
Burudani

March 16, 2025, 4:41 pm
Marufuku kufukuzwa CCM Shinyanga bila ya kuzingatia kanuni
”Hakuna mwanachama yeyote kusimamishwa ama kufukuzwa kwenye chama bila ya kuzingatia taratibu na kanuni za chama” Na Sebastian Mnakaya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Shinyanga kimewataka viongozi mbalimbali wa chama hicho kusitisha kuwafunguza uwanachama na kuwasimisha katika nafasi mbalimabli…

March 11, 2025, 3:46 pm
Viongozi CCM kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi
Viongozi wa CCM kata kuacha tabia ya kuwafukuza makatibu wa matawi na mabalozi na badala yake wawafukuze wanaovunja utaratibu wa Chama kwa kuanza kupita kwa wajumbe kwa ajili ya kuwachagua tunapoelekea uchaguzi mkuu Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa Chama Cha…

February 28, 2025, 11:41 am
Viongozi CCM jimbo la Msalala watakiwa kuacha migogoro
Naibu waziri mkuu na waziri wa Nishati Doto Biteki akiwa na viongozi mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi CCM katika mkutano maalum Msalala( picha na Sebastian Mnakaya) Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa…

January 24, 2025, 10:59 am
Wanachama CHADEMA Kahama wampongeza Lisu kwa ushindi
Tundu Lisu ameibuka kuwa mshindi kwa nafasi ya mwenyekiti wa CHADEMA baada ya kupata kura 513 sawa na silimia 51.5% huku mpinzani wake wa karibu Freeman Mbowe 482 sawa na asilimia 48.3 na Odero Charles akipata kura 01%, katika uchaguzi…

January 18, 2025, 6:21 pm
CCM Kahama watakiwa kuacha kampeni kabla ya muda
Baadhi ya viongozi wa chama hicho kuanza kufanya kampeni kabla ya muda wa kampeni kuanza Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuacha tabia ya kuanza kupiga kampeni kwa nafasi…

17 January 2025, 10:52 am
Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi yafanya kikao na Wadau wa Uchaguzi Mkoani Mtwara
Hii inalenga kutoa elimu ya ujiandikishaji na hamasa kwa Wananchi kushiriki katika zoezi la kujiandikisha na uboreshaji wa taarifa kwenye daftari la kudumu la wapiga kura linalotarajiwa kufanyika hivi karibuni katika mkoa wa Mtwara. Na Mwanahamisi Chikambu Tume huru ya…

16 January 2025, 13:40 pm
INEC yafanya mkutano na wadau wa uchaguzi Mkoani Mtwara
Huu ni mkutano uliohusu mada kuu ya maandalizi ya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura kwa wadau katika mkoa wa Mtwara uliohusisha viongozi wa vyama vya siasa, asasi za kiraia, makundi maalum, kamati za ulinzi na usalama, wahariri…

7 January 2025, 12:15 pm
TADIO yawanoa wanahabari Jamii FM Mtwara
Mafunzo haya yametolewa na jukwaa la redio za kijamii Tanzania (radio tadio) kwa lengo la kuwakumbusha waandishi wa habari na watangazaji kufanya kazi kwa kufuata madili ya uandishi wa habari katika kazi zao hasa wakati wa uchaguzi mkuu. Na Musa…

18 December 2024, 12:24 pm
Wezi waiba kwenye maduka zaidi ya 11 Bunda
“Wametoboa signboard wamekunywa soda maganda wametupa hapo chini walinzi walikuwa nje hawakujua kilichokuwa kikiendelea“. Na Adelinus Banenwa Ni katika hali isiyo ya kawaida wezi waiba zaidi ya maduka 11 eneo la Genge la jioni mtaa wa Posta kata ya Bunda…

17 December 2024, 15:14
Wahitimu vyuo vya Biblia watakiwa kuwa mstari wa mbele kuhamasisha amani nchini
Inawezekana ulikuwa unafahamu kuwa elimu ya kawaida ndiyo inapata nafasi ya kufanyiwa mahafali tu,sasa unapaswa kujua kuwa hata elimu ya Kiroho nayo inafanyiwa mahafali. Na Deus Mellah Wachungaji wanaohitimu masomo yao katika vyuo mbalimbali vya Biblia katika ngazi mbalimbali wametakiwa…