Radio Tadio

Afya

3 Machi 2025, 10:08

Wanawake Block D Ilomba watembelea gereza la Rwanda,Mbeya

Katika kuadhimisha kilele cha siku ya mwanamke Duniani wanawake mkoani Mbeya watumia nafasi hiyo kuwatembelea wahitaji mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Kuelekea siku ya mwanamke duniani Umoja wa kina mama mtaa wa Block D Ilomba wametembelea gereza la Ruanda upande wa…

19 Febuari 2025, 10:45

Baraza la madiwani lapitisha bajeti ya bilioni 35.7 Kasulu Mji

Kaimu Mkuu wa Wilaya Kasulu Kanali Kanali Michael Ngayalina ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya Buhigwe amesema bajeti iliyopishwa ikawe chachu ya kuchochea maendeleo kupitia miradi mbalimbali Na Hagai Ruyagila – Kasulu Baraza la Madiwani wa halmashauri ya Mji Kasulu…

12 Febuari 2025, 09:17

Mkataba ujenzi visima sita vya umwagiliaji wasainiwa Kigoma

Serikali imesema itaendelea kuhakikisha inaimarisha sekta ya kilimo kwa kuweka miundombinu rafiki kwa wakulima ili kuhakikisha wanalima kilimo chenye tija. Na James Jovin Wakazi mkoani Kigoma wameishukuru serikali kwa kuendelea kuwekeza katika miradi ya ujenzi wa miundombinu wezeshi kwa ajili…

31 Januari 2025, 11:25

TAKUKURU Kigoma yabaini mapungufu miradi 31 ya maendeleo

Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Kigoma imebaini mapungufu madogo madogo katika miradi 31 ya maendeleo kati ya miradi 32. Na Orida Sayon Akitoa taarifa ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo katika kipindi cha kuanzia mwezi…

21 Januari 2025, 16:07

Wavuvi watakiwa kutumia zana zilizoainishwa kwa ajili ya uvuvi

Wavuvi wanaofanya shughuli zao katika ziwa Tanganyika wametakiwa kutumia zana za uvuvi zilizoruhusiwa na kuainishwa wakati wa kuvua ili kulinda mazalia ya samaki. Na Josephine Kiravu – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi Dkt. Ashatu Kijaji amezindua kiwanda cha kuchakata…

17 Januari 2025, 10:05 mu

Wapishi wa migahawa watakiwa kuzingatia usafi

“Uchafu wa mazingira katika migahawa  unaweza  kusababisha magonjwa ya matumbo pamoja na kipindupindu “ Na Leah Kamala – Katavi Wananchi Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi Wamewataka  wamiliki na wapishi wa migahawa kuzingatia usafi  ili kujiepusha na ugonjwa wa Kipindupindu. Wakizungumza…