Elimu
6 Aprili 2023, 8:36 mu
Kamati ya Shule za Msingi Imetakiwa Kufatilia Miradi Katika Shule za Msingi
MPANDA Kamati za shule za msingi katika halmashuri ya manispaa ya Mpanda mkoani Katavi zimetakiwa kuhakikisha zinafuatilia miradi inayofanyika katika shule za msingi. Hayo yamezungumzwa na kaimu afsa elimu msingi wa halmashuri ya manispaa ya Mpanda Victor Mwakajumlwa katika semina…
4 Aprili 2023, 1:03 um
Vijana 300 kudahiliwa na Chuo cha Veta Bahi Julai 2023
Amewapongeza wasimamizi wa ujenzi wa chuo hicho kwa kutafuta ufumbuzi wa changamoto zilizopelekea chuo hicho kutokukamilika kwa wakati. Na Benard Magawa. Vijana wapoatao 300 wanatarajiwa kuanza kunufaika na elimu ya ufundi stadi veta mara tu chuo cha Veta Bahi kitakapokamilika…
27 Machi 2023, 5:46 um
Halmashauri ya jiji la Dodoma yapanga kushirikiana na wadau kuongeza ufaulu
Halmashauri ya Jiji la Dodoma lazima iwe mfano kwa kushika nafasi ya juu katika elimu na si elimu tu hata kwenye mambo mengine. Na Fred Cheti. Halmashauri ya jiji la Dodoma imepanga kushirikiana na wadau mbalimbali wa elimu jijini hapa…
27 Machi 2023, 2:47 um
Wadau wa Elimu watakiwa kutumia mipango kazi kuleta mapinduzi
Baadhi ya wadau wa elimu na viongozi wa serikali za mitaa katika kata nne za halmashauri ya wilaya ya chamwino walioshiriki mafunzo hayo wamesema kuwa kupitia mafunzo hayo kumekuwa na matokeo chanya.. Na Seleman Kodima. Wadau wa Elimu wilayani Chamwino…
23 Machi 2023, 11:26 mu
UCSAF yatoa mafunzo ya Tehama kwa wasichana shule za sekondari Nchini
Itakumbukwa kuwa siku ya kimataifa ya msichana katika TEHAMA inaadhimishwa kila mwaka ifikapo tarehe 27 April lengo likiwa ni kuchochea harakati za dunia katika kuongeza idadi ya wasichana na wanawake kwenye nyanja ya teknolojia. Na Mariam Matundu. Katika kuelekea siku…
17 Machi 2023, 4:04 um
Wazazi waliokatisha watoto masomo kukamatwa
Baadhi ya wazazi wanadai elimu zote mbili zina umuhimu huku wengine wakibainisha kuwa walimu pia wanachangia kuongeza kwa utoro shuleni. Na Nizar Khalfan. Zoezi la ukamataji la wazazi wa wanafunzi watoro limeanza wilayani kondoa ambapo zaidi ya wazazi kumi na…
17 Machi 2023, 2:59 um
WANAWAKE WASHIRIKI KWENE NGAZI ZA MAAMUZI , KISWAHILI CHAAJWA.
NA KHADIJA RASHID, PEMBA. “KISWAHILI kimenifanya niwe maarufu ndani na nje ya nchi yangu. Lugha hii niliipenda tangu nikizoma shule. Licha ya umaarufu nilioupata kupitia Kiswahili, lugha hii imechangia maendeleo yangu binafsi na taifa kwa ujumla.” Ni kauli ya Consalata…
17 Machi 2023, 2:24 um
MAJI YA UHAKIKA KUBORESHA ELIMU MAKANGALE KUPITIA DC YA MICHEWENI.
Na Khadija Rashid Nassor. Kupatikana kwa maji safi na salama katika Skuli ya Mnarani msingi kuewezesha wanafunzi wa skuli hiyo hususan wanawake kuhudhuria masomo yao ipasavyo. Wakizungumza wanafunzi Maryam Said na Ali Hassan wamesema hapo awali walilazimika kutembea masafa ya…
15 Machi 2023, 6:06 um
Wazazi watakiwa kuhimiza watoto kusoma
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewataka wazazi na walezi kutumia fursa za vyuo na taasisi mbalimbali za elimu ya juu zilizopo mkoani Dodoma. Na Fred Cheti. Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Rosemary Senyamule amewataka wazazi na walezi kutumia…
15 Machi 2023, 12:05 um
Kamanda Makame awaasa wananchi kuishi katika misingi ya dini
KATAVI Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa katavi Ali Makame Hamadi amewataka wananchi kuishi katika misingi na maadili ya dini ili kuondokana na matukio kiuhalifu. Ameyasema hayo wakati akishiriki ibada katika kanisa la New harvest kijiji cha songambele Halmshauri…