu ya Sita vinatekelezwa kwa ufanisi. Na; Ramadhan Zaidy…

15 July 2026, 06:32

Simiyu kukabiliana na biashara haramu ya binadamu

“Hakuna mtu aliye juu ya sheria ambaye anafikiria atasalimika na mkono wa serikali kutokana na biashara haramu ambazo anafanya tutahakikisha tunathibiti kwa nguvu zote ili kukomesha usafirishaji haramu wa binadamu”. Na, Anita Balingilaki Katika kuhakikisha kuna kuwepo uthibiti wa usafirishaji…

7 July 2026, 12:34 pm

RPC Makarani asema mkoa wa Manyara ni salama

Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Manyara, Ahmed Makarani, amewataka wananchi kuendelea na shughuli zao za kila siku bila hofu, ikiwemo kusherehekea Sikukuu ya Saba Saba kwa amani, akisema kuwa hadi sasa hakuna kiashiria chochote cha uvunjifu wa amani…

29 June 2026, 3:13 pm

Mbwa waleta gumzo ,wamiliki watajwa

“Kumekuwa na mbwa wanaodhurura ovyo hawana uangalizi kutoka kwa wamiliki hali inayozua hofu “ Na Anna Milanzi- Katavi Wakazi manispaa ya Mpanda   mkoani Katavi wamewasisitiza wamiliki wa mbwa kufungia mbwa wao ili kuwaepusha na ugonjwa wa kichaa cha mbwa  ambao…

25 June 2026, 8:44 am

Wajasiriamali Mbozi watakiwa kuchangamkia mikopo maalumu

Pichani ni Vijana wajasiliamali walioshiriki kwenye kongamano la vijana kata ya Hasanga. Picha na Mkaisa Mrisho Watakiwa Kuchangamkia Mikopo Maalumu Na Mkaisa Mrisho HASANGA WAJASIRIAMALI wadogo  wilayani Mbozi mkoa wa Songwe wametakiwa kuchangamkia mikopo maalumu kwa ajili ya kundi hilo…

24 June 2026, 19:56

Jukwaa lafichua kero sekta ya ushirika Morogoro

Viongozi na watendaji wa ushirika watakiwa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia vitendo vya rushwa ili kuongeza ufanisi katika utendaji na kuimarisha imani ya wanachama Na Katalina Liombechi Uwepo wa baadhi ya watendaji na wajumbe wa bodi wasio waaminifu pamoja na…