Afya
9 May 2025, 12:54
Wakulima walia na bei ya pamba Kasulu
Serikali imesema itaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa wakulima wa pamba ili waweze kulima pamba kwa wingi. Na Hagai Ruyagila Wakulima wa zao la pamba wilayani Kasulu, mkoani Kigoma, wameiomba serikali kuongeza bei ya ununuzi wa zao hilo ili wakulima waweze…
4 May 2025, 9:29 pm
Dkt Lugomela atembelea Miradi ya Maji Maswa aahidi kutuma watafiti
Ukanda huu wa Wilaya za Maswa na Meatu unachangamoto ya kuwa na Maji ya Chumvi hivyo nitatuma wataalamu waje kufanya utafiti wa namna ya kupata maji Mazuri maana kwa sasa Wizara ya Maji ina Mitambo ya kisasa “Dkt George Lugomela…
30 April 2025, 9:08 am
Dc Maswa Dkt Anney toa Maagizo mazito kwa Wakandarasi wa Miradi ya …
Niwaagize wakandarasi wanaotekeleza Miradi ya Maji katika Wilaya hii waongeze Kasi ili Wananchi wapate huduma ya Maji kama Serikali ilivyokusudia kusogeza huduma karibu na Wananchi Pia nitoe Onyo kwa Wananchi wanaoharibu Miundombinu ya Maji waache mara moja kwani tutawakamata na…
24 April 2025, 6:47 pm
Maambukizi ya malaria yashuka mkoani Kagera
Serikali kupitia idara ya afya mkoani Kagera imefanikiwa kupunguza kiwango cha maambukizi ya malaria licha ya baadhi ya wilaya kuwa na kiwango cha juu cha maambukizi Theophilida Felician. Kiwango cha maambukizi ya malaria kwa mkoa wa Kagera kimepungua kutoka 34.9%…
18 April 2025, 4:43 pm
Mume aua mke chanzo kikitajwa wivu wa mapenzi
“Mama mzazi wa marehemu amepoteza maisha baada ya kupata mshtuko kutokana na taarifa ya kifo cha binti yake” – Mwenyekiti Na: Edga Rwenduru: Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la Lesine Chongela, mkazi wa kijiji cha Bugogo kilichopo Kata ya Bukoli,…
16 April 2025, 3:23 pm
MAUWASA yang’ara tuzo za mamlaka Tanzania bara
“Tuna kila sababu ya kuupongeza uongozi wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mhe,Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa nanma ambayo umeweza kutekeleza dhana ya kumtua mama ndoo kichwani kwa vitendo na siyo kwa maneno leo hii maji safi na salama…
16 April 2025, 3:00 pm
Wazazi wasiolea watoto kukiona cha moto Geita
Jeshi la polisi katika mkakati wa kukabiliana na changamoto ya vitedo vya ukatili kwa watoto Mkoani Geita Na Mrisho Sadick: Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita limeanza oparesheni ya kuwakamata watoto wanaozurura mitaani nyakati za usiku na kuwawajibisha wazazi wao…
11 April 2025, 17:28
Taasisi za fedha zatakiwa kutoa ushirikiano kwa wajasiriamali
Wasariamali na wafanyabiashara wadogo wamepewa mafunzo yanayolenga kuwainua kiuchumi Na Michael Mpunije Wasimamizi wa taasisi za kifedha wametakiwa kushirikiana na wajasiriamali pamoja na wafanyabiashara wadogo wadogo na wa kati katika kuandaa mpango wa Biashara ili kuhakikisha wanajikwamua kiuchumi. Hayo yamejiri…
9 April 2025, 3:41 pm
Mvua yaziacha kaya 16 bila makazi Itilima
“Bado tunakila sababu kwa mamlaka husika kuendelea kutoa elimu kwa wananchi juu ya madhara ya kujenga kwenye mikondo ya maji maana kila kiongozi yakitokea maafa kama ya mafuriko tunaanza kuwaambia wananchi madhara ya kujenga bondeni Je? Kipindi wanaanza ujenzi mamlaka…
3 April 2025, 5:56 pm
Asteria Lunyilija (60) auawa kwa kukatwa panga Bulela
Jeshi la Polisi mkoani Geita limeandaa mpango maalum wa kuendelea kutoa elimu kwa Jamii ili kuweza kukabiliana na vitendo vya uhalifu ikiwemo ukatili. Na: Paul William: Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Asteria Lunyilija (60) mkazi wa kijiji cha Bulela, kata…