Radio Tadio

Elimu

14 Machi 2023, 1:14 um

Wanafunzi watakao faulu kununuliwa mahitaji yote ya msingi Kongwa

Halmashauri ya wilaya ya Kongwa kujipanga kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu. Na Alfred Bulahya. Halmashauri ya wilaya ya Kongwa imepanga kuanza kuwanunulia mahitaji yote ya msingi wanafunzi wenye wazazi wasiojiweza kiuchumi watakaofaulu na kuchaguliwa…

9 Machi 2023, 1:12 um

Watu wenye ulemavu washauriwa kuchangamkia mikopo ya halmashauri

KATAVI Watu Wenye ulemavu Mkoani Katavi  wameshauriwa  kuchangamkia fursa ya  mikopo ya asilimia mbili inayotolewa na serikali kupitia  halmashauri zote nchini. Katibu wa Chama cha watu wenye ulemavu Mkoa wa Katavi  Godfrey Sadala ameiambia Mpanda Radio kuwa watu wenye ulemavu…

7 Machi 2023, 6:46 um

Ukosefu wa shule wasababisha ndoa za utotoni

Kukosekana kwa shule ya msingi kijiji cha Kaza roho Kata ya Manzase Wilaya ya Chamwino imesababisha wanafunzi kuacha masomo na kuamua kuolewa katika Umri mdogo. Na Victor Chigwada, Imeelezwa kuwa changamoto ya kukosekana kwa shule ya msingi kijiji cha Kaza…

7 Machi 2023, 4:27 um

Polisi Watoa Elimu Kukemea Ukatili Iringa

Kufatia kukithiri kwa matendo ya kikatili katika mkoa wa Iringa Jeshi la Polisi linaendeleza kampeni ya kutoa elimu ya kutokomeza ukatili. Na Joyce Buganda. Jeshi la polisi Mkoani Iringa linandelea na kampeni ya kutoa elimu katika makundi mbalimbali  kuhusu mambo…

6 Machi 2023, 4:52 um

Tamko la serikali kuelekea siku ya wanawake

Elimu kwa jamii kuhusu maendeleo ya wanawake katika nyanja mbalimbali ikiwemo kiuchumi na kiutawala ili kuimarisha usawa wa kijinsia nchini. Na Fred Cheti. Serikali imesema kuwa itaendelea kushirikiana na wadau mbalimbali kutoa elimu kwa jamii kuhusu maendeleo ya wanawake katika…

6 Machi 2023, 12:29 um

Wanawake watakiwa kuacha kuwaficha watoto wenye ulemavu

Baadhi ya vitu ambavyo  vimekabidhiwa kwa watoto hao ni pamoja na magodoro,taulo za kike,mavazi,sabuni ,mafuta ya kupaka na vitu vingine  ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa kila mwaka wa kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani. Na Seleman Kodima. Wito…