Afya
20 Januari 2023, 3:18 mu
Katavi Bila Malaria Inawezekana
MPANDA Ili kujikinga na ugonjwa wa Malaria wananchi manispaa ya mpanda mkoani katavi wameshauriwa kutokomeza maeneo yote ambayo yanaweza kuwa ni chanzo cha mazalia ya mbu sambamba na kutumia chandarua wakati wa kulala. Ushauri huo umetolewa na mganga mkuu manispaa…
14 Januari 2023, 07:52
Serikali yasisitiza Huduma Ya Kujipima Vvu Mahala Pa Kazi Yaanza
SERIKALI kupitia Wizara ya Afya imeanzisha huduma ya kujipima VVU mahala pa kazi ili kurahisisha upatikanaji wa huduma ya vipimo vya VVU kwa watumishi makazini hasa wanaume, ambapo hadi kufikia Desemba 2022 watu wapatao 96,231 wamepatiwa huduma ya JIPIME mahala…
13 Januari 2023, 15:56
Waganga wa tiba asili waomba mafunzo kutoka wizara ya Afya
Na; Mariam Matundu. Waganga wa tiba asili nchini wameiomba wizara ya afya kuwezesha waganga kote nchini kupata mafunzo ya namna bora ya kufanya kazi zao yatakayosaidia kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa . Akizungumza mwenyekiti wa umoja wa waganga wa tiba…
12 Januari 2023, 14:22
Jamii na dhana ya kubemenda mtoto
Na; Mariam kasawa Dhana ya kubemenda mtoto ni dhana ambayo imekuwa ikiaminiwa na jamii nyingi za Afrika hususani Nchini Tanzaniaa. Makabila tofauti yamekuwa na utaratibu wao pindi mama anapo jifungua na wakati wa kulea mtoto baba na mama hufundishwa na…
3 Januari 2023, 9:02 mu
Paka wa ajabu aleta taharuki kwa kufanya shambulio.
Na Kale Chongela: Watu watatu akiwemo mtoto mwenye umri wa miaka (5) wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na paka wa ajabu majira ya alfajiri katika Kitongoji cha kilimahewa Kata ya Lulembela wilayani mbogwe Mkoani Geita. Tukio hilo limezua taharuki kwa…
20 Disemba 2022, 11:18 mu
Rungwe yavuka malengo chanjo ya Uviko-19
KIPINDI: Sikiliza kipindi cha mimi na afya yangu makala maalumu kuhusu Uvumi juu ya chanjo ya Uviko-19 wilayani Rungwe. sikiliza hapa sehemu ya kwanza .
19 Disemba 2022, 11:45
Kipindi: Fahamu njia za kuwafundisha watoto wenye Usonji
Na Ramla Masali Makala haya yanazungumzia namna bora ya kuwafundisha watoto wenye Usonji. Sikiliza makala haya
16 Disemba 2022, 8:00 um
RC NAWANDA ATOA SIKU SABA KUKAMILISHA MIUNDOMBINU YA MILANGO KITUO CHA AFY…
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Dkt.Yahaya Nawanda ametoa siku saba (wiki moja) kwa uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Maswa kuweka milango mingine imara katika kituo cha afya cha Shishiyu kufuatia iliyokuwa imewekwa kutokidhi ubora. Dkt.Nawanda akiwa katika ziara yake…
16 Disemba 2022, 12:09 um
Usafi kiboko ya magonjwa ya mlipuko
RUNGWE- MBEYA NA: SABINA MARTIN Msimu huu wa mvua zilizoanza kunyesha wilayani Rungwe mkoani Mbeya wananchi wametakiwa kuchukua tahadhari na kuzingatia afua za afya ili kujikinga na magonjwa ya mlipuko kama vile kipindupindu. Akizungumza na Chai FM ofisini kwake afisa…
16 Disemba 2022, 11:53 mu
Matumizi ya dawa kiholela chanzo cha magonjwa sugu
RUNGWE, Imeelezwa kuwa matumizi ya dawa za binadamu bila kufuata ushauri wa daktari ni chanzo cha usugu wa magonjwa na hatimaye kupelekea kifo. Hayo yamesemwa na mganga mkuu wa Wilaya ya Rungwe Dkt Diokles Ndaiza wakati akizungumza na Chai…