Radio Tadio

Afya

8 Januari 2025, 13:05

Wavuvi washauriwa kufuga samaki kutumia vizimba

Ili kuhakikisha samaki zinaongezeka ndani ya ziwa Tanganyika, serikaliimeendelea kuweka mikakati mbalimbali ya kuwawezesha wavuvi na kuwahimiza kutumia vizimba ambavyo vitatumika kwa ajili ya ufugaji wa samaki na kusaidia kuharibu mazalia ya samaki ndani ya ziwa hilo. Na Timotheo Leonard…

8 Januari 2025, 11:25

Wananchi watakiwa kushiriki katika utekelezaji miradi ya maendeleo.

Ushiriki wa mwananchi mmoj mmoja katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo kunasaidia miradi kukamilika kwa wakati ili kukamilisha kwa wakati. Na Michael Mpunije – Buhigwe Wananchi wilayani Buhigwe mkoani Kigoma wametakiwa kushirikiana na Serikali kufuatilia utekelezaji wa miradi ya maendeleo…

19 Disemba 2024, 8:43 um

Vitendo vya ukatili bado changamoto Geita

Elimu yahitajika zaidi kwa wananchi ili kuendelea kupambana na vitendo vya ukatili katika jamii kwakuwa hali bado si shwari. Na Kale Chongela: Wakazi wa Geita mjini wameiomba serikali kuendelea kutoa elimu ya namna ya kukabiliana na vitendo vya ukatili na…

18 Disemba 2024, 09:25

Viwavijeshi vyashambulia mazao ya wakulima Kigoma

Wakulima katika Wilaya za Mkoa wa Kigoma wametakiwa kuzingatia matumizi ya mbegu bora za kilimo zinazohimili magonjwa na kutumia viwatilifu ili kusaidia kukabiliana na wadudu wanaoshambulia mashamba. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Mashamba ya mahindi katika Halmashauri za Wilaya ya…

11 Disemba 2024, 09:42

Wananchi washirikishwe utekelezaji wa miradi Kasulu

Katibu tawala Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma amewataka viongozi kuhakikisha wanafanya juhudi zote za kuwashirikisha wananchi kwenye utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maenedeleo ili kusaidia kutogomea miradi au kuhujumiwa katika maeneo yao. Na Michael Mpunije – Kasulu Viongozi wa Serikali za…

6 Disemba 2024, 12:18

Serikali kuongeza uwekezaji katika sekta ya elimu

Pichani ni waziri mkuu wa Tanzania Kassimu Majaliwa akiwa kwenye mahafali ya 43 ya chuo kikuu Huria  cha Tanzania ambayo yamefanyika Mkoani Kigoma Waziri  Mkuu wa Tanzania Mh. Kasimu  Majaliwa amesema serikali itaendelea kuunga mkono kwa vitendo sekta ya Elimu…

5 Disemba 2024, 12:49 um

Wazazi walaani tukio la mtoto kuchomwa moto Kasota

Matukio ya ukatili kwa watoto bado ni pasua kichwa, jamii yatakiwa kushikamana ili kukomesha kabisa vitendo hivyo. Na: Sammy Manilaho – Geita Wakazi wa halmashauri ya mji wa Geita wamelaani vikali tukio la mama kumchoma moto mtoto wake kwa kutumia…

3 Disemba 2024, 11:22

Baiskeli 27 zagawiwa kwa wakulima wawezeshaji wa zao la pamba

Mkuu wa Wilaya Kasulu Mkoani Kigoma Kanali Isac Mwakisu amesema serikali itaendelea kuwasaidia wakulima kwa kuwawezesha nyenzo mbalimbali zitakazowawezesha kulima kilimo chenye tija. Na Michael Mpunije – Kasulu Halmshauri ya wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma imekabidhi baiskeli 27 kwa wakulima…

18 Novemba 2024, 14:56

Madiwani walia na migogoro ya wakulima na wafugaji Kasulu

Madiwani wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii ili iweze kutambua mipaka ili kuwsaidia kupunguza migogoro ya ardhi katika ya wakulima na wafugaji. Na Emmanuel Kamangu Migogoro ya wafugaji na wakulima katika  wilaya ya uinza na wilaya ya kasulu yaongezeka ikichangiwa…

8 Novemba 2024, 17:53

Hali ya upatikanaji wa maji vijijini ni asilimia 74 Kigoma

Mkuu wa Mkoa Kigoma, Thobias Andengenye ameutaka Wakala wa Maji Mijini na Vijijini (RUWASA) Mkoa Kigoma kuhakikisha upatikanaji wa vitendea kazi kwenye sekta ya maji unajibu mipango ya Rais Samia katika kusogeza huduma karibu na wananchi ya kumtua mama ndoo…