Familia
24 June 2021, 10:24 am
Kata ya majeleko yakabiliwa na changamoto ya upatikanaji wa maji safi na salama
Na; Victor Chigwada. Wakazi wa Kata ya Majeleko Wilayani Chamwino wameiomba Serikali kuwapelekea huduma ya maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari wakazi hao wamesema wanakabiliwa na tatizo la maji kwa muda mrefu sasa hali inayo walazimu akina…
4 June 2021, 1:23 pm
Waziri Awesso afanya ziara ya kukagua miradi ya maji wilaya ya Kongwa
Na; Selemani Juma. Waziri wa Maji, Jumaa Aweso ameagiza kuondolewa katika wizara hiyo mhandisi wa maji wa Wakala wa Maji Vijijini (Ruwasa) Wilaya ya Hanang, Herbert Kijazi baada ya kuisababishia hasara Serikali ya Shilingi milion 609. Hatua ya hiyo imekuja…
2 June 2021, 9:27 am
Wakazi wa chitelela wakabiliwa na changamoto ya uhaba wa maji
Na; Victor Chigwada. Wananchi wa mtaa wa chitelela Kata ya Nzuguni Jijini Dodoma wameendelea kukabiliwa na changamoto ya kukosa huduma ya maji safi na salama kwa muda mrefu. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi wa eneo hilo wamedai…
25 May 2021, 11:57 am
Kigwe waililia serikali maji safi na salama
Na; Victor Chigwada Wananchi wa Kijiji cha Mapinduzi Kata ya Kigwe Wilaya ya Bahi wameiomba Serikali na taasisi binafsi kuwatatulia changamoto ya uhaba wa maji safi na salama. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya wananchi hao wamesema kwa muda…
20 May 2021, 1:44 pm
Wakazi wa kata ya Keikei walalamikia kukosa huduma ya maji.
Na ;Benard Filbert. Uchakavu wa miundombinu ya maji katika Kata ya Keikei Wilayani Kondoa imetajwa kuwa sababu inayochangia kukosekana kwa huduma ya maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu sababu…
18 May 2021, 1:08 pm
Changamoto ya maji safi na salama kata ya Ipagala yapata ufumbuzi
Na; Shani Nicolous Baadhi ya wanawake katika Mtaa wa Swaswa Mnarani , Kata ya Ipagala jijini Dodoma wamechanga fedha kwa ajili ya kuchimba kisima ili kukabiliana na changamoto ya maji inayowakabili kwa muda mrefu. Wakizungumza na Dodoma fm wanawake hao…
12 May 2021, 10:12 am
Waziri mkuu azindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji
Na; Mindi Joseph waziri mkuu kasimu majaliwa amezindua vitabu vya miongozo ya utayarishaji wa miradi ya maji ili kupunguza changamoto ya maji nchini. Akizungumza baada ya kuzindua mwongozo huo Kwenye kikao cha watendaji wa sekta ya maji nchini LEO jijini…