Afya
21 Oktoba 2022, 11:10 mu
Wananchi Waaswa Juu ya Tahadhari ya Magonjwa ya Mlipuko
MPANDA Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi Wametakiwa kuchukua tahadhari juu ya magonjwa ya milipuko ikiwamo kuhara kwa kunawa mikono na maji tiririka na sabuni sambamba na kutibu maji ya kunywa. Afisa afya Manispaa ya Mpanda Erick Kisaka ameitaka jamii…
21/10/2022, 10:42
Ukosefu wa wahudumu wa Afya katika Zahanati ya Chunyu wapelekea huduma hafifu
Na;Mindi Joseph. Ukosefu wa Wahudumu wa afya katika zahanati ya Chunyu wilayani Mpwapwa imetajwa kuwa changamoto inayowakabilia wananchi pindi waendapo kupata huduma nyakati za Usiku Akizungumza na Taswira ya habari Mwenyekiti wa Kijiji hicho Bw Abineli Masila amesema zahanati hiyo…
20 Oktoba 2022, 11:43 mu
MRINDOKO: ‘Zoezi la Kuhamia Hospital Mpya Lisiathiri Utoaji Huduma’
MPANDA Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amemtaka mganga mfawidhi kuhakikisha zoezi la kuhamia hospital mpya ya mkoa kutoathiri utoaji huduma katika hospitali teule ya rufaa. Mrindoko amesema wahakikishe wanatengeneza miundombinu ambayo yatapelekea wagonjwa kuendelea kutibiwa hospital teule ya…
20 Oktoba 2022, 5:24 mu
Tanesco Wapewa Wiki Tatu Kufikisha Umeme Hospital Mpya ya Mkoa
MPANDA Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko amewataka Shirika la umeme mkoa wa Katavi ndani ya wiki tatu kuhakikisha umeme unafika katika hospitali mpya ya mkoa wa Katavi Akitoa maagizo wakati akijibu taarifa ya mganga mfawidhi wa hospitali teule…
14 Oktoba 2022, 5:25 mu
Wazazi Wapongeza Matibabu ya Mguu Fundo
Wazazi ambao wana watoto wenye ugonjwa wa Mguu kifundo Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamepongeza uwepo wa matibabu ya mguu kifundo katika hospitali ya rufaa Mkoani hapa. Wakizungumza na Mpanda radio fm wazazi wamesema wengi waligundua ugonjwa walipozaliwa na kufanya…
13 Oktoba 2022, 5:43 mu
EBOLA: Tuchukue Tahadhari Sahihi
Wataalamu wa Afya wametakiwa kujua ugonjwa wa Ebola na kuwaelimisha wengine ili kujua jinsi ya kujikinga pamoja na kuchukua tahadhari sahihi namna ya kukabiliana na ugonjwa huo. Hayo ameyasema Mganga Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Urio Kusirye wakati akifungua…
12/10/2022, 11:30
CVT kutoa vipimo bure siku ya uono Duniani
Na; Alfred Bulahya Kuelekea siku ya Uono Duniani octoba 13, Clinic ya Macho ya CVT iliyopo Jijini Dodoma imepanga kutoa huduma za upimaji wa macho bure katika siku hiyo na kutoa huduma ya upasuaji na miwani kwa gharama nafuu ili…
11 Oktoba 2022, 11:07 mu
Vijana Mkoani Katavi Wahitaji Elimu Zaidi juu ya Afya ya Akili
KATAVI Katika Kuadhimisha Kongamano la Kwanza la Kitaifa la Afya ya Akili, baadhi ya vijana Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameonyesha kutokua na uelewa juu ya tatizo la Afya ya Akili . Wameyasema ayo wakati wakizungumza na Kituo hiki huku…
4 Oktoba 2022, 5:32 mu
Wananchi Watema Cheche Kuhusu Vipodozi Vyenye Kemikali
MPANDA Baadhi ya Wananchi wa manispaa ya mpanda mkoani katavi wametoa maoni yao kuhusiana na madhara yanayosababishwa na matumizi ya vipodozi vyenye kemikali. Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi hao wamesema kuwa kuna madhara kwa mtu anayejichubua anaharibu ngozi yake…