Elimu
6 Machi 2023, 4:52 um
Tamko la serikali kuelekea siku ya wanawake
Elimu kwa jamii kuhusu maendeleo ya wanawake katika nyanja mbalimbali ikiwemo kiuchumi na kiutawala ili kuimarisha usawa wa kijinsia nchini. Na Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa elimu kwa jamii kuhusu maendeleo ya wanawake katika…
6 Machi 2023, 12:29 um
Wanawake watakiwa kuacha kuwaficha watoto wenye ulemavu
Baadhi ya vitu ambavyo vimekabidhiwa kwa watoto hao ni pamoja na magodoro,taulo za kike,mavazi,sabuni ,mafuta ya kupaka na vitu vingine ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa kila mwaka wa kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani. Na Seleman Kodima. Wito…
6 Machi 2023, 10:22 mu
Mbugani watakiwa kukamilisha ujenzi wa madarasa kwa wakati
Shule hiyo ambayo ni shule shikizi inatakiwa kukamilisha kwa wakati ujenzi wa madarasa mawili ambayo baada ya kukamilika kwake kutakuwa na jumla ya vyumba sita vya madarasa katika shule hiyo ya msingi Mbugani. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa…
4 Machi 2023, 10:18 mu
Simiyu: DC Maswa apiga marufuku wanafunzi kufukuzwa shuleni
Na Alex Sayi Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu ,Mhe.Aswege Kaminyoge ,amepiga marufuku tabia ya Wakuu wa shule wilayani hapo kuwafukuza wanafunzi kwa sababu ya kutokukamilisha michango ya shule au kwa sababu zingine zile. Hayo ameyasema wakati akizungumza na…
3 Machi 2023, 11:55 mu
Elimu yasaidia kupunguza fedha haramu na ufadhili wa kigaidi
Benki ya Dunia kwa kushirikiana na Taasisi nyingine za kimataifa zimejitolea kuleta mabadiliko ya hali hiyo kwa kuanzisha dhana ya wamiliki manufaa. Na Fred Cheti. Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni imesema utoaji wa elimu kwa Wamiliki manufaa umeleta…
28 Febuari 2023, 5:21 um
Wanafunzi watembea zaidi ya kilomita 28 kufuata shule
Serikali imeombwa kusaidia kukamilisha ujenzi wa shule ya sekondari ili kurahisha upatikanaji shule hali itakayopunguza gharama kwa wazazi wanaosomesha watoto . Na Victor Chigwada Wanafunzi wa kata ya chiboli wilayani chamwino wanalazimika kutembea umbali wa zaidi ya km 28…
28 Febuari 2023, 4:27 um
Nollo kumwaga Madawati 800 shule za Msingi
Halmashauri ya wilaya ya Bahi ambayo kwa miaka mitatu mfululizo imekuwa na sifa kubwa katika idara ya elimu Msingi. Na Bernad Magawaa MBUNGE wa Jimbo la Bahi . Kenneth Nollo ameahidi kutoa madawati 800 ikiwa ni sehemu ya kuanza kupunguza…
27 Febuari 2023, 3:33 um
Bahi wajipanga kutinga tano bora matokeo darasa la saba kitaifa
Mheshimiwa Godwin Gondwe akiongoza wadau wa elimu wilayani Bahi katika hafla ya kufanya tathmini ya elimu na kutoa tuzo kwa shule, walimu na wanafunzi waliofanya vizuri kitaaluma. Na Benard Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwe amewaongoza wadau…
22 Febuari 2023, 7:40 um
Nimefurahishwa na miradi ya kimaendeleo – Majaliwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema anafurahishwa na mafanikio makubwa ya utekelezwaji wa ujenzi miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoonekana katika maeneo mbalimbali nchini yakiwemo ya wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi. “Wana-Ruangwa lazima tuendelee kumshukuru Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa…
22 Febuari 2023, 5:38 um
Uhaba wa vyumba vya madarasa watajwa kuwa kikwazo
Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo. Na Victor Chigwada. Uhaba wa vyumba vya madarasa na nyumba za walimu imetajwa kuwa kikwazo kikuu cha maendeleo ya elimu katika kata ya Chilonwa Wilaya…