Radio Tadio

Burudani

May 28, 2024, 5:28 pm

Halmashauri ya Ushetu yapata hati safi

Mwenyekiti wa halmashauri ya Ushetu Gagi Lala akiwa katika baraza la madiwani (picha na Sebastian Mnakaya ) usimamizi wa ukusanyaji wa mapato umekwenda vizuri ukilinganishwa na mwaka wa fedha 2022/2023 ambao ukusanyaji ulikuwa mbovu mpaka kusababisha kupata hati chafu na…

17 July 2023, 10:17 am

Special Talent Search STS

Inyonga imetoa washindi watatu katika mashindano ya kusaka vipaji STS yaliyofanyika Julai 15 Katika viwanja vya shule ya msingi Inyonga. #mpandaradiofm97.0 #katavists

18 February 2023, 4:05 pm

AKA alikuwa kama Diamond kwa Afrika Kusini

Na Erick Mallya Siku ya Ijumaa, ibada ya kumbukumbu ambayo ilikuwa wazi kwa umma ilifanyika katika Kituo cha Mikutano cha Sandton, Johanesburg nchini Afrika Kusini katika kuadhimisha maisha ya msanii huyo na mchango wake katika tasnia ya muziki ya Afrika…

9 December 2022, 6:19 AM

Kuelekea maadhimisho Ya Miaka 61 yaUhuru wa Tanzania Bara

Mkuu wa Wilaya ya Masasi Bi Claudia Kita   inayoadhimishwa terehe 09 Disemba kila mwaka ameongoza Bonanza la Mpira wa Miguu lililoambatana na Ugawaji wa vifaa vya usalama barabarani kwa Madereva pikipiki (bodaboda), Kofia ngumu (HELMET) na Jaketi maalum za kuvaa…

2 July 2022, 20:06 pm

Tamasha la michezo la Eastgate Day Care Center

Wazazi wametakiwa kuwa karibu na watoto wao ili kupunguza vitendo vinavyoashiria ukatili dhidi yao. Hayo yamesemwa na Bi Ester Nyagari Mzazi wa Serafini Elman katika tamasha la michezo lililohusisha wanafunzi na wazazi yaliyoratibiwa na shule ya Watoto ya Eastgate iliyopo…

14 April 2021, 8:05 am

TBS Yateketeza Bidhaa Zenye Thamani ya Milioni 19

Na ; Mariam Kasawa. Shirika la Viwango Tanzania (TBS) limeteketeza bidhaa hafifu za vyakula na vipodozi zenye thamani ya shilingi milioni 19 katika maeneo mbalimbali ya biashara katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Kwa Mujibu  wa Meneja wa Shirika…