Ajali
Julai 10, 2025, 5:17 um
Viongozi Kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi
”kasikilizeni na kuzitatua changamoto mbalimbali za wananchi wenu pamoja na kushirikiana katika suala ya maendeleo” Mboni Mhita Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa wilayani ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kusikiliza na kutatua changamoto mbali mbali za wananchi wao pamoja na…
10 Julai 2025, 12:53 um
Fursa zasababisha wanaume Katavi kuamka
Mwalimu Chahe (kushoto) akifundisha utengenezaji wa batiki kwa vitendo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo haya walikuwa wanahudhuria kina mama lakini awamu hii wanaume ndio wengi” Na Anna Mhina Idadi ya washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali na uchumi imeongezeka hadi kufikia…
7 Julai 2025, 7:34 um
Acheni kuishi na kuku, fugeni kuku
Wajasiriamali wakiwa kwenye mafunzo. Picha na Anna Mhina “Lengo ni kuhakikisha wanakatavi wanapata mafunzo ya uchumi na ujasiriamali” Na Anna Mhina Zaidi ya wajasiriamali 80 mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo ya namana ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni pamoja…
7 Julai 2025, 09:56
TAWEA yatoa elimu ya uhifadhi wa misitu Makere na Moyowosi
Ushirikishwaji katika kwa wananchi na viongozi wa serikali ni jambo muhimu na litasaidia kupatikana kwa ushirikiano katima maeneo yote ambayo mradi huo utatekelezwa Na Mwandishi wetu Shirika la Tanzania wote Equality Alliance (TAWEA) limezindua mradi wa utunzaji wa Mazingira katika…
Julai 1, 2025, 10:34 um
Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050
Kupitia mradi wa Mpango Kabambe Kidikitali, Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050 Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya Migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inakwenda kufikia mwisho baada ya kuanza kwa mradi wa Mpango Kabambe wa kidikitali…
12 Aprili 2025, 7:16 um
Barrick North Mara watenga bil. 4.687 miradi mipya CSR
Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR Na Edward Lucas Mgodi wa Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR kwa…
4 Aprili 2025, 20:16
Ghala la magodoro lawaka moto Mbeya
Jeshi la zimamoto limekuwa likitoa elimu ya matumizi ya vifaa vya kuzimia moto pindi unapotokea huku wakisisitiza utoaji wa taarifa mapema yanapotokea majanga hayo. Na Kelvin Lameck Moto mkubwa umezuka usiku wa kuamkia leo tarehe 4 April 2025 katika ghala…
20 Machi 2025, 09:13 mu
TASA yatambulisha mradi wa ‘Amani Yetu Kesho Yetu’ Mtwara
Mradi wa Amani Yetu Kesho Yetu unaonekana kuwa ni hatua nzuri ya kujenga jamii yenye umoja na amani, hasa kwa kuhusisha vijana na wanafunzi ambao wapo katika hatari ya kutumbukia katika uvunjifu wa amani katika jamii Na Musa Mtepa Shirika…
Machi 17, 2025, 9:43 um
Wakandarasi wasio kamilisha miradi kwa wakati, kunyang’anywa kazi
Kulia ni Naibu Waziri wa TAMISEMI Zainab Katimba na katika ni Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya bunge TAMISEMI, Jastine Nyamoga (Picha na Sebastian Mnakaya) kasi ya mkandarasi huyo haidhirishi ambapo mpaka sasa ametekeleza ujenzi kwa asilimia 48 pekee huku…
15 Machi 2025, 5:46 um
Bunda kuadhimisha miaka minne ya Rais Samia Machi 17
Miongoni mwa maeneo yatakayoangaziwa ni pamoja na sekta mbalimbali za serikali ikiwemo Maji, Umeme, Afya, Barabara pamoja na Elimu. Na Adelinus Banenwa Serikali wilayani Bunda imewaomba wananchi wote kuudhuria maadhimisho ya miaka minne ya serikali ya awamu ya sita chini…