Radio Tadio

Elimu

22 Novemba 2022, 5:58 mu

Bodi ya Mikopo HESLB yaongeza bajeti ya Mikopo Elimu ya juu

Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Tanzania (HESLB), Abdul-Razaq Badru amesema wameongeza bajeti ya mikopo kwa mwaka wa masomo 2022/2023 kwa asilimia 14.7 ambalo limefikia Shilingi 654 bilioni kutoka Shilingi 570 bilioni za awali. Badru ameyasema…

Novemba 17, 2022, 6:29 um

Wanafufunzi kidato cha nne watakiwa kuepuka udanganyifu

Wanafunzi wa kidato cha nne wilayani Kahama mkoani Shinyanga waliotahiniwa kufanya mtihani wa taifa wa kidato cha nne wametakiwa kuepuka udanganyifu kwenye chumba cha mtihani ulioanza hii leo Novemba 14, 2022. Wito huo umetolewa leo Novemba 14,2022 na mkuu wa…

17 Novemba 2022, 3:52 um

Watoto wafundishwe kilimo- Chikongwe

Mwenyekiti wa halimashauri ya wilaya ya ruangwa Andrew Chikongwe amewashauri watendaji WA kata na vijiji pamoja na madiwani kuweka mipango ya wanafunzi kufundishwa kilimo ili kuwajengea watoto uwezo mzuri wa kujifunza Maisha ya kujitegemea wawapo mtaani. “Watendaji nendeni mashuleni watoto…

16 Novemba 2022, 12:36 um

Wanafunzi watakiwa kuepuka hofu

Na; Lucy Lister. Hofu inayowakumba baadhi wanafunzi kipindi cha mitihani imetajwa kuwa ni moja ya sababu inayofanya wanafunzi wengi kufeli na wengine kukatisha masomo yao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya walimu mkoani Dodoma wamesema kuwa hofu inaweza kumsababishia…

13 Novemba 2022, 11:24 mu

Bodi Ya Mikopo Yafungua Dirisha La Rufaa Kwa Siku Saba

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza leo (Jumapili, Novemba 13, 2022) imetangaza kufunguliwa kwa dirisha la rufaa ili kutoa fursa kwa wanafunzi ambao hawakuridhika na viwango vya mikopo walivyopangiwa kuwasilisha taarifa za uthibitisho ili kuongezewa…

13 Novemba 2022, 11:20 mu

Watahiniwa 566,840 kuanza mtihani kidato cha nne kesho

Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), limesema jumla ya watahiniwa 566, 840 wanatarajiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne, utakaoanza kesho Jumatatu katika shule za Tanzania Bara na Zanzibar. Limesema kati yao watahiniwa 533,001 ni shule na 31, 839 wa kujitegemea…

12 Oktoba 2022, 12:43 um

Uhaba wa madarasa Miganga wawanyima uhuru wanafunzi

Na; Benard Filbert. Uhaba wa madarasa katika shule ya msingi Miganga kata ya Idifu wilaya ya Chamwino imetajwa kuwa kikwazo cha wanafunzi kujifunza kwa uhuru. Hayo yameelezwa na wazazi wa wanafunzi katika kijiji cha Miganga wakati wakizungumza na Taswira ya…

11 Oktoba 2022, 11:43 mu

Vijana Waaswa Kumuenzi Baba wa Taifa Mwl. Nyerere

KATAVI. Vijana Mkoani katavi wametakiwa kuwa na utamaduni wa kumuenzi baba wa Taifa Mwalimu Julias Kambalage Nyerere kwa kuwa wazarendo na kudumisha amani ya taifa kuelekea kumbukizi ya miaka 23 ya kifo chake. Kauli hiyo imetolewa na Rafael Peleleza kijana…