
Habari za Jumla

9 March 2023, 1:23 pm
Siku ya Wanawake Duniani Katavi Watakiwa Kushughulikia Vikwazo Vinavyowakabili W…
KATAVI Kutokuwa na uhuru wa kushiriki katika shughuli za kimaendeleo,rushwa,na kutokujua sheria zimetajwa kuwa ni changamoto zinazowakabiri wanawake. Akisoma Risala , Bi. Chiku Peter na kuwawakilisha wanawake katika kusherehekea siku ya wanawake duniani iliyofanyika Machi 8 mwaka huu amesema kuwa …

9 March 2023, 11:04 AM
Mtandao wa Askari wanawake Tanzania na watoto wenye usonji
Picha na Lilian Martin Katika kilele Cha siku ya wanawake Duniani umoja wa Majeshi wilayani Masasi kupitia mtandao wa Askari wanawake wameadhimisha siku ya wanawake Duniani Kwa kuwa pamoja na watoto wenye mtindio wa ubongo na usonji katika shule ya…

4 March 2023, 1:54 pm
Mgogoro wa Wachimbaji Dirifu, Mkuu wa Wilaya Ataka Subira.
MPANDAMkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewataka Wananchi na wachimbaji wa madini wa kijiji cha Dirifu kuwa na subira na kuishi kwa amani kufuatia mgogoro unaoendelea katika kijiji hicho. Akitoa maelekezo hayo kutoka ofisi ya mkuu wa wilaya ya…

3 March 2023, 9:43 PM
Mbunge awapongeza Kwa ubunifu week ya elimu Masasi
katika siku ya maadhimisho ya week ya elimu Kwa Halmashauri ya mji Masasi yaliyohudhuriwa na wanafunzi wa shule za msingi na secondary zilizopo katika halmashauri hiyo pichani ni wanafunzi wakionyesha burudani. sambamba na hayo katika maadhimisho hayo yaliyohudhuriwa na Mh…

27 February 2023, 12:27 pm
Wanawake wenye Ulemavu Waiangukia Serikali
Kutokana na changamoto wanazokumbana nazo watoto wenye ulemavu wawapo shuleni. Na Fabiola Bosco. Baadhi ya wazazi wenye watoto walio na ulemavu wameiomba serikali kuwakumbuka kwa kuwapa usaidizi wa namna ya kuwahudumia Watoto wenye ulemavu wawapo shuleni pamoja na upande wa…

21 February 2023, 4:55 pm
Serikali itaendelea kushirikiana na wananchi – Mh. Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan itaendelea kuungana na wananchi katika kuimarisha miundomibu ya elimu ili kuhakikisha watoto Wakitanzania wanapata elimu bora na kutimiza ndoto zao. Waziri Mkuu…

16 February 2023, 2:44 pm
Mhe. Gondwe aagiza Bahi kuongeza Mapato
Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gongwe ameiagiza halmashauri ya wilaya ya Bahi kuhakikisha inabuni, kusimamia na kuongeza vyanzo vya mapato ili kutekeleza kikamilifu agizo la Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania la kila wilaya kuhakikisha inakusanya mapato…

14 February 2023, 5:41 PM
Madiwani waridhia wawili kufukuzwa kazi Kwa uzembe wao
Na, Lilian martin Madiwani wa Halmashauri ya Mji wa Masasi, Wilayani Masasi, Mkoani Mtwara kupitia Baraza la Madiwani kwa kauli moja wameridhia kuwafukuza kazi wauguzi wawili wanaofanya kazi katika Hospitali ya Mkomaindo, Wilayani Masasi Wauguzi hao wanadaiwa kufanya uzembe wa…

13 February 2023, 4:32 pm
UZIKWASA yapongezwa kwa hili 2023
Na Erick Mallya Wadau mbalimbali wa mazingira wilayani Pangani Mkoani Tanga wamelishukuru shirika la UZIKWASA kwa kuanza kutoa mafunzo ya masuala ya mabadiliko ya tabia nchi pamoja na utunzaji wa mazingira wilayani humo. Kuanzia Februari 7 mpaka 10 shirika hilo…

10 February 2023, 4:24 pm
Zoezi la uondoaji Mifugo limeanza katika Bonde la Mto Kilombero
Na Kuruthum Mkata Operesheni ya kuondoa Mifugo ndani ya Bonde la Mto Kilombero, limeanza kutokana na maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Dominick Kyobya imeanza katika Kijiji cha Merera,Kata ya Chita ,Tarafa ya Mngeta, Halmashauri ya Wilaya…