Radio Tadio

Elimu

15 Oktoba 2024, 5:33 um

 DC Babati atumia mbinu wananchi kujiandikisha

Wakati  zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi unaendelea  nchi nzima Mkuu wa Wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amelazimika kutumia usafiri wa bajaji na pikikpi kuhamasisha wananchi wa Wilaya ya Babati kujitokeza kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za…

11 Oktoba 2024, 10:21 um

Wananchi Babati jiandikisheni daftari la mkazi mapema

Katika kuhakikisha msongamano wa watu unapungua kwa siku za mwisho katika zoezi la kujiandikisha kweye daftari la mkazi, serikali ya halmashauri ya mji wa Babati imewataka wananchi wajitokeze kushiriki zoezi hilo kwa siku za mwanzo ili kuepuka usumbufu wa kukaa…

11 Oktoba 2024, 6:34 um

Sendiga katika foleni kujiandikisha daftari la mkazi.

Zoezi la kujiandikisha katika daftari la mkazi katika mtaa wa mrara kata ya Babati wilayani Babati mkoani Manyara limeanza rasmi leo  ambapo wananchi  wametakiwa kujitokeza katika zoezi hilo ili watimize haki yao ya kikatiba ya  kuchagua viongozi wao wa  mtaa…

27 Septemba 2024, 7:35 um

Serikali yawaonya wananchi watakaovuruga uchaguzi

Wakati serikali ikiendelea na maandalizi ya uchaguzi wa serikli za mitaa, wananchi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kushiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu. Na Mzidalfa Zaid Wananchi wilayani Babati mkoani Manyara ambao wamekidhi vigezo vya kupiga kura wamehimizwa kujitokeza…

7 Septemba 2024, 6:40 um

Bilionea Mulokozi ajitokeza daftari la kudumu la wapiga kura

Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati super brands limited  David Mulokozi amejitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la Wapiga kura. Na mwandishi wetu Mzidalfa Zaid Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super…

2 Agosti 2024, 2:20 mu

Wadau wa kilimo wahimizwa kufanya tafiti zenye tija Geita

Dhana potofu kwa wakulima juu ya mbolea za viwandani imeendelea kukosesha wakulima fursa mbalimbali ikiwemo kupata mavuno mengi. Na: Evance Mlyakado – Geita Wadau wa kilimo mkoani Geita wametakiwa kufanya tafiti zenye kuleta tija ili kuwasaidia wakulima kukabiliana na changamoto…