Habari za Jumla
19 June 2026, 5:10 pm
Jeshi la zimamoto na Uokoaji Babati latoa elimu ya utayari wa majanga Sokoni
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Babati leo limefanya zoezi la kutoa elimu ya utayari wa kukabiliana na majanga katika Soko Kuu la Babati mkoani Manyara, ambapo katika zoezi hilo kumetumika tukio la moto wa mfano ulioanzishwa katika eneo…
19 June 2026, 9:13 am
Ongezeko la Vituo vya Afya Lachochea Akina Mama Kujifungulia Hospitalini
Ongezeko la vituo vya afya katika maeneo mbalimbali limeongeza upatikanaji wa huduma za afya ya uzazi kwa kuwafikishia wananchi huduma karibu zaidi. Hali hii imechangia akina mama wengi kuchagua kujifungulia hospitalini kwa urahisi na usalama zaidi. Kurunzi Maalum Uwekezaji unaoendelea…
17 June 2026, 8:32 pm
Vijana 7 waangamia kwa uhalifu Ihefu
Diwani wa kata ya Mdabulo Mhe. Marko Shayo akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ihefu kilichopo katika kata hiyo, wakati wa mkutano wa hadhara uliohusisha usikilizaji wa kero mbalimbali. Picha na Marko Msafiri. Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba, vijana…
16 June 2026, 8:12 pm
DC Mufindi ahimiza malezi bora
Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Dkt. Linda Salekwa akihutubia katika maadhimisho ya siku ya Mtoto wa Afrika yaliyofanyika kiwilaya katika shule ya msingi Imehe. Picha na Kelvin Ayoub. Chimbuko la siku hiyo ya mtoto wa Afrika ni mauaji ya…
11 June 2026, 14:47
Serikali yaimarisha mapambano dhidi ya ajira za watoto
Waziri wa Kazi na Uwekezaji, Sharif Ali Sharif, amesema watoto milioni 138 duniani wanajihusisha na ajira za watoto, huku milioni 54 wakifanya kazi hatarishi. Amesema Zanzibar asilimia 7.5 ya watoto wenye umri wa miaka 5 hadi 17 wanahusika katika ajira…
9 June 2026, 2:20 am
Kilichonileta kwenu ni upendo tu
“Kilichonileta kwenu ni upendo tuu wanalusungo,nimekuja ili tulie pamoja na tuhuzunike pamoja”. Na James Mwakyembe Baada ya kadhia ya mafuriko yaliyoikumba kata ya Lusungo miezi miwili iliyopita diwani wa viti maalumu chama cha mapinduzi na mlezi wa kata ya Lusungo…
8 June 2026, 8:08 am
Redio za jamii zajengewa uwezo wa kukabiliana na Ebola
Na Rose Haji Mwalimu Wafadhili wa miradi mbalimbali nchini wamekumbushwa umuhimu wa kuvishirikisha vyombo vya habari si tu katika hatua za upangaji wa shughuli, bali pia kwa kuvitengea bajeti maalum katika utekelezaji wa miradi hiyo ili kuwezesha uhamasishaji na utoaji…
7 June 2026, 23:33
Assalam International yang’ara uhifadhi wa mazingira
Shule ya Assalam International imepongezwa kwa juhudi zake za kuhifadhi mazingira na kuhamasisha uhifadhi wa bahari wakati wa maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani. Viongozi na wananchi wamezitaka taasisi nyingine kuiga mfano huo ili kulinda mazingira na kukabiliana na athari…
7 June 2026, 10:15
Wananchi watakiwa kutumia nishati safi kulinda mazingira Kasulu
Wakati leo dunia ikiadhimisha siku ya Mazingira, wananchi wameaswa kuungana na kuhifadhi mazingira kwa manufaa ya vizazi vya sasa na vijavyo. Na Hagai Ruyagila Wananchi Wilayani Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kutumia nishati safi ya kupikia ili kutunza na kuhifadhi mazingira…
4 June 2026, 18:42
Jamii yatakiwa kuzingatia matumizi ya chakula salama
Wiki ya chakula salama uadhimishwa kuanzia tarehe 1 June hadi tarehe 7 June kila mwaka,na mwaka huu imeambatana na kauli mbiu inayosema kuwa,kutoka katika changamoto kuelekea suruhisho chakula salama kila mahali. Na Jerome John. Kuelekea kilele cha wiki ya chakula…