Biashara
12 Mei 2025, 12:54
Askofu Joseph Mlola ahimiza amani, kuliombea Taifa
Viongozi wa dini na jamii wameaswa kuliombea Taifa dhidi ya matukio yanaendelea kwenye jamii ambayo yanaweza kuleta uvunjifu wa amani. Na Tryphone Odace Askofu wa Jimbo Katoliki la Kigoma Joseph Mlola amewataka waumini wa kanisa hilo na watanzania kwa ujumla…
30 Aprili 2025, 14:40
Mawakala wa vyama vya siasa fuateni sheria uboreshaji daftari
Zoezi la uboreshaji wa daftari la mpiga kura awamu ya pili linatarajia kuanza mei mosi. Na Emmanuel Kamangu Mawakala wa vyama vya siasa wametakiwa kufuata sheria na taratibu katika vituo vya uandikishaji wakati wa zoezi la uboreshaji wa Daftari la…
23 Aprili 2025, 13:27 um
Kipindi: Kampeni ya upandaji miti shule za sekondari Naliendele na Mangamba
Kampeni hii ya upandaji miti imefadhiliwa na wadau wa mazingira kutoka Finland kwa kushirikiana na Jamii FM Redio chini ya usimamizi wa mtaalam wa utafiti wa misitu Mzee Orestus Kinyero Na Musa Mtepa Afisa Mstaafu wa Utafiti wa Miti na…
23 Machi 2025, 15:39 um
TMA Mtwara yahimiza wananchi kufuatilia utabiri wa hali ya hewa
Haya ni maadhimisho ya 75 tangu kuanzishwa kwa shirika la hali ya hewa Duniani mnamo March 23 ,1950 ambapo Tanzania ikiwa nchi mwanachama 193 wa WMO na kwa Mtwara mjini yameadhimishwa katika chuo cha kilimo cha MATI Naliendele Mtwara. Na…
13 Machi 2025, 21:19 um
Mkuu wa Mkoa Mtwara, akabidhi msaada kwa waathirika wa Mafuriko
Msaada ulioletwa na Ofisi ya Waziri Mkuu pamoja na wadau umejumuisha vifaa mbalimbali ikiwemo unga wa sembe, dona, mchele, sukari, mafuta ya kupikia, sabuni za unga, chumvi, sabuni za kuogea, taulo za kike, magodoro, blanketi, vyandarua, nepi za kisasa (diapers),…
7 Januari 2025, 4:48 um
Wananchi Ihumwa watakiwa kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi
Na Victor Chigwada.Kamanda wa polisi mkoa wa Dodoma Kamishina msaidizi mwandamizi George Katabazi ametoa wito kwa wananchi wa Kata ya Ihumwa kuonyesha ushrikiano kwa jeshi la polisi kwa kutoa taarifa za wahalifuWito huo ameutoa wakati akizungumza na wananchi wa Kata…
7 Januari 2025, 12:41
Viongozi serikali za mitaa watakiwa kutatua changamoto za wananchi
Viongozi wa Serikali za mitaa katika Halmashauri ya mji wa Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kusimamia na kutatua changamoto za wananchi katika maeneo yao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wenyeviti wa serikali za mitaa wa halmashauri ya Mji Kasulu mkoani Kigoma…
10 Disemba 2024, 12:15 um
DC Kaminyoge aongoza wananchi wa Isageng’he kupanda miti
“Tanzania siyo kisiwa hivyo hatuwezi kujitenga katika vita ya kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi kama ambavyo dunia inataka ikiwemo matumizi ya nishati safi ya kupikia na upandaji wa miti”. Na, Nicholaus Machunda Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi…
4 Disemba 2024, 12:16
Katibu wa siasa uenezi na mafunzo CCM Kigoma atembelea mkurugenzi wa uchaguzi AD…
Siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika Novemba 27 mwaka 2024, Katibu wa siasa, uenezi na mafunzo wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Kigoma Deogratius Nsokolo amemtembelea Mwenyekiti wa kitongoji cha Mwandiga Kaskazini ambaye…
3 Disemba 2024, 14:51
Wananchi watakiwa kutoa ushirikiano kwa viongozi wa mitaa Buhigwe
Halmashauri ya Wilaya Buhigwe Mkoani Kigoma kupitia kwa mkurugenzi amewataka wananchi kutoa ushirikiano kwa viongozi wa serikali za mitaa ili waweze kufanya kazi na kuchochea maendeleo ya wananchi na taifa kwa ujumla. Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Wananchi wa Wilaya…