Elimu
15 Oktoba 2024, 5:33 um
DC Babati atumia mbinu wananchi kujiandikisha
Wakati zoezi la uandikishaji wa daftari la mkazi unaendelea nchi nzima Mkuu wa Wilaya ya Babati Emmanuela Kaganda amelazimika kutumia usafiri wa bajaji na pikikpi kuhamasisha wananchi wa Wilaya ya Babati kujitokeza kujiandikisha na kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za…
11 Oktoba 2024, 10:21 um
Wananchi Babati jiandikisheni daftari la mkazi mapema
Katika kuhakikisha msongamano wa watu unapungua kwa siku za mwisho katika zoezi la kujiandikisha kweye daftari la mkazi, serikali ya halmashauri ya mji wa Babati imewataka wananchi wajitokeze kushiriki zoezi hilo kwa siku za mwanzo ili kuepuka usumbufu wa kukaa…
11 Oktoba 2024, 6:34 um
Sendiga katika foleni kujiandikisha daftari la mkazi.
Zoezi la kujiandikisha katika daftari la mkazi katika mtaa wa mrara kata ya Babati wilayani Babati mkoani Manyara limeanza rasmi leo ambapo wananchi wametakiwa kujitokeza katika zoezi hilo ili watimize haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi wao wa mtaa…
10 Oktoba 2024, 5:04 um
CCM yawataka wananchi kujiandiksha kwenye daftari la mpiga kura
Wananchi mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la mpiga kura zoezi ambalo litaaanza October 11 hadi October 20 mwaka huu. Na Mzidalfa Zaid Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Manyara kimewataka wananchi wenye sifa na nia ya…
27 Septemba 2024, 7:35 um
Serikali yawaonya wananchi watakaovuruga uchaguzi
Wakati serikali ikiendelea na maandalizi ya uchaguzi wa serikli za mitaa, wananchi wilayani Babati mkoani Manyara wametakiwa kushiriki uchaguzi huo kwa amani na utulivu. Na Mzidalfa Zaid Wananchi wilayani Babati mkoani Manyara ambao wamekidhi vigezo vya kupiga kura wamehimizwa kujitokeza…
27 Septemba 2024, 7:11 um
Madereva bodaboda kuhamasisha ushiriki uchaguzi serikali za mitaa
Waendesha pikipiki mkoani Manyara wamesema wako tayari kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa ili kumchagua kiongozi bora. Na Mzidalfa Zaid Halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara imefanya uhamasishaji kwa wananchi juu ya umuhimu wa kushiriki zoezi la kujiandikisha katika…
19 Septemba 2024, 5:46 um
NEC: Simanjiro, Kiteto, Mbulu boresheni taarifa katika daftari la mpiga kura
Tume huru ya taifa ya uchaguzi imewataka wananchi kujitokeza kuboresha taarifa zao katika daftari la kudumu la wapiga kura ili kumchagua kiongozi wanaemtaka. Na Mzidalfa Zaid Wananchi wa wilaya za Simanjiro, Kiteto na Mbulu zilizoko mkoani Manyara wametakiwa kujitokeza kuboresha taarifa…
7 Septemba 2024, 6:40 um
Bilionea Mulokozi ajitokeza daftari la kudumu la wapiga kura
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati super brands limited David Mulokozi amejitokeza kujiandikisha kwenye daftari la kudumu la Wapiga kura. Na mwandishi wetu Mzidalfa Zaid Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya kuzalisha vinywaji changamshi ya Mati Super…
2 Agosti 2024, 2:20 mu
Wadau wa kilimo wahimizwa kufanya tafiti zenye tija Geita
Dhana potofu kwa wakulima juu ya mbolea za viwandani imeendelea kukosesha wakulima fursa mbalimbali ikiwemo kupata mavuno mengi. Na: Evance Mlyakado – Geita Wadau wa kilimo mkoani Geita wametakiwa kufanya tafiti zenye kuleta tija ili kuwasaidia wakulima kukabiliana na changamoto…
30 Julai 2024, 3:27 um
Jamii yatakiwa kuwa makini na mawakala wa ajira nje ya nchi
Tarehe 30 Julai,na mara zote kila mwaka huwa ni Siku ya Kimataifa ya Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, uhalifu wa kutisha na mashambulizi kamili dhidi ya haki, usalama na utu wa binadamu. Na:Elisha Magege Ili kukabiliana na wimbi la…