Afya
4 Oktoba 2024, 13:27
Wazazi watakiwa kuwezesha watoto kupata elimu bora
Serikali imewataka wazazi na walezi kuendelea kuwapeleka watoto wao shule ili kupata elimu itakayowasaidia kuweza kutimiza ndoto zao. Na Lucas Hoha – Kasulu DC Wazazi katika halmashauri ya Wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwalea watoto wao katika maadili mema…
17 Septemba 2024, 14:53
Vijana kuongeza mchango wa kilimo kwenye Taifa
Serikali wilayani kibondo imesema vijana hawana budi kuchangamkia fursa za kilimo ili waweze kujikwamua kiuchumi na kuacha kupoteza muda kusubiri ajira. Na James Jovin – Kibondo Vijana wilayani Kibondo mkoani Kigoma wametakiwa kuwekeza katika sekta ya kilimo ili kujikwamua kimaisha…
13 Septemba 2024, 7:07 mu
Matukio ya mauaji ni hatari tuliombee Taifa-Sheikh JAH
Kufuatia kuwepo kwa matukio ya utekaji na mauaji ya raia nchini Tanzania viongozi wa Dini wazidi kuhimiza Waatanzania kila mmoja kwa imani yake kuliombea taifa ili Mungu atuepushe na majanga hayo. Na;Emmanuell Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuliombea…
21 Agosti 2024, 22:30
108 mbaroni kufuatia maandamano Simiyu
Mkuu wa wilaya Busega mkoani Simiyu amesema waandamanaji walimrushia mawe akiwa na viongozi wengine alipofika kuwasikiliza. Na Adelinus Banenwa Mkuu wa Wilaya ya Busega, mkoani Simiyu Faiza Salim amesema hadi sasa watu108 wamekamatwa kufuatia maandamano yaliyofanywa na wakazi wa lamadi…
16 Agosti 2024, 11:09
Shughuli za uvuvi zafunguliwa rasmi ziwa Tanganyika
Serikali imewataka wavuvi wa samaki ndani ya ziwa tanganyika kuacha uvuvi haramu kwa ajili ya uendelevu vsamaki na dagaa. Na Kadislaus Ezekiel – Kigoma Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amezindua zoezi la uvuvi katika Ziwa Tanganyika baada ya…
9 Agosti 2024, 7:26 um
Maswa wamshukuru Rais Samia kwa mradi wa maji Zanzui
Na Nicholaus Machunda Wananchi wa Vijiji vya Mabujiku, Malita na Zanzui vilivyopo kata ya Zanzui, Wilayani Maswa, Mkoani Simiyu wamemshukuru Mh Rais Samia Suluhu Hasani kwa kutoa Fedha kwa ajili ya Mradi wa maji utakaonufaisha Wakazi zaidi ya Elfu Tisa.…
22 Julai 2024, 15:27
Wananchi kunufaika na kilimo cha umwagiliaji mto Luiche Kigoma
Na, Emmanuel Michael Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amewataka wananchi katika kata ya Kagera Manispaa ya Kigoma Ujiji mkoani Kigoma kutouza ardhi yao ya kilimo katika Bonde la Mto Luiche ambalo limekuwa kitovu cha uchumi wao baada ya serikali kukabidhi…
18/07/2024, 15:49
Kijana (16) adaiwa kuuawa na marafiki zake Geita
Matukio ya ukatili mkoani Geita ikiwemo vitendo vya mauaji vimeendelea kuacha simanzi na maswali kwa jamii pindi matukio hayo yanapotokea. Na: Edga Rwenduru – Geita Kijana aliyefahamika wa jina la Lisborn Adam Selemani (16) mkazi wa mtaa wa Nyerere Road…
18/07/2024, 14:03
Polisi Manyara yakamata watuhumiwa 50 wa uhalifu
Jeshi la polisi mkoani Manyara limewataka wananchi kuendelea kutoa ushirikiano kwa jeshi la polisi kwa kufichua wahalifu wa makosa ya ukatili wa kingono, dawa za kulevya na umiliki wa silaha kinyume na sheria ili mkoa uendele kuwa salama. Na Angela…
17 Julai 2024, 9:45 um
Maswa:Wananchi wa Zanzui meno thelathini na mbili nje mradi wa maji safi
“Katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora za kijamii serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania awamu ya sita imeendelea kutekeleza adhima ya kumtua Mama ndoo kichwani kwa vitendo” Na, Daniel Manyanga Zaidi ya billion 1.5 zinatarajiwa kutumika kupeleka huduma ya…