Radio Tadio

Ajali

Agosti 6, 2025, 8:11 um

Mgodi wa Barrick Bulyanhulu wajenga soko la kisasa

Fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR) imefanikisha ujenzi wa soko la kisasa Na Sebastian Mnakaya Kampuni ya Barrick inazidi kutekeleza dhamira ya kuboresha maisha ya wananchi wanaoishi maeneo yanayozunguka migodi yake ya Bulyanhulu kupitia fedha za uwajibikaji kwa jamii (CSR)…

22 Julai 2025, 12:52

Mwanamke afariki kwa kuungua moto Mbeya

Katika hali ya kushangaza mwanamke mmoja amekutwa amefariki ndani katika tukio linalodhaniwa chanzo ni mgogoro wa ardhi.‎‎ Na Deus Mella Mwanamke mmoja ajulikanaye kwa jina la Luth Mtawa mkazi wa mtaa wa Majengo B kata ya Kalobe mkoani Mbeya amekutwa…

Julai 10, 2025, 5:17 um

Viongozi Kahama watakiwa kusikiliza, kutatua kero za wananchi

”kasikilizeni na kuzitatua changamoto mbalimbali za wananchi wenu pamoja na kushirikiana katika suala ya maendeleo” Mboni Mhita Na Sebastian Mnakaya Viongozi wa wilayani ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuendelea kusikiliza na kutatua changamoto mbali mbali za wananchi wao pamoja na…

10 Julai 2025, 12:53 um

Fursa zasababisha wanaume Katavi kuamka

Mwalimu Chahe (kushoto) akifundisha utengenezaji wa batiki kwa vitendo. Picha na Anna Mhina “Mafunzo haya walikuwa wanahudhuria kina mama lakini awamu hii wanaume ndio wengi” Na Anna Mhina Idadi ya washiriki wa mafunzo ya ujasiriamali na uchumi imeongezeka hadi kufikia…

7 Julai 2025, 7:34 um

Acheni kuishi na kuku, fugeni kuku

Wajasiriamali wakiwa kwenye mafunzo. Picha na Anna Mhina “Lengo ni kuhakikisha wanakatavi wanapata mafunzo ya uchumi na ujasiriamali” Na Anna Mhina Zaidi ya wajasiriamali 80 mkoani Katavi wamepatiwa mafunzo ya namana ya ufugaji bora wa kuku, utengenezaji wa sabuni pamoja…

7 Julai 2025, 09:56

TAWEA yatoa elimu ya uhifadhi wa misitu Makere na Moyowosi

Ushirikishwaji katika kwa wananchi na viongozi wa serikali ni jambo muhimu na litasaidia kupatikana kwa ushirikiano katima maeneo yote ambayo mradi huo utatekelezwa Na Mwandishi wetu Shirika la Tanzania wote Equality Alliance (TAWEA) limezindua mradi wa utunzaji wa Mazingira katika…

Julai 1, 2025, 10:34 um

Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050

Kupitia mradi wa Mpango Kabambe Kidikitali, Kahama kuwa mji wa kisasa ifikapo 2050 Na Sebastian Mnakaya Baadhi ya Migogoro ya ardhi katika Manispaa ya Kahama mkoani Shinyanga inakwenda kufikia mwisho baada ya kuanza kwa mradi wa Mpango Kabambe wa kidikitali…

12 Aprili 2025, 7:16 um

Barrick North Mara watenga bil. 4.687 miradi mipya CSR

Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR Na Edward Lucas Mgodi wa Barrick North Mara umetenga kiasi cha shilingi bilioni 4.687 fedha ya uwajibikaji wa kampuni kwa wananchi CSR kwa…

4 Aprili 2025, 20:16

Ghala la magodoro lawaka moto Mbeya

Jeshi la zimamoto limekuwa likitoa elimu ya matumizi ya vifaa vya kuzimia moto pindi unapotokea huku wakisisitiza utoaji wa taarifa mapema yanapotokea majanga hayo. Na Kelvin Lameck Moto mkubwa umezuka usiku wa kuamkia leo tarehe 4 April 2025 katika ghala…